Jirani amemfuma mke wake na dereva kitandani.

Jirani amemfuma mke wake na dereva kitandani.

tatizo wanaume wanafikiri wakiwa na pesa ndo kila kitu, inaonekana mke alikuwa haridhishwi kitandani japo sifagilii kuchepuka pamoja na pesa hakikisheni kitandani mambo safi sio mnafuga vitambi tu
 
Najua wote wanaume kwa wanawake huchepuka, LAKINI kitu moja cha ADABU kwa wanaume ni kuwa, "HAWACHEPUKII KWENYE VITANDA VYAO VYA NDOA." Wanawake wana matatizo sana, akili zao zina matatizo kiasi cha kuchepukia kwenye kitanda cha ndoa.
Kuna wanaume pia hufanya hivo kitanda anacholala na mke ndio hicho hicho analala na mahawara
So ni tabia tu haijalishi jinsia
 
Hawa watu sijui wanapata wapi hui ujasiri
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji20] [emoji13] [emoji13] [emoji21] [emoji13] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
hapo bila bila wanatuibia bandarini na sisis tunaiba dawa ya penzi...
 
Angewaacha tu awangalie vizuri ili aone anakosea wapi. Maana pesa anazo lazma tu kuna kitu anakosea huko ndani
 
Mbona kama story hii. Anapokuwa Boss na dereva huwa maeneo hayo isipokuwa nyumban tu. Huyo Boss alikuwa wapi mpaka dereva wake apate Muda wa Kuja Kula mkewe.
 
Asubiri kulea mimba ya Dereva wke,, Yeye Anaiba fedha za JPM pale TRA dereva nae Anaiba Papuchi chumbani,,
 
Madereva wanawajua sana michepuko ya maboss wao May be jamaa aliitumia fursa hiyo
 
Mngoni uminifurahishi kwelkwel.. kwani zili fuji ziliishi sa ngapii?? Au zilindelee mpak keshu yaki lukela..?? Na ulipukosa kulala usiku uli ilikuwaji mchani waki..?? Hukulali kwel kwenyi majukumi yaku..??

Hahah huu ni ukolofi
 
Kukutwa huko ndio kunawafanya msilale....???
 
Kuna wanaume pia hufanya hivo kitanda anacholala na mke ndio hicho hicho analala na mahawara
So ni tabia tu haijalishi jinsia
Ni kweli uyasemayo, lakini matukio karibia yote ya kuchepukia kitandani mwa ndoa huwa nasikia ni wanawake!
 
Back
Top Bottom