JIRANI TAM TAMUU

JIRANI TAM TAMUU

presider

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
1,420
Reaction score
1,876
Kawaida mjini ni mipango na kila mtu anaishi mjini kwa mahesabu yake anayoona yako sahihi,,
Nilipotimiza miaka 19 nilitamani kuoa kwa kuwa niliamini ili kupata mafanikio zaidi ni lazima niowe ila msichana niliyewazia kumuoa alikuwa ni binti mwenye elimu yake ili niweze kumpatia japo kamtaji afanye biashara au nimtaftie kazi ya kufanya,
Katika maisha yangu ya ubachela nilikuwa nilikuwa naishi na rafiki yangu anayeitwa Chande, chande alikuwa ni msomi mkubwa kwani alikuwa ni dokta katika hospital ya mhimbili na pia alikuwa ni mtumishi katika hospital ya Agakan alikuwa ni dokta pekee wa moyo Tanzania nzima kwa hiyo taifa lilimhitaji sana serikari ilimkumbatia sana kwa kumpa mshahara mzuri na malupu lupu yasiyokuwa na idadi kifupi alikuwa ni mtu mhimu sana katika idara ya afya,
Alikuwa ni mtu asieyeweza kukamatwa na polisi hata itokee amefanya kosa gani,
Katika suala langu la kuowa nilimuomba ushauri,,
**************
"Chande mimi nafikiria kuoa,"
"Unataka kuoa lini?."
"Mda wowote nikipata binti ninaye mpenda,"
"Ina maana hata mchumba huna?"
"Sina,"
"Sasa unataka kuoa jiwe au mto?"
"Nilikuwa nahitaji ushauri wako katika hili suala,"
"Ushauri wa namna gani seif?"
"Nahitaji mke msomi ili niweze kujipanua kimawazo na kipato kwa ujumla,"
"Kwa hiyo unahitaji shuga mamy la kukuhudumia."
"Siyo hivyo ninahitaji msichana msomi mwenye miaka 18-20, kwa kuwa najua naweza kumpa biashara akafanya na pia kama hawezi biashara basi naweza mtafutia kazi."
"Seif una mawazo mazuri sana ila kumpata msichana msomi siyo kwamba utakuwa umepata msichana mwenye tabia njema hilo ulitambua?."
"Nalitambua hilo suala ila nina imani nitamlekebisha,"
"Sawa kama unalifaham hilo kwa hiyo nikusaidie vp?"
"Unajua ukikaa na uwa ridi na wewe utanukia tu,"
"Una maana gani?."
"Na maana kuwa nikiwa na wewe msomi hakika nitampata msomi mzuri mwenye tabia nzuri pia."
"Seif usiwe nashaka na hilo mimi nitarikamilisha tu wewe jiandae mimi nina safari ya zanzibar kwa hiyo tutaambatana wote' kule kuna msichana nitakuonesha amehitimu chuo mwaka huu,"
"Sawa nitashukuru kwa hilo,"
************
Siku hazigandi hatimae tulianza safari ya zanzibar mimi na chande,
"Seif huyo binti anaitwa Zahara ni shombe shombe wa kialabu amehitimu udokta na anatarajia kufanya kazi katika hospital ya mhimbili,"
"Mh!!!..!!.. shombe shombe baby,"
"Unaenda kuoa kwa warabu bwana seif,"
"Mungu ajalie tu nifanikishe,"
"Utafanikisha tumuombe mungu,"
Tulingia zanzibar tukawa tumefikia kwa shangazi yake na chande.
"Seif mtoto yuko nyumba hiyo ya pili"
"Mh!!..!!.. ni geti kali?"
"Ndio baba yake ni mzito hapa zanzibar,"
"Tutaingia kwao lini?"
"Ni Sasa hv jiandae twende hakuna muda wa kupoteza."
Nilijianda vizuri sana nikavaa nguo nayojuwa inanitoa vizuri kisha nikamtaka chande twende.
"Chande twende tayari normalize"
AAX!!.. JIRANI TAM TAMUU 2/
Nilitoka na chande mpaka nyumba ya pili kwenda kujionea mtoto shombe shombe Zahara tuligonga hodi tukakalibishwa.
"Dokta chande karibu sana,"
"Asante jamani za siku nyingi?"
"Nzuri tunamshukuru mungu,"
"Naona umetuletea na mgeni karibu mgeni?."
"Asante,"
"Habari yako mgeni?."
"Nzuri vp nyie hapa nyumbani?."
"Sisi ni wazima wa afya,"
"Nashukuru kisikia hivyo,"
"Dakika mbili nakuja,"
"Sawaa,"
"Chande huyu ndiye yeye nini?."
"Tulia wewe siyo huyo huyo ni nasira ni mtoto wa nje wa huyu mzee hapa wanamfanya kama mfanyakazi,"
"Jamani ni kazuri alafu kachangamfu,"
"Umeanza ujinga wako?."
"Si ninasifia tu kizuri kisifie bwana,"
Gafla alitokea binti mrefu mwenye shepu nzuri akatoa salam.
"Asalam aleykum?."
"Waleymumsalam mzima?"
"Mimi mzima karibuni sana,"
"Asante,"
"Dokta chande za siku nyingi?"
"Nzuri ukaondoka dar es salaam bila kuniaga?."
"Ilikuwa ni gafla tusameheane,"
"Sawa huyu ni rafiki yangu anaitwa Seif anafanya kazi air port dar es salam, Seif huyo ni zahara ni rafiki ila ni kama ndugu,"
Zahara alinyanyuka akanipa mkono.
"Nashukuru kukufaham karibu sana jisikie uko nyumbani,"
"Asante na mimi pia nimefurahi kukufaham karibu dar es salaam kwetu,"
"Asante siku nikija nitakutembelea,"
"Karibu sana,"
Tuliendelea na maongezi ya hapa na pale gafla mlango ukasukumwa na alieingia hakuwa mwingine alikuwa baba na mama wa zahara.
"Asalam aleykum Benjamin?."
"Waley kumsalam Hatujambo shikamoni,"
"Marhaba, chande za miaka?"
"Nzuri baba za siku?.."
"Tunashukuru sisi ni wazima,"
Maongezi yalianza upya hatimae tukaaga na tukaondoka kurudi nyumbani kwa shangazi.
Itaendelea......
 
SEHEMU YA 3
"Vp seif umemuanaje mtoto?."
"Ni mzuri ila sijapendezwa na tabia yake?."
"Kivipi tena seif?."
"Aliniboa pale alipomuita nasra, :we wewe weee nasra?"
:abe dada,"
:waletee wageni juice,"
"Niko nayiandaa,"
:ina maana hakuna juice iliyotayari."
:ndio,"
:huo ujinga wako ndio nisioupenda ina maana juice wakati inaisha hukuona?."
:niliona ila kazi zilikuwa nyingi,,"
"Nitokee hapa kawaletee juice ya pakiti chukua pesa,"
"Kwa hiyo seif hilo ndilo lililokukera,"
"Ndio kwani wewe unaona ni sawa?."
"Yale ni maisha yao achana nayo wewe cha kuangalia ni mchumba tu na elimu yake kama ulivyo niambia,"
"Kwa tabia ile sijui kama ataishi na ndugu zangu kwa amani,"
"Sasa seif wewe unaowa mke kwa ajiri ya familia au kwa ajirii yako?."
"Kwa ajiri yangu na familia,"
"Seif acha utoto kwa hiyo umeghairi kuoa?."
"Sijagairi ila naona bora nimuowe Nasra,"
"Acha ujinga wewe nasra hajasoma yule kaishia form four na hana dira yoyote ya maisha,,"
"Nitamuowa hivyo hivyo kwani uwezo wa kumsomesha ninao,,"
"Poa, kwasababu hakuna anayejuwa kilichotupeleka pale andika barua nitampa mjomba na wazee wawili wataiwasilisha kwa wenye,"
"Poa tena naandika sasa hv,"
"Poa, andika."
**************
Niliandika barua na chande naye akaenda kumuweka sawa mjomba wake ili wanipelekee barua.
Baada ya masaa kadhaa mambo yalienda vizuri nikawakabidhi barua wazee na mjomba wakaipeleka,,
************
Tumekuja na ujumbe mzee Basity na ujumbe wenyewe ndio huu hapa,,
Mzee alimuita mkewe ndipo wakafungua bahasha ile ili kujua kilichomo walikutana na laki tano ikiwa nabarua ya uchumba,,
"Sawa tumeisoma tumeilewa basi ngoja tuifanyie kazi nyie njooni hapa kesho kutwa adhuhuri kuchukua majibu,,
"Sawa tuombeane heli,"
*************
Mambo yaliendelea kuwa mazuri familia ya Nasra ilitoa majibu.
"Bwana sisi tumekubali kumuoza binti yetu kwenu"
"Tunashukuru kwa majibu mazuri,"
Mahali jumla na vikolombezo vya hapa na pale walitutoza mil.5,
Nilifanya juu chini nikalipa mil.5, kesh bila kubakiza hata kumi,,
Tarehe ya harusi ilipangwa ya karibu kwa kuwa mimi nilikuwa nahitajika kurudi kazini na nilitaka kurudi nikiwa na mke.
************
Nyuma ya pazia, mama zahara na mwanae,,
"Mama: una habari nasra kaposwa?"
"Zahara: hapana,"
"Karetewa posa na harusi ni tarehe 27/7/2015,"
"Aliyeleta posa ni nani?."
"Yule rafiki yake chande,"
"Aliyekuja nae hapa siku ile?"
"Ndio,"
"Mama fanya juu chini mimi ndie niolewe na yule kijana,"
"Heee wee nitaanzia wapi nasra mwenyewe kaisha ambiwa kakubali na istoshe baba yako analifaham hili swala,"
"Weee mama wa wapi? Wambie kumbe yule kijana alichapia majina posa alikuwa ameitoa kwa ajiri ya Zahara na siyo nasra umwambie kamtuma chande,"
"Mh!!!.. ngoja sasa hv nimuone baba yako huko sebuleni nijaribu,"
"Usijaribu wewe sema bila uoga,"
"Sawa ila je siku ya harusi akikukata kuwa siyo wewe?."
"Hayo niachie mimi,"
Itaendelea......
 
Mkuu uko vizuri ila rekebisha kidogo kwenye daiolojia maana unatoa kiini cha daiolojia mapema kabla ya kuweka maandalizi ya kutosha.
Pia daiolojia yako iendane na wahusika na mandhari husika, mfano hapo kwenye mvutano wa Nasra na Zahara umeweka daiolojia ambayo sio halisi kumbuka hapo kuna wageni Mkuu.
Mwisho rekebisha matumizi ya 'r' na 'l' maana unazichanganya sana.
Kila la kheri Ndugu endelea kuleta burudani.
 
Mkuu uko vizuri ila rekebisha kidogo kwenye daiolojia maana unatoa kiini cha daiolojia mapema kabla ya kuweka maandalizi ya kutosha.
Pia daiolojia yako iendane na wahusika na mandhari husika, mfano hapo kwenye mvutano wa Nasra na Zahara umeweka daiolojia ambayo sio halisi kumbuka hapo kuna wageni Mkuu.
Mwisho rekebisha matumizi ya 'r' na 'l' maana unazichanganya sana.
Kila la kheri Ndugu endelea kuleta burudani.
Sawa mkuu
 
Sehem 4
Mama zahara alielekekea sebureni kuongea na mume wake ili aone kama itawezekana kubadili ndoa mwanaye ndiye aolewe, ila kabla ya kuongea na mume wake kwanza waliongea na kupanga mambo mengine ya siri.
"mme naona umepumzika?."
"Ndio si unajua leo nilikuwa na kazi nyingi sana mke wangu?."
"Pole mme wangu,"
"asante mke wangu, "
"kuna taarifa zimeletwa hapa na chande,"
"taarifa gani tena mke wangu ni nzuri au mbaya?."
"Ni mbaya ila upande mwingine ni
Nzuri,"
"ni taarifa gani hizo?."
"Ni kwamba seif alichanganya majina katika barua yake, yeye alikuwa amemlenga Zahara ila akajikuta anaandika Nasira,"
"mh!!.. kwa hiyo?. "
"Kwa hiyo Zahara ndie muolewaji,"
"Nasra atazipokea vp hizi taarifa mbona ni balaa hili,"
"balaa gani itabidi akubaliane na matokeo tu,"
"mh!!. Itabidi nimpigie chande nimuombe amsihii seif,"
"amsihi nini tumeisha yaongea na Zahara amekubali na seif amepokea taalifa hizo tayari,"
"kwanini mmefanya hiv lakini bila kunishirikisha?."
"Hata ungeshirikishwa ungeamuwa nini muoaji ndiye anaechagua,"
"sawa basi yameisha muandaeni Zahara japo inaniuma,"
"kinachokuuma ni nini sasa hawo wote si wanao?."
"Ndio lakini jua kuwa Nasra tayari alianza kufundwa na taarifa zimezagaa kwa watu wa familia na marafiki,,"
"hilo siyo tatizo kama nyota yake ni ya chooni huwezi kuisafisha ikawa ya dhahabu,"
************
Taarifa zimfikia Nasra siyo siri aliumia sana kwani alijuwa kuolewa kwake atakuwa ameondokana na mateso ya hiyo familia ila imekuwa ndivyo sivyo kwake,
*nilijuwa naolewa naenda kuanza maisha yangu ila imeshindikana, ni bora nichukue maamuzi magumu maana hii ni aibu ndugu na jamaa walijuwa naolewa ila imeshindikana inanibidi niamuwe maamuzi magumu nikitoka kwa huyu kugwi sitoonekana tena pale kwenye ule mji, nimeteseka vya kutosha watu wa familia moja wananibagua kama hawanijui wamesitisha masomo yangu wananipiga kama ngoma na baguliwa mpaka kwenye vyombo chombo nacholia mimi wenye hawakitumii pedi hawaninunulii msichana mzima natumia matambala? Baba yangu anamiliki boti tatu mabasi zaidi ya mia nyumba zaidi ya hamsimi alafu nalala chini bila hata godoro kweli?*
Nasra alisikitika sana hapo aliahidi kuchukua maamuzi magumu sikujua anaenda kuchukua maamuzi gani tutajua mbele ya safari,,
Itaendelea..
 
Sehemu ya 5.
Harakati za harusi ziliendelea siku yenyewe ikazidi kusogea hatimae siku yenyewe ikafika,
"Seif siku yenyewe ndiyo hii imefika unaenda kuchukua mwali wako vipi unajisikiaje?"
"Najisikia vizuri ila vp kuhusu ile nyumba Juma kaisha ilipia?"
"Kaisha lipia na leo anapeleka vitu ndani na pia nimeongea na Amina atakusaidia kupamba kwa hiyo utafika nakulala na chombo chako,"
"mh!! Nyumba yenyewe niliyohamia siyijui wala nini kwa hiyo nitakuwa na mimi ni mgeni,"
"Acha hizo seif ile nyumba mpya ya mzee shengoma pale magomeni huijui?."
"Naijuwa mbona ile nyumba kubwa sana,,"
"ile mtakuwa wapangaji wawili ila wa pili hajapatikana yule mzee amesema wewe ndie utakaye tafta mpangaji wa pili,"
"Kwanini?."
"Anasema ukimtafta wewe yeye hatapata malalamiko yoyote,"
"kwa hiyo na kodi nitakuwa napokea mimi?. "
"Ndio kwani situmemlipa kodi ya nyumba nzima,, "kumbe ile laki tano ni ya nyumba nzima?."
"Ndio,"
Tulijadili makazi maana ilibidi mimi kuwapa kazi marafiki zangu wa dar es salaam wanitaftie nyumba ya kuishi,,
Mda ulifika pilika pilika za harusi zilikuwa zikiendelea vizuri sana na mda ulipofika tulielekea kwao na bibi harusi kuchukua mke ila kuna sehemu ilinichanganya pale shehe alipokuwa akifungisha ndoa,"
"Seif jabu uko tayari kumuoa Zahara,"
alipofika kwenye hilo jina niligeuka pembeni yangu nikamuangalia Chande ila chande naye niliona ameshangaa kusikia lile jina ila akaniambia kwa ishara kuwa niitike,"
Nilikubaliana na yote ila baada ya kumaliza nilimgeukia Chande,"
"Chande kulikoni?."
"Na mimi sielewi?."
"Ngoja tutayajua kwao huko huko,,"
Tulifika kwao na Zahara shamla shamla zilikuwa zikiendelea furaha ilikuwa imetawala na kila mtu aliyekuwepo pale alionesha jino kuashiria amefurahia kile kitendo kinachoendelea pale,
Baada ya kutulia kidogo nilipelekwa kwenye chumba alichomo bibi harusi ili kuhakikisha kama ndiye mlengwa au siyo,"
Niliingia ndani ya chumba nikamkuta mwali akiwa amekaa kitandani ila cha kushangaza alikuwa peke yake bila mpambe hata mimi nilipoingia niliambiwa niwe peke yangu ina maana nilikuwa mimi na bibi harusi tu jambo ambalo siyo utaratibu.
"Habari yako mke wangu?."
"Nzuri mme wangu,"
Nilimsogelea ili nimtoe kitambaa nihakikishe kama ndiye mke niliyekusudia,,"
Nilivuta kitambaa juu nikakutana na sula ya Zahara,
Itaendelea...........................
 
Enhee ikawaje si naahirisha ndoa nauziwaje mbuzi kwa gunia??
 
Kawaida mjini ni mipango na kila mtu anaishi mjini kwa mahesabu yake anayoona yako sahihi,,
Nilipotimiza miaka 19 nilitamani kuoa kwa kuwa niliamini ili kupata mafanikio zaidi ni lazima niowe ila msichana niliyewazia kumuoa alikuwa ni binti mwenye elimu yake ili niweze kumpatia japo kamtaji afanye biashara au nimtaftie kazi ya kufanya,
Katika maisha yangu ya ubachela nilikuwa nilikuwa naishi na rafiki yangu anayeitwa Chande, chande alikuwa ni msomi mkubwa kwani alikuwa ni dokta katika hospital ya mhimbili na pia alikuwa ni mtumishi katika hospital ya Agakan alikuwa ni dokta pekee wa moyo Tanzania nzima kwa hiyo taifa lilimhitaji sana serikari ilimkumbatia sana kwa kumpa mshahara mzuri na malupu lupu yasiyokuwa na idadi kifupi alikuwa ni mtu mhimu sana katika idara ya afya,
Alikuwa ni mtu asieyeweza kukamatwa na polisi hata itokee amefanya kosa gani,
Katika suala langu la kuowa nilimuomba ushauri,,
**************
"Chande mimi nafikiria kuoa,"
"Unataka kuoa lini?."
"Mda wowote nikipata binti ninaye mpenda,"
"Ina maana hata mchumba huna?"
"Sina,"
"Sasa unataka kuoa jiwe au mto?"
"Nilikuwa nahitaji ushauri wako katika hili suala,"
"Ushauri wa namna gani seif?"
"Nahitaji mke msomi ili niweze kujipanua kimawazo na kipato kwa ujumla,"
"Kwa hiyo unahitaji shuga mamy la kukuhudumia."
"Siyo hivyo ninahitaji msichana msomi mwenye miaka 18-20, kwa kuwa najua naweza kumpa biashara akafanya na pia kama hawezi biashara basi naweza mtafutia kazi."
"Seif una mawazo mazuri sana ila kumpata msichana msomi siyo kwamba utakuwa umepata msichana mwenye tabia njema hilo ulitambua?."
"Nalitambua hilo suala ila nina imani nitamlekebisha,"
"Sawa kama unalifaham hilo kwa hiyo nikusaidie vp?"
"Unajua ukikaa na uwa ridi na wewe utanukia tu,"
"Una maana gani?."
"Na maana kuwa nikiwa na wewe msomi hakika nitampata msomi mzuri mwenye tabia nzuri pia."
"Seif usiwe nashaka na hilo mimi nitarikamilisha tu wewe jiandae mimi nina safari ya zanzibar kwa hiyo tutaambatana wote' kule kuna msichana nitakuonesha amehitimu chuo mwaka huu,"
"Sawa nitashukuru kwa hilo,"
************
Siku hazigandi hatimae tulianza safari ya zanzibar mimi na chande,
"Seif huyo binti anaitwa Zahara ni shombe shombe wa kialabu amehitimu udokta na anatarajia kufanya kazi katika hospital ya mhimbili,"
"Mh!!!..!!.. shombe shombe baby,"
"Unaenda kuoa kwa warabu bwana seif,"
"Mungu ajalie tu nifanikishe,"
"Utafanikisha tumuombe mungu,"
Tulingia zanzibar tukawa tumefikia kwa shangazi yake na chande.
"Seif mtoto yuko nyumba hiyo ya pili"
"Mh!!..!!.. ni geti kali?"
"Ndio baba yake ni mzito hapa zanzibar,"
"Tutaingia kwao lini?"
"Ni Sasa hv jiandae twende hakuna muda wa kupoteza."
Nilijianda vizuri sana nikavaa nguo nayojuwa inanitoa vizuri kisha nikamtaka chande twende.
"Chande twende tayari normalize"
AAX!!.. JIRANI TAM TAMUU 2/
Nilitoka na chande mpaka nyumba ya pili kwenda kujionea mtoto shombe shombe Zahara tuligonga hodi tukakalibishwa.
"Dokta chande karibu sana,"
"Asante jamani za siku nyingi?"
"Nzuri tunamshukuru mungu,"
"Naona umetuletea na mgeni karibu mgeni?."
"Asante,"
"Habari yako mgeni?."
"Nzuri vp nyie hapa nyumbani?."
"Sisi ni wazima wa afya,"
"Nashukuru kisikia hivyo,"
"Dakika mbili nakuja,"
"Sawaa,"
"Chande huyu ndiye yeye nini?."
"Tulia wewe siyo huyo huyo ni nasira ni mtoto wa nje wa huyu mzee hapa wanamfanya kama mfanyakazi,"
"Jamani ni kazuri alafu kachangamfu,"
"Umeanza ujinga wako?."
"Si ninasifia tu kizuri kisifie bwana,"
Gafla alitokea binti mrefu mwenye shepu nzuri akatoa salam.
"Asalam aleykum?."
"Waleymumsalam mzima?"
"Mimi mzima karibuni sana,"
"Asante,"
"Dokta chande za siku nyingi?"
"Nzuri ukaondoka dar es salaam bila kuniaga?."
"Ilikuwa ni gafla tusameheane,"
"Sawa huyu ni rafiki yangu anaitwa Seif anafanya kazi air port dar es salam, Seif huyo ni zahara ni rafiki ila ni kama ndugu,"
Zahara alinyanyuka akanipa mkono.
"Nashukuru kukufaham karibu sana jisikie uko nyumbani,"
"Asante na mimi pia nimefurahi kukufaham karibu dar es salaam kwetu,"
"Asante siku nikija nitakutembelea,"
"Karibu sana,"
Tuliendelea na maongezi ya hapa na pale gafla mlango ukasukumwa na alieingia hakuwa mwingine alikuwa baba na mama wa zahara.
"Asalam aleykum Benjamin?."
"Waley kumsalam Hatujambo shikamoni,"
"Marhaba, chande za miaka?"
"Nzuri baba za siku?.."
"Tunashukuru sisi ni wazima,"
Maongezi yalianza upya hatimae tukaaga na tukaondoka kurudi nyumbani kwa shangazi.
Itaendelea......
1. Summary pls.
2. r na l unavyozitumia zinakata steam.
3. Dr Chande huyu wa Muhimbili ya leo?
 
Sehemu ya 6.
Like ndio itakayo leta mwendelezo.
Nilishituka kukutana na uso kwa zahara,,
"Haaa... kulikoni wakati nimemchumbia nasira,"
"Unasemaje seif?."
"Nilimchumbia nasira,"
"Mbona mnataka kunichanganya au mlipanga kunitia haibu?."
"Siyo hivyo Zahara mimi nilitoa posa kwa ajiri ya nasra,"
"Kwanini lakini....kwann?."
Alinyanyuka kitandani akachukua kisu kilichokuwa kwenye meza iliyokuwa na keki,,
"Bora kufa tuu"
"Zahara acha usifanye hivyo mamaa eeeh..."
Ilibidi kumbembeleza maana hali ilikuwa tete,,"
"Seif hii ni aibu kama ulimchumbia nasra iweje niambiwe mimi?."
"Unajua Zahara hii yote ni mipango ya mungu siyo ya watu mungu huenda aliniandalia wewe katika maisha yangu,"
"Seif huwezi kunipenda kwa sababu hukunipenda mimi,"
"Achana na hayo nakupenda ila nilikuona wewe ni wa matawi ya juu,"
"Seif yaani..."
Nilimkata kauli,,
"Tuyaache hayo tuonge mengine,,
Ama kweli dunia hadaa walimwengu shujaa nilichezewa chenga ya mwili nikabaki nimeduwaa kama zahara angekuwa mchezaji basi angekuwa Ronaldinho maana chenga aliyonichezea ilikuwa ni ya hatari,,
"Mke wangu nakupenda sana,,"
"Hata mimi mume wangu,"
"Inabidi mambo yaende fasta maana tunaondoka na ndege ya saa tatu usiku,
"Sasa hv ni saa moja usiku,"
"Tutaondoka hapa saa mbili,,"
"Sawa,"
Niliongea mengi na zahara baada ya nusu saa tulitolewa nje ili kuwaaga watu walioudhulia katika hiyo harusi,,
************
Tulipewa zawadi nyingi sana zikiwemo pesa yaani kwa macho yangu niliona zile pesa nilizopewa zinaweza kuzidi hata pesa niliyotumia,,
Macho yangu yaliangaza huku na kule kuona kama nitamuona Nasra ila sikumuona roho iliniuma sana kwani nilihisi nimejidhulumu kuoa mwanamke ambae si kusudio langu,,
Niliomba kwenda uwani (chooni) ili kuona kama nitampata nasra,
Nilienda chooni nikiwa na Chande rafiki yangu,
"Seif haka kamchezo walikotuchezea ni kakimataifa,"
"Inaniuma sana,"
"Pole mtu wangu, ila jaribu akikushindwa unatwanga taraka"
"Asante kwa ushauri ila jua kuacha kugumu."
Nilpofika maeneo ya chooni nilishangaa kumuona msichana akiwa anaosha vyombo,
"Chande nasra yule pale,"
"Haa ni yeye bwanaaa..."
Nilimkimbilia huku moyo ukisema huyu ndie nimpendae mimi Zahara ataniona mbaya leo.....
 
SEHEM YA. 7
tuendelea......

Nilimfika yule dada nikamshika mgongoni akashituka,

"Nini wewe kaka??."

"Nasra.."

"Mimi siyo nasra.."

Nilimuangalia chande,"

"Seif huyo siyo nasra,"

"Na mimi nimeona,"

"Dada nasra yuko wapi?."

"Nasra alitoroka baada ya kuambiwa kuwa hataolewa ataolewa Zahara,"

"Kwani yeye alijuwa kuwa ndie nitakayemuowa?."

"Ndio alijuwa maana taarifa alipewa kuwa amechumbuwa na akapelekwa kufundwa ila akiwa huko akaambiwa kuwa kibao kimebadilika hataolewa yeye bali ataolewa Zahara,"

"Mh!!!.... ni lazima ajihisi vibaya kweli hakutendewa haki,"

"Dada mbona unafanana na Nasra?."

"Ni mdogo wangu kwa mama mmoja tulizaliwa wawili ila mama yetu alifariki baada ya kufariki nasra akachukuliwa na huyu baba yake na mimi nikabaki peke yangu bila wazazi kwani baba yangu alifariki kitambo baada ya maisha kuwa magumu nilikuja hapa kuomba hifathi ndio nikapewa kazi za ndani,"

"Pole sana dada,"

"Asante.."

"Chande vp turudi,"

"Poa,"

"Dada kwaheli ila huyo Nasra alienda wapi?."

"Alienda dar es salaam,"

"Anapatikana maeneo gani?.
"Kimara..."

"Nipe namba zako,"

"Hz hapa,, 078*4*5875,"

"Poa kwaheli?."

Tulirudi sehem zetu kila mmoja akaendelea na shuguli zake,
"Mme wangu mbona umechelewa?."

"Nilikuwa nateta jambo na chande kuhusu usafiri kule dar es salam,

"Ok."

Mda wa kwenda uwanja wa ndege ulifika tukaianza safari ya kwenda air port,,

Tulifika tukajipakia ndani ya ndege na safari ya kurudi dar ikaanza,,

*************

Tuliingia dar usiku tukakuta ndugu na jamaa wamekuja kutupokea ilikuwa ni furaha sana kwani walikuwa ni wengi sana,

"Karibuni jamani karibuni sana,,"

"Asanteni sana tena sana,,"

Tulichukuliwa mpaka sehemu nilikopangishiwa nyumba kisha wote wakarudi makwao,,

"Zahara karibu sana,,"

"Asante mme wangu,"

Nilitoka nikaenda sebuleni kuangalia mazingira na kuangalia choo nilifurahia mazingira ya pale kwakeli,,

Nilirudi ndani nikampeleka mke wangu kuoga,

"Bafu ndio hiyo kila kitu kimo,"

"Asante,"

"Au nije nikusugue?."

"Mh!!!.. ha...p...ana,,"

Alijibu kwa aibu sana.

Nilirudi chumbani kumsubili mpaka pale alipomaliza kuoga akarudi chumbani,

Na mimi nilienda nikaoga baada ya kumaliza na mimi nikarudi chumbani,,

"Mke wangu nakupenda na safari yetu ya maisha imeanzia hapa,"

"Ndio mme wangu nakuahidi kuvulia kwa kila hali,"

"Sawa,,"

Nilimshika kiunoni nikaanza kumpapasa papasa kama unavyojua mapenzi yanaanza kwa kuvuta hisia za mwenzako,,"

"Se...iif na...o...m..b..a,,"

Aliongea kwa kutetemeka,,

"Unaomba nini?."

"Uni...ache.. nipumzike mpaka kesho,,"

"Mh!!!... hata theruthi tu..."

Niliongea huku nikiwa napeleka mdo kwenye titi lake la upande wa kushoto,,

"Se...iif ja...ma..ni,"
 
Sehemu 8

Mambo yalinoga baada ya kunyonya titi lake la upande wa kushoto,

"Se...iif...axiii......ayiiii..."

Mtoto alizidi kunoga kama kisavu kilichotwangwa na mmsai,

Japo hakuwa chaguo la moyo wangu lakini mtoto alikuwa mzuri umbo zuri macho matam ngozi ya orange ilikuwa nyororo raini kama asali,
ZAhara alikuwa bado ana usichana wake namaanisha bikira,

niliemdelea kumsogeza kwenye ulingo wa dhahabu ili tuweze kungaa,,

"Zahara nakupenda sana, "

"hata mimi nakupenda seif,,"

Nilipeleka mkono kwenye tundu la madini ili na mimi ningae,

Waswahili wanasema ukishika mpini mimi nashika makali ila wenzentu wa nchi jirani ya Rwanda wanasema (kabili nago karuta rimwe) nilipenyeza kidole cha kati mpaka kwenye utam wake hapo chachaaa mtoto wa kike akasala kwa raha aliyoisikia, "seif see....if ayiiii hapoooo mh!!!!..,"

"tulia basi baby,"

"Seif na...si...kia ta...m...u..jamani ta...mu"

, nilicheze kuta za uke kama sina akili timamu hiyo yote ili nizidi kumpoteza mtoto wa kike,

nilipoona analegea nilianza kuvuta mashavu ya k*m kwa mtindo wa kupandisha ny*ng* za mtoto wa kike Zahara,

hapo palikuwa patamu zaidi Zahara alijikuta anapiga bao mbili ndani ya saa limoja na nusu, mapenzi yanahitaji mda siyo unakutana na demu masaa mawili unasema umemnyoosha aa wapi mapenzi ni manjonjo siyo kupalamia kama unapanda mti muandae mtoto wa kike kwanza unaweza kuishi na mke miaka kumi ila usimkojoleshe,

tuendelee ulikuwa ushauri....

ZAHARA alitupia mbili kabla ya mechi kuanza hapo nilipoona hivyo nilipanda juu yake walau nitafte hata kabao kamoja,,

***** *******

Hatimae palikucha maisha tukayaanza kwa pilika pilika za hapa na pale ikiwemo usafi na kupanga namna ya kuishi humo ndani,, "mke wangu mimi nitaanza kazi j'tatu,,"

"mh!!! Hata mimi pia,, "kwa hiyo nyumba itakuwa peke yake, "

"mh!! Ndio,,"

"ila haina shida tutafte pesa tu.."

"kwani mme wangu utakuwa unatoka kazini saa ngapi?."

"Saa kumi ma mbili jioni nafikia hapa nyimbani saa moja,, "sawa kwa tutakuwa tunakula chakula tu pamoja usiku ,, "

"ndio, "

"sawa, "

"kwani mke wangu utakuwa unarudi saa ngapi?. "Nikiingia usiku natoka asubuhi nikiingia asubuhi natoka saa kumi,,"

"hiyo ratiba sijaiafiki kabisa,,"

"mme wangu si unajuwa mimi ni doctor?."

"Hata kama shift ya usiku sijaiafiki,,"

"nitafanyaje sasa kama ratiba ya kazi inasema hivyo?. "

"Elewa kuwa sijaafiki tu basi sasa utajiongeza mwenyewe, nilitia biti ili nianze kumzingua ndoa imshinde mwenyewe,"Itaendeleaa........
 
SEHEM YA. 9
"Mme wangu mbona mashariti ni magumu sana unajuwa kabisa kuwa kazi ya utabibu lazima kuna night na day, "
"hayo mimi siyajui fanya utakachojisikia,,"
"mme wangu?.."
"kaandae chai nahisi njaa,, "
"sawa,,"
Zahara alienda kuandaa chai huku akionekana kukasirishwa na maongezi yangu ya kutaka asifanye kazi za kuingia night (usiku),
Alitayalisha chai akanikalibisha chakula, "
"karibu chai mme wangu,"
"asante,"
Nilienda sebureni nikakaa mezani na yeye akakaa hapo mezani tukaanza kunywa chai,
"Chai tamu alafu nzito, "
"nzito kivipi?,"
"vitafuno ni vitamu,"
"ahaa nilikuwa sijakuelewa,, "
"mke wangu nakupenda sana ila nakweleza kitu kimoja siwezi kukurusu kwenda kazini shift ya usiku kwa kuwa siwezi kulala kitandani peke yangu ili hali najuwa nina mke, sikukatazi kufanya kazi ila fikiria utafanya nini ukiamuwa kwenda kazini usiku ni wewe kwa ruhusa wako sio wangu,"
"mme wangu lakini si umeniowa ukijuwa fika kuwa mimi ni doctor?."
"Ndio,"
"sasa kwanini uniwekee vikwazo?."
"Sikuowa mke ili aniache kitandani bali nimeowa mke wa kunifariji kitandani,"
"ina maana kila siku utakuwa unanihitaji kufanya mapenzi."
"Ndio,"
"hata nikiwa kwenye siku zangu?."
"Ndio, "
"eti nini?. "
"Kwani kukuhitaji mpaka nifanye mapenzi na wewe hata maongezi yanatosha, "
"mh?.. haya bana,,"
*************
Siku zilikatika hatimae siku za kuanza kazi zikafika kila mmoja akaamkia kazini,"
Nikiwa kazini chande alinitembelea, "
"vp best mbona kimya kingi sana?."
"Nipo ndugu yangu kama unavyoona niko nawajibika hapa,, "
"au wife (mke) kakubana sana?."
" Aa!.. wapi kawaida tu. "
"Sasa kuna suala nataka nikuambie kabla sijasahau,, "
"suala gani hilo tena?. "
"Pale umeisha weka mpangaji?."
"Bado, "
"kuna doctor jamaa yangu hata mkeo anamjua anahitaji nyumba,,"
"ana mke au yuko single (pekee)?. "
"Ana mke, "
"watoto wangapi?. "
"Kaoa mwezi uliiosha bado ni new (mpya) kama wewe?. "
"Sawa mwambie nyumba ipo, "
"hata leo yeye anataka kuhamia?. "
"Si unaona niko kazini hapa ndugu yangu, "
"basi atavumilia, "
"au chukua funguo mpeleke ulimwambia sebule ni ya kwangu yeye anakuwa na vyumba viwili tu?."
"Anajua,, "
"jiko, bafu na choo ni vyakuchangia,"
"hana tabu kuhusu hilo, "
"haya chukua funguo ukamuhamishe basi, "
"poa,"
Nilifanya kazi zangu mida ya saa 5:28 mke wangu akanipigia simu, "mme wangu habari ya kazi?. "
"Nzuri vp wewe?. "
"Namshukuru mungu niko poa,"
"sawa,"
"mme wangu utanipitia?."
"Wapi?. "
"Si kazini?. "
"Nitakupitia saa 06»29, jioni"
"sawa,"
Mda wa kazi uliisha nikampitia wife mpaka nyumbani, tulipoingia ndani akashituka, "
"hee mbona mlango uko wazi?. "
"Kuna watu ndani, "
"wawapi?. "
"Wapangaji, "
"mh!!.. ok."
Tuliingia ndani mke wangu akaanzia kwenda uwani (chooni) mimi niliangia nilipofika sebuleni nilikutana uso kwa uso na mtoto wa kike mzuri amejaliwa "INYE"
balaa nilimtolea jicho mpaka akashituka,,,
Itaendeleaaa.....
 
Sehemu 10
Wakati nikiwa nimetoa jicho kumshangaa alitokea mmewe,
"karibu kaka habari yako?."
"Nzuri mimi ndie wa kuwakaribisha karibuni mimi ni Seif jabu, "
"Nashukuru kwa kuku faham na mimi ni Dk Juma, na mke wangu hapa anaitwa shomy,"
Tukiwa tunaendelea na utambulisho mke wangu aliingia akitokea uwani,
"Ok na mimi huyu ndie mke wangu anaitwa Dk Zahara,"
"Namfaham ni dokta mwenzangu japo tuko hospital tofauti,"
"Zahara: dokta juma karibu sana,"
"asante,"
"Sawa baadae, "
"sawa kaka,"
Nilimchunguza dokta juma nikaona kamkonyeza mke wangu kiaina na mke wangu na akachia tabasamu dogodogo nililiweka kichwani nikaahidi kulifanyia kazi,
Tuliingia chumbani mimi na mke wangu tukaanza maongezi ya hapa na pale,
"Mke wangu ulifahamiana vp na doctor juma? "
Mke wangu alishituka kidogo kisha akanijibu,
"Seif mme wangu kwanini umeniuliza hivyo?. "
"Nina sababu?."
"Sababu ipi?. "
"Nataka kujua wewe nijuze kwanza,"
"mme wangu mbona hivyo lakini?."
"Kwa hiyo swali limekushinda?. "
"Siyo kwamba nimeshindwa kukujibu?."
"Ila?. "
"Nashangaa swali hilo?. "
"Basi kapike,, "
"mme wangu kwanini hivyo?."
"Nimekwambia kapike, "
Zahara alibadilisha nguo kisha akaenda jikoni baada ya dk5 akarudi chumbani,
"Karibu chakula mme wangu, "
"ina maana umeivisha?. "
"Shomy mke wa juma kasema katuweka kwenye ratiba ya chakula cha usiku,
"mh!!.. poa,"
Nilipoguna aliniangalia usoni kisha akakaa kimya ila alionesha kutofurahia mgumo wangu,,
************
Tulijumuika mezani wate kwa ajiri ya kupata chakula kwa pamoja,
"shomy: karibuni tuanze kula,
wote: "asante,"
Tulianza kula huku maongezi ya hapa na pale yakiendelea.
Seif: "kwa hiyo shomy unafaya kazi gani?. "
Shomy: "meneja NMB makao makuu,"
"hongera,,"
Shomy: "asante na wewe je?. "
Seif: "mimi pia ni meneja wa kampuni ya usafirishaji mixing kwa njia ya Anga BTS,"
shomy: "hongera sana seif kazi yako ni nzuri sana,"
Maongezi yaliendelea mpaka mida saa nne tukaahana kila mmoja akaingia chumbani na mkewe,
Tulilala asubuhi kama kawaida pilika pilika za kwenda kazini kama unavyojuwa lazima uoge, nilipoenda bafuni ile nagusa kitasa cha mlango kumbe shomy alikuwa bafuni na yeye alikuwa ananyonga kitasa ili atoke mlango ulifunguka tukakutanisha macho nilimuangalia kuanzia chini mpaka kifuani alikuwa ndani ya khanga moja tu alafu imelowa chepe chepe,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom