JK aapisha Baraza la Mawaziri

JK aapisha Baraza la Mawaziri

Wezi huwaga hawajali wanaweza kunywa hata uji wa mgonjwa
 
hii ndo Tanzania anything is possible we hujiulizi kina Maige na wezi wenzake waliwezaje kumpandisha twiga kwenye ndege hadi akatosha?haya maajabu yanawezekanika tanzania pekee
 
Hivi kuna tv ninayoweza kuona live matukio ya bongo kwnye net?
 
nasikia hata akina Adam Malima wanaapa!?

Si hao walishaapa .....kwani jk alivunja baraza la mawaziri au amefanya ku-adjust nafasi kwa kuondoa na kuingiza wengine!?
 
nasikia hata akina Adam Malima wanaapa!?

Si hao walishaapa .....kwani jk alivunja baraza la mawaziri au amefanya ku-adjust nafasi kwa kuondoa na kuingiza wengine!?
Wewe mtaje taje tu hukuji anamiliki SMG.....
 
Naona wanashangilia kweli. hivi matarumbeta hayaruhusiwi? ngoja wacheke tu ila wakifika bungeni wanasulubiwa waamuulize ngeleja awape experience. Unasulubiwa
mpaka unavimba sura.
 
Naona mawaziri wanaapishwa. Wakuu naombeni jibu mbunge kuanza kuapa au waziri? Ninavyofahamu mimi wabunge kwanza, spika, waziri mkuu kisha mawaziri.

Haya ndo maajabu sugu ya Kikwete kuyafanya akiwa madarakani,ukipanda nazi tegemea kuvuna nazi tu
 
Mkuu na hizo siri wanazosema hawatavujisha huwa ni siri gani ?
 
Kwa taarifa aliyetoa mwanasheria mkuu wa serikali anaweza kumwapisha mbunge aliyemteua hata kama haja apa bungeni kwani waziri yule atakuwa anafanya kazi za kiserikali ila haruhusiwa kufanya shughuli za kibunge.Nikifanikiwa nitawaekeni link.Ila kama sio mvivu issa michuzi utaipata.
Naona mawaziri wanaapishwa. Wakuu naombeni jibu mbunge kuanza kuapa au waziri? Ninavyofahamu mimi wabunge kwanza, spika, waziri mkuu kisha mawaziri.
 
Makala a.k.a Upele Umepata Mkunaji! Anatoka jirani na Lusinde?
 
Mkuu na hizo siri wanazosema hawatavujisha huwa ni siri gani ?
Marire ni siri za siri kali! Nashangaa hata manaibu naoi wanaapa kwamba hawatatoa siri za baraza la mawaziri wakati wao siyo wajumbe wa baraza la mawaziri!
 
Last edited by a moderator:
Sikujua kuwa Waziri wa Fedha Prof. Sospeter Mhongo ana kiswahili kibovu kiasi kile! Wala sikuhitaji kuuliza anakotokea....ni full Mnyalu!
 
Sikujua kuwa Waziri wa Fedha ana kiswahili kibovu kiasi kile! Wala sikuhitaji kuuliza anakotokea....ni full Mnyalu!
 
[h=6]Waziri au Naibu Waziri hatashika madaraka yake ila mpaka awe ameapa kwanza mbele ya Rais kiapo cha uaminifu na pia kiapo kingine chochote kinachohusika na utendaji wa kazi yake kitakachowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.[/h]
 
Back
Top Bottom