Jitambue kijana na wala usikate tamaa

Jitambue kijana na wala usikate tamaa

burtons

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2009
Posts
280
Reaction score
86
ebu angalia hiyo gari hilo lilianza safari vizuri sana na hali ilikua nzuri lakini kadri safari ilipozidi kuendelea basi ndiyo ugumu wa safari ulipoanza kujitokeza na hata vikwazo vikajitokeza. ikafikia kipindi gari likakwama kwenye matope watu walio karibu wakamsaidia dereva ili kulinasua kwenye matope. ili khali wengine waligoma kumsaidia dereva. Dereva hakukata tamaa mpaka gari ikatoka kwenye tope na aliendelea na safari yake vizurii.

Funzo:

Dereva ni wewe kijana unaetafuta Maisha , pale unapoanza kutafuta maisha mazuri unaanza vizuri lakini vikwazo vinaanza kutokea juu yako vikwazo hivyo vinaweza kukukatisha tamaa na kukuvunja moyo kabisa, kuna watu watakucheka hao usiwasikilize kwani ni wanafiki pia kuna watu watakusaidia ili kujikwamua na khali hiyo. usikate tamaa kwani vikwazo ni moja wapo ya njia ya kutukomaza kimaisha na hata kifikra
 
Ni kweli kabisa ndugu yangu na mfano ulioutumia ni halisi sana hisusani kwetu vijana
 
Back
Top Bottom