Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Onho kumbe...basi fanya kama walivyoshauri wengine...badili mwelekeo wa jengo lako....afu unadhani huwa wanakaa sasa huko juu....Mara chache sana
SAS mkuu huwezi kwenda kinyume na mipango mji kumbuka ramani za ujenzi zinapitishwa na jij kwa vibali pia na ukaguzi endapo nitakwemda kinyume nitashtakiwa kwa mujibu wa sheria za ardhi
 
SAS mkuu huwezi kwenda kinyume na mipango mji kumbuka ramani za ujenzi zinapitishwa na jij kwa vibali pia na ukaguzi endapo nitakwemda kinyume nitashtakiwa kwa mujibu wa sheria za ardhi
Basi jiamini,fanya yako niamini hawezi fanya kitu kibaya....tengeneza mji wako maisha yaendelee mkuu
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.

Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Kwani unafanya nini ambacho hautaki akione? Tofauti na unavyodhani yeye kuweza kuona eneo lako ndio anakuongezea usalama. Mkivamiwa au likitokea janga lolote ataweza kuwasaidia. Hata ungeweza kujenga ghorofa usingeweza kumzuia kukuchungulia. Kubali tu hali na ujitahidi kuishi nae vizuri maana jirani tayari ni ndugu yako.

Amandla...
 
Nimekijuwa kwa vile kwenye survey map jiji walio tupa inaonesha kwa viwanja na kila ukubwa wake hvyo hata yeye lzm Ana kopi na anajuwa changu Ni ukumbwa upi


Kama ghorofa akajenge post tu ,

Hata kigogo mmkbwa Sana wa serekali hi ya Samia nae kajenga hapo Happ na Wala siyo ghorofa
Kwaio nchi hii maghorofa yanapaswa kua posta pekee...kwaio ukikuta majirani wameezeka nyasi nawew hutakiw kuweka bati
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.

Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Ngoja apige chabo mkeo akioga.
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.

Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Duh mpaka hapa, uwezo wako wa kiakili ni mdogo, ila nisamehe kwa hili, it's natural thinking. Sasa tukianza hivi

1. Kanunua uwanja mkubwa kuliko mimi, huoni hapo kakuzidi kipato tayari? So ulitegemea ajenge mgongo wa tembo? Au ulitegemea wewe ndio roll model ya wote watakao jenga nyuma yako mtaani kwenu?

2. Kwani kakuambia anajenga ghorofa ili awe anakuchungulia wewe? Yani hapo una shida kadhaa fasta, kwanza una wivu, hujiamini na inaonekana wewe ni shida.

3. Hicho kiwanjq uza haraka sana manake utaja kufa kwa roho mbaya yako, na nakuona ukimiliki uchawi siku sio nyingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom