Jitahidi kuwa mstaarabu kwenye daladala

Jitahidi kuwa mstaarabu kwenye daladala

kanuga

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
743
Reaction score
1,309
Naongea na wewe dungadunga.
1476169757771.jpg
1476169764411.jpg
1476169772964.jpg
1476169780690.jpg
 
Wazee wa kubambia kuna watu mpaka daladala ijae hedi kukosekane kwa kusimama mtu ndio anapanda hiyo
 
labda za mwendo kasi .. hizi za mbagala huku kwana unansimamia mguu mmoja lazima ugusane tu hakuna namna
 
Mama mmoja aliwahi kujilengesha kwa goti langu akawa anasugulisha pale baada ya muda nikasikia unyevu looh, jamaa akasimama nilipata shida sana kumtuliza aache hasira yaishe.
Ahahahha ahaha
 
Mama mmoja aliwahi kujilengesha kwa goti langu akawa anasugulisha pale baada ya muda nikasikia unyevu looh, jamaa akasimama nilipata shida sana kumtuliza aache hasira yaishe.
Duh ulikuwa umesimama au umekaaaaa
 
Unafikiri wengine wanapenda kuwasogelea wenzao o distance.
Daladala zetu ndo zinapelekea watu mnajazana hata kugeuka huwezi,unabanwa hata pa kujisogeza hakuna.
Ila kuna wengine haka kamchezo ni tabia zao wanakapenda kweli.
Nashukuru huku nilipo hakuna hiyo tabu
 
Mama mmoja aliwahi kujilengesha kwa goti langu akawa anasugulisha pale baada ya muda nikasikia unyevu looh, jamaa akasimama nilipata shida sana kumtuliza aache hasira yaishe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa bwana
 
Dah....mie nikijisikia boad nadandia mwendo Kasi la Kimara mida ya jioni [emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mama mmoja aliwahi kujilengesha kwa goti langu akawa anasugulisha pale baada ya muda nikasikia unyevu looh, jamaa akasimama nilipata shida sana kumtuliza aache hasira yaishe.
Kwanini alisimama
 
Back
Top Bottom