Mwl.RCT
Platinum Member
- Apr 5, 2009
- 15,704
- 22,583
- Thread starter
- #941
Habari,Mbona zimebuma tena
Wakati tunasubiri ds** kuna option nne (4) za kuendelea kutumia qsat yako.
1. Kuelekeza dish Canal 22w - iko hewani kwa sasa.
2. Canal 16A @16e - Hapa utahitaji CCcam account, Nitakupa 24hr FREE TRIAL ACCOUNT baada ya kuingiza channel; Baada ya hapo waweza kuamua kununua account kwa tsh 85'000 kwa miezi mitatu (3) ; Channel list angalia hapa: www.v.ht/c16e
3. Kwa kutumia IPTV: Kwenye remote bonyeza SOURCE utaona hiyo option ya IPTV
4. Load SoftCam key file [ hii ni kwa Qsat q26 & 28 ] - ili uweze kufungua channel zilizofungwa kwa mtindo wa Power Vu. Option hii inakutaka uwe na Dish la FT6 na C-Band lnb zaidi ya moja. Na sat husika ni hizi hapa:
--------------------------------
Intelsat 20 at 68.5?E - LyngSat (NHK,SonyTV,Discovery,Skynews) 68.5E
Intelsat 17 at 66.0?E - LyngSat (SonyTV,Encompass) 66E
Intelsat 906 at 64.2?E - LyngSat (AFN) 64.2E
NSS 12 at 57.0?E - LyngSat (MTN,BWTV) 57E
Nilesat 102/201 & Eutelsat 7 West A at 7.0?W - LyngSat (BWTV) 7W
Telstar 12 at 15.0?W - LyngSat (Fight Network) 15W
NSS 7 at 20.0?W - LyngSat (MTN) 20W
------------------------------------------