GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt JAKAYA MRISHO KIKWETE amemteua Jaji Frederick Werema kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt JAKAYA MRISHO KIKWETE amemteua Jaji Frederick Werema kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
kwani ni lini aliachia ngazi
utakuwa ndo umetoka kuamka wewe!!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt JAKAYA MRISHO KIKWETE amemteua Jaji Frederick Werema kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
kaka rais akiisha apishwa , ina maana serikali inakuwa inaanza upya kaka. Ndio maana ameanza na uteuzi wa mwanasheria mkuu halafu wanafuatia wengine mawaziri nk
Vipi hajakukumbuka? Amka wewe, Werema alikuwa mwanasheria mkuu hata kabla ya uchaguzi.
jamani naomba tuwe tunafikiri kwanza kabla ya kukurupuka kutoa mada ambazo ki ukweli hazina uhakika.
Jibu maswali yafuatayo kisha utoe hitimisho:
nimejadili, nasubiri majibu
- baraza la mawaziri lilivunjwa lini?
- je raisi alipokuwa anaenda kuapa alikuwa kama raisi au alikuwa raia wa kawaida aliechaguliwa kuiongoza nchi??
- kama wateule wa raisi wanafikia kikomo pale raisi anaposita kuwa raisi,unafaham wangapi wangehiatji ku step down??(kuanzaia wakurugenzi wa wilaya mpaka judge mkuu).
- katiba inasema raisi anakoma kuwa raisi wakati upi na vp kuhusu wateule wake??
Kaka sikujua kama huijui katiba kiasi hiki. Nimeamini kweli wewe ni mkenya aisee. Kwani JK hakuwa rais kabla ya uchaguzi ? hakuapa ? mbona leo ameapa tena ?. Katiba inasema Rais atakapo chaguliwa na baada ya kuapishwa mojawapo ya jukumu lake ni kumteua mwanasheria mkuu wa serikali, hilo ndilo amelifanya. Ametekeleza katiba mzee. Soma katiba, acha longo longo.
Tuwekee Katiba hapa,or a link to katiba page,and the page where it says urais unakoma saa ngapi,na uteuzi wa watendaji muhimu wa Jamhuri unaanzia wapi
Itakuwa akili yake wameisha ichakachuwa wala siyo mzima na user name inanitia shaka!!!utakuwa ndo umetoka kuamka wewe!!