Ajenge ya chini magorofa apeleke posta hukoDaah aisee kazi mnayo mtu anajenga nyumba yake wewe unaumia daah kweli Wabongo kiboko...
Ngoja nimtafute valuer anipe thamani halisi market rate Kisha nitakutafuta nikupe offer yangu ikiwa huyu bwana atashindwa kukinunuaMkuu..hapo kwako unauza bei gani....naomba nikupe offer ukajenge kwa wenzio
Hizi roho hata Simba wa porini hana binadamu mnatoa wapi hizi roho mbaya za Mamba...unachukia Matajiri kisa wewe ni mchimba chumvi..Ajenge ya chini magorofa apeleke posta huko
Ghorofa apeleke posta mkuu, hata boss mkubwa wa aliyewahi kuwa kigogo na mtu maarufu Sana katika Serikali ya Magufuli nae amejenga nyumba ya chini na hatuna shida nae.Hizi roho hata Simba wa porini hana binadamu mnatoa wapi hizi roho mbaya za Mamba...unachukia Matajiri kisa wewe ni mchimba chumvi..
Mkuu punguza kisukari akisaidii kitu aisee labda uwe mzee lakini kama mtafutaji ulichokifanya ni zaidi ya Mchawi...Ghorofa apeleje posta mkuu ,hata boss mkubwa wa aliyewahi kuwa kigogo na mtu maarufu Sana ktkt serekali ya magufuli nae amejenga nyumba ya chini ,na hatuna shida nae
Mkuu,Wakuu huyu jamaa simjui vzr Ila nahisi Ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800
Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla
Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni
Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine
Am stressed u know View attachment 2933773
Hpn sifanyi hvyo huwenda halogeki Ni Bora niuze kiwanja tu nimeamua hvyoMroge asimalize
Humjui vizuri, ila unahisi anafanya kazi serikalini, kiwanja chake ni kikubwa kuliko chako na unajua mpaka vipimo vya kiwanja chake, mbona inaonekana huyo jirani yako ndio inabidi awe na stress juu yako maana inaonekana una ka roho fulani ka wivu na uswahili swahili wa kufuatilia mambo yake??? Anyway Usipende kufuatilia mambo ya watu.Wakuu huyu jamaa simjui vzr Ila nahisi Ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800
Wakuu huyu jamaa simjui vzr Ila nahisi Ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800
Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla
Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni
Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine
Am stressed u know View attachment 2933773
Anajenga ghorofa postaUsalama wako uko hatarini kisa tu jirani anajenga ghorofa? au una jambo lingine lililo jificha? Nenda Polisi waambie usalama wako umo hatarini maana ndio kazi yao hiyo ya kulinda Raia na mali zao. Kazi unayo maana mpaka anajenga hilo ghorofa, vibari vyote kapewa na halmashari, baraza la madiwani, ardhi na hati ya nyumba/kiwanja anavyo, sasa sijui utachomokea wapi... jenga na wewe lako hata kwa kukopa bank na ulipe polepole. Acha wivu na mastori ya uongo ya usalama wako.
Nimekijuwa kwa vile kwenye survey map jiji walio tupa inaonesha kwa viwanja na kila ukubwa wake hvyo hata yeye lzm Ana kopi na anajuwa changu Ni ukumbwa upiHumjui vizuri, ila unahisi anafanya kazi serikalini, kiwanja chake ni kikubwa kuliko chako na unajua mpaka vipimo vya kiwanja chake, mbona inaonekana huyo jirani yako ndio inabidi awe na stress juu yako maana inaonekana una ka roho fulani ka wivu na uswahili swahili wa kufuatilia mambo yake??? anyway Usipende kufuatilia mambo ya watu.
Atuambie ni nzuguni sehemu gani?Hili nalichukulia kama tangazo,
Je, unauzaje hicho kiwanja cha sqm 800, na hapo ni sehemu gani Dom?
Hii haiwezi kuwa ardh ya dodoma tazama rutuba yake na Hali yake ya hewa ,Hili nalichukulia kama tangazo,
Je, unauzaje hicho kiwanja cha sqm 800, na hapo ni sehemu gani Dom?
Kwa nini wewe usijenge yako Posta?Anajenga ghorofa posta