Jirani yangu simuelewi

Jirani yangu simuelewi

Mtxt tena mwambie dushe lime Amka aje uumpe tamu ya robo
 
Kuwa makini bro, ibilisi ndio huwa anamaliza watu kwa dizaini hiyo.

Ukifanikiwa kuwahoji wale ambao ni HIV+ watakwambia kuwa walikutwa na mitego kama hiyo!
be strong!
 
Ulweso kua kua kwanza utajuwa
Mie mkubwa mkuu, mie mr kasafiri mwaka kaniacha pekeyangu nyumba hiyo ilikuwa na wapangaji 4 halafu hao wote wanaume na walikuwa wanaishi wawili wawili japo kila mtu anajitegemea kila kitu tunakutana kweye bili ya maji na umeme mbona nili ishi bila shida tena nikawa sister wao usijiendekeze
 
Ukijaribu tu imekula kwako, tena ukipewa hata msosi usile yote mitego yakuzoeana
 
mkuu hebu ngoja eee, so mimi sijiheshim ?

Sio kujisheshim huko unavyofikiria labda una tabia za ajabu la hasha ni ile hali ya kuona unaingilika maana na labda ni age mate yako na labda unavyojiweka mfano tu labda kaisha ona umeingiza wawili watatu anachukulia hawezi tega afu akakukosa na nisamehe kama umechukulia tofauti sikuwa na nia mbaya ni kuelezea uzoefu tu wa situation hizo
 
Huyo Dada, alikuwa amelala, ulipofika aliondoka akufungulie gate, tena hakuwa uchi huyo maana uliona nguo ya ndani chini ya huo mtandio. Chukulia poa tu.
 
Waungwana natumai muwazima, wengi wenu naamin mmelala mida hii mwenzenu nimekosa usingizi kabisa, Ninakoishi tuko wapangaji watatu nyumba ziko tatu ndani ya uzio mmoja, Tuko mabachela wote mimi ndio dume wengine wawili ni wadada mmoja anaishi na mdogo wake mwingine anaishi peke yake, Hatuonani kirahis kulingana na ratiba za kaz zetu, Ila kama weekend wote twaweza kuwa home mida ya mchana na hapo tunapata nafas japo kusalimiana na kubadilishana mawasiliano

Kwanini nimekosa usingiz

Jana nlikuwa stressed kiasi, so baada ya kaz nlirudi home nikaoga nikatoka kwenda kulewa japo sio kawaida yangu kulewa ila nakunywa, Sasa kilichotokea nikwamba nilitoka nakuacha funguo zangu upande wa ndani wa geti nikaondoka nikiwa baaa jirani yangu akanitext kuna funguo nimezikuta getin kwa ndani nizakwako ? kujichek nikajikuta siko na funguo kweli, nikamjib yes nizangu please nihifadhie

Funguo alibaki nazo mimi nikaendelea kupombeka mpaka saa tano usiku nikarudi home, wakati naanza kuja nikamtext jirani nikifika please nifungulie geti, kweli ilikuwa hivo kufika tu hata sijapark jiran yangu kafungua get sikuamin macho yangu nahis kama pombe ilikata

Japo nilikuwa nimewasha bim light tu macho yaliweza tambua vitu vya ajabu ajabu mbele yangu, Jiran alikuwa na kinguo mithil ya khanga nazan ni part ya mtandio wa dera au kitu kama icho, ndan alikuwa na chupi tu, kwakweli nlijihis nywele kusisimka moyo kwenda mbio na kupata joto la ajabu na fraa ya ghafla

Niliingiza gari jiran akafunga gate tukasalimiana hapo akanipatia funguo zangu, kidogo nlimtania kwa kumsifia tukacheka kila mtu akaingia kulala

Wadau hapa nifanyeje maana nimeingia ndani nahis kama nina mchecheto flan amazing sijielewi elewi flan sijui ni ushamba ama laa,

Toa maoni huyu jirani nimfanyeje mdada kaumbika hatar hatar

UNYWAJI WA WANZUKI NI HATARI KWA FIKRA ZAKO.
 
Huyo Dada, alikuwa amelala, ulipofika aliondoka akufungulie gate, tena hakuwa uchi huyo maana uliona nguo ya ndani chini ya huo mtandio. Chukulia poa tu.

We jamaa mbona umemtolea maelezo jiran yangu kama unamjuwa vile
 
Sio kujisheshim huko unavyofikiria labda una tabia za ajabu la hasha ni ile hali ya kuona unaingilika maana na labda ni age mate yako na labda unavyojiweka mfano tu labda kaisha ona umeingiza wawili watatu anachukulia hawezi tega afu akakukosa na nisamehe kama umechukulia tofauti sikuwa na nia mbaya ni kuelezea uzoefu tu wa situation hizo

Sawa sawa mkuu nimekusoma
 
Ukijaribu tu imekula kwako, tena ukipewa hata msosi usile yote mitego yakuzoeana

Mkuu sinaga tabia za kula kwa watu na tushakuwa watu wazima sizan kuna watu wanakulaga kwe wenzao now days
 
Mie mkubwa mkuu, mie mr kasafiri mwaka kaniacha pekeyangu nyumba hiyo ilikuwa na wapangaji 4 halafu hao wote wanaume na walikuwa wanaishi wawili wawili japo kila mtu anajitegemea kila kitu tunakutana kweye bili ya maji na umeme mbona nili ishi bila shida tena nikawa sister wao usijiendekeze

Nafuu sikuwepo mkuu
 
Kuwa makini bro, ibilisi ndio huwa anamaliza watu kwa dizaini hiyo.

Ukifanikiwa kuwahoji wale ambao ni HIV+ watakwambia kuwa walikutwa na mitego kama hiyo!
be strong!

Da umetisha mkuu sawa nimekupata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom