Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,841
Nimekaa katika nyumba ya kupanga huu mwaka wa nne. Na nimekaa kwa amani sana. Miezi mitano iliyopita kunampangaji mpya kaja jirani yangu, yeye ni mwanamziki fulani hapa nchini.
Mimi huwaninachoka sana nikiwa kazini kwahiyo nina hita ji mda wa kupumizika.
Kinachonisimbua huyu jirani yangu sio mstaarabu yaani ikifika saa tatu au zaidi usiku anafungulia mziki mkubwa kiasi kwamba ninashindwa kulala.
Nimekuwa nikimuambia apunguze huwa anapunguza lakini baada ya siku kadhaa anarudia tena kitendo hicho.
Kilichonikera zaidi jana mida ya saa 5 usiku kaja kusimama dirishani kwangu akiongea na simu kwa sauti ya juu huku akiongea kingereza kilicho vunjika vunjika. alichukua mda mrefu kweli anaongea, anacheka
Hivi nimfaye nini huyu?
Nimechoka kumueleza kila siku. Isitoshe sisi sote ni vijana tumekuja kutafuata hapa Dar.
Mimi huwaninachoka sana nikiwa kazini kwahiyo nina hita ji mda wa kupumizika.
Kinachonisimbua huyu jirani yangu sio mstaarabu yaani ikifika saa tatu au zaidi usiku anafungulia mziki mkubwa kiasi kwamba ninashindwa kulala.
Nimekuwa nikimuambia apunguze huwa anapunguza lakini baada ya siku kadhaa anarudia tena kitendo hicho.
Kilichonikera zaidi jana mida ya saa 5 usiku kaja kusimama dirishani kwangu akiongea na simu kwa sauti ya juu huku akiongea kingereza kilicho vunjika vunjika. alichukua mda mrefu kweli anaongea, anacheka
Hivi nimfaye nini huyu?
Nimechoka kumueleza kila siku. Isitoshe sisi sote ni vijana tumekuja kutafuata hapa Dar.