JK Alishinda Uchaguzi, Watanzania Move ON

JK alishinda uchaguzi TZ. Keshaapishwa kuwa Rais. Nchi zote zinamtambua kwamba ni Rais wa TZ.
Watanzania tuache majungu yasiyo na msingi. Siasa za vijiweni hazijengi nchi, Let's Move On.
Ni ujinga kukaa na kuandika ktk Facebook, JF, kwamba JK ajiuzulu kwa sababu chama fulani hakikushinda. Ni ujinga kumlaumu Rais kwa matatizo yote ya nchi.
Kumbuka,Nchi haijengwi na mtu mmoja. Uchaguzi ushapita, Let's Move On.

Kweli Kichwa Kinaweza Kumsababishia Binadamu Matatizo. Kikwete Alishindaje Uchaguzi? Nani Alisimamia? Nani Alitangaza Matokeo Yake? Nani Walikuwa Wajumbe? Wakati wa Uchaguzi, JK Alijiuzuru au Alikuwa Kazini? Haya Maswali ni Kuhusu Uchaguzi. Ok Turudi Nyuma Tanagu Jk Aingie Madarakani,Vitu Vingapi Vimetokea JK Akiwa Ikulu Kama Raisi wa TZ? Wananchi Wangapi Walipata Ajira? Mafisadi Wangapi Wapo Jela na CCM Wangapi Wameadhibiwa? Dowans Wanalipwa Kwa Sababu Gani? Richmond Alisaini Nani Mkataba? Kwa Manufaa ya Nani? Jk ni Kiongozi Kichwani Mwako? Kama Jk ni Kiongozi, Tupe Vision Yake ya Taifa la TZ....I am Feel Sorry for Being Like This.
 
Acha Rhetoric,. Ukweli ni kwamba, kura zilizopigwa na WTZ ktk uchaguzi wa 2010. Na ktk hizo kura, ni JK ndiye aliyechaguliwa na WTZ.

Sawa mkuu lakini hiyo sio ticketi yakuwa kilaza. In other words kupewa kura sio ticketi yakulala usingizi ni ticketi ya kuwatumikia wananchi waliokupa kura. Just be realistic usiwe shabiki. Kweli hii karne ya 21 bado tuna umeme wa mgao? Watu wanakufa hospitalini bila dawa, hatuna maji safi na salama, barabara, tunakumbatia mafisadi etc etc. Why why why?? Mimi na wewe tunapaswa kujiuliza maswali magumu zaidi ya kushabikia itikadi.
 
JK alishinda uchaguzi TZ. Keshaapishwa kuwa Rais. Nchi zote zinamtambua kwamba ni Rais wa TZ.
Watanzania tuache majungu yasiyo na msingi. Siasa za vijiweni hazijengi nchi, Let's Move On.
Ni ujinga kukaa na kuandika ktk Facebook, JF, kwamba JK ajiuzulu kwa sababu chama fulani hakikushinda. Ni ujinga kumlaumu Rais kwa matatizo yote ya nchi.
Kumbuka,Nchi haijengwi na mtu mmoja. Uchaguzi ushapita, Let's Move On.

Hivi mnapoteleaga wapi? Kuna kila dalili mtumbwi wa JK si shwari!
 
Sawa mkuu lakini hiyo sio ticketi yakuwa kilaza. In other words kupewa kura sio ticketi yakulala usingizi ni ticketi ya kuwatumikia wananchi waliokupa kura. Just be realistic usiwe shabiki. Kweli hii karne ya 21 bado tuna umeme wa mgao? Watu wanakufa hospitalini bila dawa, hatuna maji safi na salama, barabara, tunakumbatia mafisadi etc etc. Why why why?? Mimi na wewe tunapaswa kujiuliza maswali magumu zaidi ya kushabikia itikadi.


Kazi ya Rais ni kutia saini na kutoa sera kwa Wananchi. Hiyo ni kazi ya Wabunge kuzipitisha bungeni sera za Rais. Umefika wakati wa kuAccountable Wabunge wetu na Bunge letu.
 
JK alishinda uchaguzi TZ. Keshaapishwa kuwa Rais. Nchi zote zinamtambua kwamba ni Rais wa TZ.
Watanzania tuache majungu yasiyo na msingi. Siasa za vijiweni hazijengi nchi, Let's Move On.
Ni ujinga kukaa na kuandika ktk Facebook, JF, kwamba JK ajiuzulu kwa sababu chama fulani hakikushinda. Ni ujinga kumlaumu Rais kwa matatizo yote ya nchi.
Kumbuka,Nchi haijengwi na mtu mmoja. Uchaguzi ushapita, Let's Move On.

mkuu,

Tatizo sio kuwa yeye ni rais wa TZ. Yes, "alishinda" whatever that means!
people move on, maisha bora kwa kila mtanzania moves on leaving behind the majority of tanzanians.

Watu wanachokitaka ni uwajibikaji wa serikali na uwajibishwaji wa watendaji katika serikali ya mkulu wanapofanya madudu. Haya hayafanyiki na kuonekana yanafanyika!
Tatizo liko hapo, mkuu!

Mkulu kama ulivyosema ndie Rais, kiongozi mkuu wa nchi , watu wanamtaka atimize wajibu wake, na majukumu yake!
kwa mfano, asiruhusu polisi kutumika kisiasa, awashughulikie mafisadi, (China's style). Arudishe miiko ya maadili katika uongozi na anayeyakiuka awajibishwe...La msingi afanye kazi zake kama rais! Is that too much to ask? mkuu!
 
JK alishinda uchaguzi TZ. Keshaapishwa kuwa Rais. Nchi zote zinamtambua kwamba ni Rais wa TZ.
Watanzania tuache majungu yasiyo na msingi. Siasa za vijiweni hazijengi nchi, Let's Move On.
Ni ujinga kukaa na kuandika ktk Facebook, JF, kwamba JK ajiuzulu kwa sababu chama fulani hakikushinda. Ni ujinga kumlaumu Rais kwa matatizo yote ya nchi.
Kumbuka,Nchi haijengwi na mtu mmoja. Uchaguzi ushapita, Let's Move On.

Swali ni alichaguliwa na asilimia ngapi ya Watanzania wenye uwezo wa kupiga kura?
inawezekana anatawala watu wasiomtaka na hapo ndipo lilipo tatizo, kwa sababu demokrasia haikufuatwa basi ni lazima alipe
 
JK alishinda uchaguzi TZ. Keshaapishwa kuwa Rais. Nchi zote zinamtambua kwamba ni Rais wa TZ.
Watanzania tuache majungu yasiyo na msingi. Siasa za vijiweni hazijengi nchi, Let's Move On.
Ni ujinga kukaa na kuandika ktk Facebook, JF, kwamba JK ajiuzulu kwa sababu chama fulani hakikushinda. Ni ujinga kumlaumu Rais kwa matatizo yote ya nchi.
Kumbuka,Nchi haijengwi na mtu mmoja. Uchaguzi ushapita, Let's Move On.

nani wa kulaumiwa?ni jitihada gani ameonyesha ili tusimlaumu?ujinga ni pale mtu unashindwa hata kujua wa kumlaumu.
 
Mkuu arguments zako are built on fallacies;
"JK alishinda uchaguzi" - it was not legitimate kwani % kubwa ya watanzania wakiwemo wana-ccm wanaamini matokeo yalichakachuliwa. Na mifano mingi hai imeshawekwa ktk public sphere kuhusu ishu hii. Watu wanaamini kuwa hakushinda kihalali, kwa hiyo hana moral authority/ mandate

"Keshaapishwa kuwa Rais" - urais si kitendo tu cha kuapishwa angalia Ivory Coast wameapishwa marais wawili. Hapa tunaangalia uhalali

"Nchi zote zinamtambua kwamba ni Rais wa TZ" - hii ni kweli kwa juu juu, hata hivyo hajapata pongezi binafsi kutoka viongozi wa nchi kubwa. Na ripoti ya international observers imempa bad rap, hivyo kumtambua ni more necessity than sincerity .

"Watanzania tuache majungu yasiyo na msingi. Siasa za vijiweni hazijengi nchi" - nafurahi kuwa na recent mfano hai ya Tunisia. Siasa za vijiweni na wamachinga ndo imemtoa rais wao wa miaka 23.

"Let's Move On" - tht is what we are doing and moving beyond the autocracy of CCM

"Ni ujinga kukaa na kuandika ktk Facebook, JF, kwamba JK ajiuzulu kwa sababu chama fulani hakikushinda. Ni ujinga kumlaumu Rais kwa matatizo yote ya nchi. Kumbuka,Nchi haijengwi na mtu mmoja. Uchaguzi ushapita, Let's Move" - kwa kifupi ni haki yetu ya kidemokrasia kuandika facebook hata kubandika mabango yale tunayoyafikiri na kuhisi. Kama nilivyosema JK hakuingia Ikulu kihalali kwa hiyo hawezi kututawala kihalali na ndiyo maana yuko kimya kwani dhamira yake inamsuta. Mi naomba kutoa challenge kwa JK, aanze tena zile ziara kama miaka 5 iliyopita na aaanze kariakoo sokoni. Tuone kama ata-survive dk 5 bila kuzomewa au kupopolewa mawe. Ukiona hivyo ujue His Time is Up!
 
Sijui kama kuna mtu anataka ajiuzulu kwa sababu chama "fulani" hakikushinda.



Hata yaliyoko ndani ya uwezo wake asilaumiwe, sasa alishinda uchaguzi ili afanye nini? awe rais wa picha?



Kwani kuna mtu ametaka JK ajenge nchi peke yake?

MM usisumbuke bure.

Watu wengine akili zao za kuangalizia.

Nilishasema na nitasema. Kikwete siyo Rais; isipokuwa anataka aitwe rais kama kisifa tu.
 
Back
Top Bottom