Mkuu si lugha ya kibiashara, bali waweza ukaja hapa ofisini ukakuta imechajiwa, unatumia mpaka huo mda niliokwambia, ukiona hayajafika hayo masaa, basi usitoe pesa yako. Kwa niliowauzia kama wapo humu, namuomba mmoja atoe ushahidiMkuu hapo kwenye hayo masaa ni kweli au ndio lugha ya biashara??
Mkuu una jiko la gesNtakucheki
Nina min lenovi
Hard disk 320gb
Ram 2gb
Processor 1.60ghz
Bei 350,000
Siyo mbaya sana. Ina software gani installed. Je, uzito wake?
Ninalo, nilkuwa naktaji hp coi5 au 3 pavilionMkuu una jiko la ges
haya mkuuKaribu mkuu
unapatikana mkoa gani nije kuchukua mbili chapView attachment 639524View attachment 639525View attachment 639526View attachment 639527Min Hp pamoja na dell
Hard disk 250gb
Ram 2 gb
Processor 1.60 Ghz
Zina web camera
Zinakaa na chaji masaa 8
Bei tsh 250,000/=
Anayehitaji anichek 0623554361
Mkui weka picha basiIpo coi5 ni tsh 500,000/=