MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Kwa mujibu wa amka na BBC leo asubuhi, Katika mkutano wa G8 unaofanyika huko Camp David Marekani Rais Obama amewakaribisha wageni maalum ambao ni marais wanne kutoka nchi 4 za Afrika akiwemo Jakaya Mrisho Kikwete wa TZ. wengine ni Rais wa Ghana, Rais wa Ethiopia na Benin.
Why Rais wa Tanzania na si mwingine wa East Afrika aalikwe katika mkutano wa nchi 8 tajiri kuliko zote duniani ili hali nchi yetu iko maeneo ya mkia kwa umaskini wa kipato?
According to BBC ni kwamba JK ame qualify kuhudhuria mkutano huo kutokana na nchi yetu kuongoza katika KUUZA ARDHI yetu kwa WAWEKEZAJI WA KIGENI na si sababu nyingine. Hayo ni maneno ya mchambuzi wa BBC na si ya kwangu" Kama ukweli wenyewe ndio huo basi wamemwita ili kumpongeza , kumtia moyo kwa juhudi zake za kuuza nchi na pia kumwomba maeneo zaidi. HII IMENISHTUA sana kama mtanzania mpenda nchi yangu na nimejiuliza maswali mengi sana likiwamo la kuhusu future ya watoto wetu.
Inakuwajei Rais bila aibu wala woga anathubutu kuuipeleka nchi kwenye mnada wa matajiri bila wenye nchi kuhusishwa?
Kwa hiyo tutarajie wananchi kuhamishwa kwa kigezo cha uwekezaji. Je makosa waliyofanya Kenya miaka 1964 ya land alienation bado hayakuwa soma kwetu na matokeo yake tunayarudia karne hii?."THIS TIME TOMORROW" ni kitabu alichoandika Ngungi wa Thiong'o kuelezea jinsi ardhi ilivyoporwa na wazungu na kuwaacha wenye ardhi wakihaha na kuishia mtaa wa mabanda. Leo rais wa TZ kana kwamba hajasoma historia au hana mtazamo wa baadaye anarudia yaleyale tena kipindi hiki sio wakaloni wanakuja kupora ardhi bali anawapelekea huko huko mnadani kwao. HALI HII INATIA SHAKA SANA KUHUSU DHAMIRA ZA VIONGOZI WETU KWA MUSTAKABALI WA NCHI NA KIZAZI KIJACHO CHA WA TANZANIA.
Muda umefika kwa Watanzania kukataa kuitwa nchi inayoongoza kwa kuuza ardhi kwa wageni kwani hii sifa ni mbaya sawa na Kuitwa MAMA HURUMA.
SWALI NINALOJIULIZA JE HAKUNA NJIA NYINGINE YA KULETA MAENDELEO BILA KUUZA NCHI? Nataka niamini kwamba Ubinafsi na Uvivu wa kufikiri ndo unatufikisha tusikokutaka.
Why Rais wa Tanzania na si mwingine wa East Afrika aalikwe katika mkutano wa nchi 8 tajiri kuliko zote duniani ili hali nchi yetu iko maeneo ya mkia kwa umaskini wa kipato?
According to BBC ni kwamba JK ame qualify kuhudhuria mkutano huo kutokana na nchi yetu kuongoza katika KUUZA ARDHI yetu kwa WAWEKEZAJI WA KIGENI na si sababu nyingine. Hayo ni maneno ya mchambuzi wa BBC na si ya kwangu" Kama ukweli wenyewe ndio huo basi wamemwita ili kumpongeza , kumtia moyo kwa juhudi zake za kuuza nchi na pia kumwomba maeneo zaidi. HII IMENISHTUA sana kama mtanzania mpenda nchi yangu na nimejiuliza maswali mengi sana likiwamo la kuhusu future ya watoto wetu.
Inakuwajei Rais bila aibu wala woga anathubutu kuuipeleka nchi kwenye mnada wa matajiri bila wenye nchi kuhusishwa?
Kwa hiyo tutarajie wananchi kuhamishwa kwa kigezo cha uwekezaji. Je makosa waliyofanya Kenya miaka 1964 ya land alienation bado hayakuwa soma kwetu na matokeo yake tunayarudia karne hii?."THIS TIME TOMORROW" ni kitabu alichoandika Ngungi wa Thiong'o kuelezea jinsi ardhi ilivyoporwa na wazungu na kuwaacha wenye ardhi wakihaha na kuishia mtaa wa mabanda. Leo rais wa TZ kana kwamba hajasoma historia au hana mtazamo wa baadaye anarudia yaleyale tena kipindi hiki sio wakaloni wanakuja kupora ardhi bali anawapelekea huko huko mnadani kwao. HALI HII INATIA SHAKA SANA KUHUSU DHAMIRA ZA VIONGOZI WETU KWA MUSTAKABALI WA NCHI NA KIZAZI KIJACHO CHA WA TANZANIA.
Muda umefika kwa Watanzania kukataa kuitwa nchi inayoongoza kwa kuuza ardhi kwa wageni kwani hii sifa ni mbaya sawa na Kuitwa MAMA HURUMA.
SWALI NINALOJIULIZA JE HAKUNA NJIA NYINGINE YA KULETA MAENDELEO BILA KUUZA NCHI? Nataka niamini kwamba Ubinafsi na Uvivu wa kufikiri ndo unatufikisha tusikokutaka.