presider
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,420
- 1,876
Kawaida mjini ni mipango na kila mtu anaishi mjini kwa mahesabu yake anayoona yako sahihi,,
Nilipotimiza miaka 19 nilitamani kuoa kwa kuwa niliamini ili kupata mafanikio zaidi ni lazima niowe ila msichana niliyewazia kumuoa alikuwa ni binti mwenye elimu yake ili niweze kumpatia japo kamtaji afanye biashara au nimtaftie kazi ya kufanya,
Katika maisha yangu ya ubachela nilikuwa nilikuwa naishi na rafiki yangu anayeitwa Chande, chande alikuwa ni msomi mkubwa kwani alikuwa ni dokta katika hospital ya mhimbili na pia alikuwa ni mtumishi katika hospital ya Agakan alikuwa ni dokta pekee wa moyo Tanzania nzima kwa hiyo taifa lilimhitaji sana serikari ilimkumbatia sana kwa kumpa mshahara mzuri na malupu lupu yasiyokuwa na idadi kifupi alikuwa ni mtu mhimu sana katika idara ya afya,
Alikuwa ni mtu asieyeweza kukamatwa na polisi hata itokee amefanya kosa gani,
Katika suala langu la kuowa nilimuomba ushauri,,
**************
"Chande mimi nafikiria kuoa,"
"Unataka kuoa lini?."
"Mda wowote nikipata binti ninaye mpenda,"
"Ina maana hata mchumba huna?"
"Sina,"
"Sasa unataka kuoa jiwe au mto?"
"Nilikuwa nahitaji ushauri wako katika hili suala,"
"Ushauri wa namna gani seif?"
"Nahitaji mke msomi ili niweze kujipanua kimawazo na kipato kwa ujumla,"
"Kwa hiyo unahitaji shuga mamy la kukuhudumia."
"Siyo hivyo ninahitaji msichana msomi mwenye miaka 18-20, kwa kuwa najua naweza kumpa biashara akafanya na pia kama hawezi biashara basi naweza mtafutia kazi."
"Seif una mawazo mazuri sana ila kumpata msichana msomi siyo kwamba utakuwa umepata msichana mwenye tabia njema hilo ulitambua?."
"Nalitambua hilo suala ila nina imani nitamlekebisha,"
"Sawa kama unalifaham hilo kwa hiyo nikusaidie vp?"
"Unajua ukikaa na uwa ridi na wewe utanukia tu,"
"Una maana gani?."
"Na maana kuwa nikiwa na wewe msomi hakika nitampata msomi mzuri mwenye tabia nzuri pia."
"Seif usiwe nashaka na hilo mimi nitarikamilisha tu wewe jiandae mimi nina safari ya zanzibar kwa hiyo tutaambatana wote' kule kuna msichana nitakuonesha amehitimu chuo mwaka huu,"
"Sawa nitashukuru kwa hilo,"
************
Siku hazigandi hatimae tulianza safari ya zanzibar mimi na chande,
"Seif huyo binti anaitwa Zahara ni shombe shombe wa kialabu amehitimu udokta na anatarajia kufanya kazi katika hospital ya mhimbili,"
"Mh!!!..!!.. shombe shombe baby,"
"Unaenda kuoa kwa warabu bwana seif,"
"Mungu ajalie tu nifanikishe,"
"Utafanikisha tumuombe mungu,"
Tulingia zanzibar tukawa tumefikia kwa shangazi yake na chande.
"Seif mtoto yuko nyumba hiyo ya pili"
"Mh!!..!!.. ni geti kali?"
"Ndio baba yake ni mzito hapa zanzibar,"
"Tutaingia kwao lini?"
"Ni Sasa hv jiandae twende hakuna muda wa kupoteza."
Nilijianda vizuri sana nikavaa nguo nayojuwa inanitoa vizuri kisha nikamtaka chande twende.
"Chande twende tayari normalize"
AAX!!.. JIRANI TAM TAMUU 2/
Nilitoka na chande mpaka nyumba ya pili kwenda kujionea mtoto shombe shombe Zahara tuligonga hodi tukakalibishwa.
"Dokta chande karibu sana,"
"Asante jamani za siku nyingi?"
"Nzuri tunamshukuru mungu,"
"Naona umetuletea na mgeni karibu mgeni?."
"Asante,"
"Habari yako mgeni?."
"Nzuri vp nyie hapa nyumbani?."
"Sisi ni wazima wa afya,"
"Nashukuru kisikia hivyo,"
"Dakika mbili nakuja,"
"Sawaa,"
"Chande huyu ndiye yeye nini?."
"Tulia wewe siyo huyo huyo ni nasira ni mtoto wa nje wa huyu mzee hapa wanamfanya kama mfanyakazi,"
"Jamani ni kazuri alafu kachangamfu,"
"Umeanza ujinga wako?."
"Si ninasifia tu kizuri kisifie bwana,"
Gafla alitokea binti mrefu mwenye shepu nzuri akatoa salam.
"Asalam aleykum?."
"Waleymumsalam mzima?"
"Mimi mzima karibuni sana,"
"Asante,"
"Dokta chande za siku nyingi?"
"Nzuri ukaondoka dar es salaam bila kuniaga?."
"Ilikuwa ni gafla tusameheane,"
"Sawa huyu ni rafiki yangu anaitwa Seif anafanya kazi air port dar es salam, Seif huyo ni zahara ni rafiki ila ni kama ndugu,"
Zahara alinyanyuka akanipa mkono.
"Nashukuru kukufaham karibu sana jisikie uko nyumbani,"
"Asante na mimi pia nimefurahi kukufaham karibu dar es salaam kwetu,"
"Asante siku nikija nitakutembelea,"
"Karibu sana,"
Tuliendelea na maongezi ya hapa na pale gafla mlango ukasukumwa na alieingia hakuwa mwingine alikuwa baba na mama wa zahara.
"Asalam aleykum Benjamin?."
"Waley kumsalam Hatujambo shikamoni,"
"Marhaba, chande za miaka?"
"Nzuri baba za siku?.."
"Tunashukuru sisi ni wazima,"
Maongezi yalianza upya hatimae tukaaga na tukaondoka kurudi nyumbani kwa shangazi.
Itaendelea......
Nilipotimiza miaka 19 nilitamani kuoa kwa kuwa niliamini ili kupata mafanikio zaidi ni lazima niowe ila msichana niliyewazia kumuoa alikuwa ni binti mwenye elimu yake ili niweze kumpatia japo kamtaji afanye biashara au nimtaftie kazi ya kufanya,
Katika maisha yangu ya ubachela nilikuwa nilikuwa naishi na rafiki yangu anayeitwa Chande, chande alikuwa ni msomi mkubwa kwani alikuwa ni dokta katika hospital ya mhimbili na pia alikuwa ni mtumishi katika hospital ya Agakan alikuwa ni dokta pekee wa moyo Tanzania nzima kwa hiyo taifa lilimhitaji sana serikari ilimkumbatia sana kwa kumpa mshahara mzuri na malupu lupu yasiyokuwa na idadi kifupi alikuwa ni mtu mhimu sana katika idara ya afya,
Alikuwa ni mtu asieyeweza kukamatwa na polisi hata itokee amefanya kosa gani,
Katika suala langu la kuowa nilimuomba ushauri,,
**************
"Chande mimi nafikiria kuoa,"
"Unataka kuoa lini?."
"Mda wowote nikipata binti ninaye mpenda,"
"Ina maana hata mchumba huna?"
"Sina,"
"Sasa unataka kuoa jiwe au mto?"
"Nilikuwa nahitaji ushauri wako katika hili suala,"
"Ushauri wa namna gani seif?"
"Nahitaji mke msomi ili niweze kujipanua kimawazo na kipato kwa ujumla,"
"Kwa hiyo unahitaji shuga mamy la kukuhudumia."
"Siyo hivyo ninahitaji msichana msomi mwenye miaka 18-20, kwa kuwa najua naweza kumpa biashara akafanya na pia kama hawezi biashara basi naweza mtafutia kazi."
"Seif una mawazo mazuri sana ila kumpata msichana msomi siyo kwamba utakuwa umepata msichana mwenye tabia njema hilo ulitambua?."
"Nalitambua hilo suala ila nina imani nitamlekebisha,"
"Sawa kama unalifaham hilo kwa hiyo nikusaidie vp?"
"Unajua ukikaa na uwa ridi na wewe utanukia tu,"
"Una maana gani?."
"Na maana kuwa nikiwa na wewe msomi hakika nitampata msomi mzuri mwenye tabia nzuri pia."
"Seif usiwe nashaka na hilo mimi nitarikamilisha tu wewe jiandae mimi nina safari ya zanzibar kwa hiyo tutaambatana wote' kule kuna msichana nitakuonesha amehitimu chuo mwaka huu,"
"Sawa nitashukuru kwa hilo,"
************
Siku hazigandi hatimae tulianza safari ya zanzibar mimi na chande,
"Seif huyo binti anaitwa Zahara ni shombe shombe wa kialabu amehitimu udokta na anatarajia kufanya kazi katika hospital ya mhimbili,"
"Mh!!!..!!.. shombe shombe baby,"
"Unaenda kuoa kwa warabu bwana seif,"
"Mungu ajalie tu nifanikishe,"
"Utafanikisha tumuombe mungu,"
Tulingia zanzibar tukawa tumefikia kwa shangazi yake na chande.
"Seif mtoto yuko nyumba hiyo ya pili"
"Mh!!..!!.. ni geti kali?"
"Ndio baba yake ni mzito hapa zanzibar,"
"Tutaingia kwao lini?"
"Ni Sasa hv jiandae twende hakuna muda wa kupoteza."
Nilijianda vizuri sana nikavaa nguo nayojuwa inanitoa vizuri kisha nikamtaka chande twende.
"Chande twende tayari normalize"
AAX!!.. JIRANI TAM TAMUU 2/
Nilitoka na chande mpaka nyumba ya pili kwenda kujionea mtoto shombe shombe Zahara tuligonga hodi tukakalibishwa.
"Dokta chande karibu sana,"
"Asante jamani za siku nyingi?"
"Nzuri tunamshukuru mungu,"
"Naona umetuletea na mgeni karibu mgeni?."
"Asante,"
"Habari yako mgeni?."
"Nzuri vp nyie hapa nyumbani?."
"Sisi ni wazima wa afya,"
"Nashukuru kisikia hivyo,"
"Dakika mbili nakuja,"
"Sawaa,"
"Chande huyu ndiye yeye nini?."
"Tulia wewe siyo huyo huyo ni nasira ni mtoto wa nje wa huyu mzee hapa wanamfanya kama mfanyakazi,"
"Jamani ni kazuri alafu kachangamfu,"
"Umeanza ujinga wako?."
"Si ninasifia tu kizuri kisifie bwana,"
Gafla alitokea binti mrefu mwenye shepu nzuri akatoa salam.
"Asalam aleykum?."
"Waleymumsalam mzima?"
"Mimi mzima karibuni sana,"
"Asante,"
"Dokta chande za siku nyingi?"
"Nzuri ukaondoka dar es salaam bila kuniaga?."
"Ilikuwa ni gafla tusameheane,"
"Sawa huyu ni rafiki yangu anaitwa Seif anafanya kazi air port dar es salam, Seif huyo ni zahara ni rafiki ila ni kama ndugu,"
Zahara alinyanyuka akanipa mkono.
"Nashukuru kukufaham karibu sana jisikie uko nyumbani,"
"Asante na mimi pia nimefurahi kukufaham karibu dar es salaam kwetu,"
"Asante siku nikija nitakutembelea,"
"Karibu sana,"
Tuliendelea na maongezi ya hapa na pale gafla mlango ukasukumwa na alieingia hakuwa mwingine alikuwa baba na mama wa zahara.
"Asalam aleykum Benjamin?."
"Waley kumsalam Hatujambo shikamoni,"
"Marhaba, chande za miaka?"
"Nzuri baba za siku?.."
"Tunashukuru sisi ni wazima,"
Maongezi yalianza upya hatimae tukaaga na tukaondoka kurudi nyumbani kwa shangazi.
Itaendelea......