Jitengezee mchanganyiko wa viungo nyumbani

Mimi vile vya unga vinavyouzwa kabisa sivipendi, ukipikia pilau hata halinogi....
Ila me nlikuwa sichanganyi na pilipili manga na karafuu..next time ntachanganya nione inakuwaje...

Jaribu my dear utapenda.....
 
Asante. Mimi pia napenda viungo vya kuchanganya mwenyewe kama hivi badala ya kununua vilivyosagwa kabisa ambavyo kwanza unakuwa hujui vimechanganywa vipi na ni vya muda gani.

Kuna baadhi ni vizuri ila kwa mfano hupendi kiungo flani na kwenye mchanganyiko kimo inakua mtihani
 
Jaribu my dear utapenda.....

Najaribu leo leo katika mlo wa jioni.....yani siku hizi umenipa jeuri hatari, nikitaka kupika kwanza nasearch recipe zako humu...basi home wanaona maajabuu...manake kuna kipindi nlikuwa nawalisha masotojo hadi baba akasema ataniozesha buree bila mahari....

Siku hizi wananikomajee....Mola akulipe Kheri kwa kushare maujuzi...
 
Najaribu leo leo katika mlo wa jioni.....yani siku hizi umenipa jeuri hatari, nikitaka kupika kwanza nasearch recipe zako humu...basi home wanaona maajabuu...manake kuna kipindi nlikuwa nawalisha masotojo hadi baba akasema ataniozesha buree bila mahari....

Siku hizi wananikomajee....Mola akulipe Kheri kwa kushare maujuzi...

Hahahahahaha umenichekesha mwari wangu.... ahsante sana
 
Hahahahahaha umenichekesha mwari wangu.... ahsante sana

Somo..kumbe nlikuwa nakosa raha...nilikuwa nikipika pilau naweka bizari ya pilau na mdalasini basi...ila hili la leo limekuwa tamu, linanukiaa....

Nimeombwa kesho nirudie...hahahaaa ..
 
Somo..kumbe nlikuwa nakosa raha...nilikuwa nikipika pilau naweka bizari ya pilau na mdalasini basi...ila hili la leo limekuwa tamu, linanukiaa....

Nimeombwa kesho nirudie...hahahaaa ..

Wow hongera sana
 
farkhina hio nzuri kwa ma roast. Mi pilau napenda sana vikiwa vizima.

Hii unaweza kutumia kwa chai pia?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom