Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,889
- 2,215
Hujaweka Speed yake ni GHZ ngapi??
Umeandika ukubwa wa RAM
Hard disk vipi kuhusu processor speed???
Umeandika ukubwa wa RAM
Hard disk vipi kuhusu processor speed???
Made in China???
Kwa tsh 300,000/=
jipatie MIN LAPTOP
Aina ya dell yenye sifa zifuatazo.
- HARD DISK 320 GB
-RAM 2GB
-WEB CAMERA
-ZINAKAA NA CHAJI 8 Hrs
-Bei 300,000/=
Anayehitaji anichek 0623554361
KARIBUNI
View attachment 633578View attachment 633579View attachment 633580View attachment 633581View attachment 633582View attachment 633583
Ok mkuu, asante kwa kunirekebisha, nadhan hilo neno model ndio limeweka kizingiti hapo, but nia yangu ilikuwa ni kuandika BRAND NEW. Nitafuta chapisho hili nitaandika jingine.Siingilii biashara yako, ila unachokifanya hapa ni kufukuza wateja. Picha sawa umeweka, Bei umeweka, lakini ili kukata mzizi wa fitina juu ya hizo laptop kama ni mpya ama laa, ungetaja model number husika ya hizo laptop wateja wajiridhishe hiyo kauli yako ya NEW MODEL.
Vinginevyo utajiharibia uzi wewe mwenyewe.
Nifahamishe mjuaji
NtakuchekiView attachment 639524View attachment 639525View attachment 639526View attachment 639527Min Hp pamoja na dell
Hard disk 250gb
Ram 2 gb
Processor 1.60 Ghz
Zina web camera
Zinakaa na chaji masaa 8
Bei tsh 250,000/=
Anayehitaji anichek 0623554361
...
Min Hp pamoja na dell
Hard disk 250gb
Ram 2 gb
Processor 1.60 Ghz...
HDD capacity ndogo angalau ingekuwa >320GB
Utapata kwa 300,000/=,
Pesa yako tu.