Kwa nini ifutwe? You cannot handle this bungabunga? Kulikimbia tatizo ndo tatizo kwani haya mambo yanaenea kwa kazi japo naamini hii afande kakaa vibaya tu...hii post ifutwe
Hehehe!! nusra mbavu zangu zivunjike kwa kicheko, by the way I know this cop.
Kwani shida iko nini pwana?hii post ifutwe
Hehehe!! nusra mbavu zangu zivunjike kwa kicheko, by the way I know this cop.
Kwanini ifungwe? Juu inaitwa 'tacos' bar?Mombasa Kenya gay capital of EA. BTW hiyo tacos Nairobi bado haijafungwa?