MWananyati
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 160
- 53
Nimeona kwenye gazeti la Tanzania Daima ahadi zilizotolewa na JK mkoani mwanza katika sekta ya miundombinu:
Kingine ni kuwa anachofanya ni marudio ya zile ahadi 270 alizotoa wakati wa kulekea uchaguzi mkuu 2010.
Ninavofikiri, ni kuwa saivi mipango ingekua tayari ipo mezani inasubiri utekelezaji au ndo tayari iwe imeanzwa kutekelezwa.
Mr President, you promised a bright future for us, but so far, your approach seems to be hopeless, na ndo sababu hata budget za mawaziri wako zinakataliwa
Otherwise, you also need a 'semina elekezi' from independent consultant
- ujenzi wa reli (Dar to Burundi)
- ujenzi wa reli (Dar hadi Isaka, mwanza,kigoma,mpanda)
- Kufufua tena ATC
- Meli kubwa kati Ziwa Victoria
Kingine ni kuwa anachofanya ni marudio ya zile ahadi 270 alizotoa wakati wa kulekea uchaguzi mkuu 2010.
Ninavofikiri, ni kuwa saivi mipango ingekua tayari ipo mezani inasubiri utekelezaji au ndo tayari iwe imeanzwa kutekelezwa.
Mr President, you promised a bright future for us, but so far, your approach seems to be hopeless, na ndo sababu hata budget za mawaziri wako zinakataliwa
Otherwise, you also need a 'semina elekezi' from independent consultant