Mutagairwaa
Member
- Sep 9, 2014
- 8
- 5
Kama Kuna Kipindi Ambacho Ww Msomi Unatakiwa Kujifunza Kutengeneza Kipato Huru Kwa Kujiajiri Basi Muda Ndio Huu. Kama Hamtataka Badilisha Hizo Mindset Wengi Wenu Mtashinda Jamii Forum Kutukana Viongozi Kwa Miaka Mingi Na Mtachobadilisha Ni Status Za Umember Tu Hapa JF Na Si Zaidi . Mh Rais Nampongeza Kwa Jitihada Zake Za Kutuwekea Mazingira Mazuri Wajasiriamali Kuoparate, Mafaini, Rushwa Na Makodi Yasiyokuwa Na Tija Kayaondoa Sasa Tunalipa Kodi Stahiki, Soko Tunaliona, Malighafi Zimepungua Bei Hakuna Wenye Mahela Ya Ovyo Yaliyokuwa Yanaongeza Bei, Usalama Wa Mali Zetu Umeongezeka, Nyumba Za Wageni Tunazolala On Business Trip Sasa Ni Nafuu, Hata Huko Mabenki Tunakohifadhi Mitaji Yetu Midogo Tunapewa Huduma Nzuri Kulinganisha Na Kipindi Kile Cha Mahela Mengi Yasiyokuwa Na Tija. Sasa Ww Endelea Kusubir Hizo Ajira 200 Za Serikali, Mnaozitaka Mpo Zaidi Ya Mil 10. Sisi Tunaendelea Kukomaa Siku Mkizipata Hizo Ajira Si Tutakuwa Na Viwanda. Tutawakaribisha Kuja Kufanya Study Tour, Hili Mtukosoe Kama Kawaida Yenu.