P. Majaribu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 1,192
- 625
Baada ya operation kali inayoendelea nchi nzima kwa sasa, hawa jamaa kutoka India ujanja wanaoutumia wakidhani watabaki salama ni kubadilisha title za vyeo walivyokuwa wanahodhi kwa muda mrefu, huku wakiwaacha wazawa wakiambulia kazi kama vibarua. Kwa mfano unakuta muhindi alikuwa procurement manager kazi inayoweza kufanywa na mzawa wa kawaida kabisa, leo hii anajifanya ni Procurement consultant.
Hii ni kuichezea serikali yetu, tunaomba mamlaka husika iliangalie hili kwa kina, kwa kuzingatia sheria zilizopo.
Hii ni kuichezea serikali yetu, tunaomba mamlaka husika iliangalie hili kwa kina, kwa kuzingatia sheria zilizopo.