Jirani yangu ameninyima maji ya kujengea

Jirani yangu ameninyima maji ya kujengea

M
Katika hali ambayo sikutaraji kbsaa ni hiki kitendo cha kunyimwa maji ya kujengea

Nimemaliza karibia material karibia zote za kujengea nyumbani kwake na bila wasi wasi, sas ilipowadia kipindi cha kuseti msingi jmaaa akanijeuka mazima wakati nimemuambia nitalipia bill yote itakayo jitokezaa kwa muda wa week tu jamaaaa amegoma mazima anadai watoto wamegoma ktk hili jambo

Sasa najiuliza kutakuwa na u Jirani mwema kwa baadae ktk hali kama hii kwel

Chuki na wivu imetawla naona
Mmh watu waswahili sanaa aisee
 
Katika hali ambayo sikutaraji kbsaa ni hiki kitendo cha kunyimwa maji ya kujengea

Nimemaliza karibia material karibia zote za kujengea nyumbani kwake na bila wasi wasi, sas ilipowadia kipindi cha kuseti msingi jmaaa akanijeuka mazima wakati nimemuambia nitalipia bill yote itakayo jitokezaa kwa muda wa week tu jamaaaa amegoma mazima anadai watoto wamegoma ktk hili jambo

Sasa najiuliza kutakuwa na u Jirani mwema kwa baadae ktk hali kama hii kwel

Chuki na wivu imetawla naona
Hapo tayari upo shule unapata darasa la namna ya kuishi maisha ya mtaani.

Siyo peke yake huyo jirani mwenye fihi, wapo wengi mno, kwenye maendeleo hata nduguyo wa damu anaweza kukukwamisha vile vile.

Epuka mazoea ya 'kijamaa', ishi maisha yako, usishee mambo yako ovyo, utakwamishwa.

Huyo jirani mtarajiwa, Mungu kakuonesha tabia zake halisi mapema ili kukulinda na husda zake.

Jiepushe naye kwa kila jambo, zibakie salamu tu ili asije akakukwamisha zaidi mbele ya safari.
 
Katika hali ambayo sikutaraji kbsaa ni hiki kitendo cha kunyimwa maji ya kujengea

Nimemaliza karibia material karibia zote za kujengea nyumbani kwake na bila wasi wasi, sas ilipowadia kipindi cha kuseti msingi jmaaa akanijeuka mazima wakati nimemuambia nitalipia bill yote itakayo jitokezaa kwa muda wa week tu jamaaaa amegoma mazima anadai watoto wamegoma ktk hili jambo

Sasa najiuliza kutakuwa na u Jirani mwema kwa baadae ktk hali kama hii kwel

Chuki na wivu imetawla naona
Maisha huchagui jiran lakin ni vema kujua asili za watu itakusaidia
 
Back
Top Bottom