Kwa kweli me hawa ccm hata cwaelewi cause kila wanapofanya mikutano yao lazima waombee watu kuja kuhudhuria mikutano yao, juzi kati hapa alikuja mwenyekiti wa maghambani kwenye uzinduzi wa barabara itnkayo geita hadi mwanza kupitia kivuko cha busisi, aisee watu wa mwanza mjini hawakutokea jamaa walivyoona hali mbaya wakatuma mabasi sengerema na geita kuwapeleka watu kwenye mkutano, kwa macho yangu niliona watu wanapewa kofia na tsht za ccm na buku mbili ili kuwashawishi.