Hilo ni toto la Kariakoo, humwambii kitu huyo;
Halafu Zungu lina personality na linaendesha bunge kijeshi-jeshi, "sasa nawaambeni nyamazeni na kama hamkunyamaza nawatoa wote nje mkaongelee escrow kwenye canteen na magari yenu". Wote kimya.
Nna uhakika siku moja itamtoka "msilete u---ge humu". Ngojeni mtaja nambia, hilo ni nunda tena nunda kweli kweli.
inasikitisha sana mtu kuwa mbaguzi....bunge hata aendeshe mhindi mzungu mchina as long ni mtz ni sawa, naona mleta mada hamfahamu mh zungu vizuri
bado mleta mada anatakiwa kubadilika sana na kujifunza mengi
Mimi nimezaliwa na kukulia Dar Kata ya Kunduchi lkn sijawahi kumuona huyo Mzungu akiongoza Bunge!
Sasa mbona unaongea na kujijibu mwenyewe umeshasema SIYO Mweusi, sasa kuna kosa gani kumuita Mzungu?
Ila mjaluo kuongoza wazungu powa?
Kwa sababu Mussa Zungu si mzungu.
Mimi nimezaliwa na kukulia Dar Kata ya Kunduchi lkn sijawahi kumuona huyo Mzungu akiongoza Bunge!
Hilo ni toto la Kariakoo, humwambii kitu huyo;
Halafu Zungu lina personality na linaendesha bunge kijeshi-jeshi, "sasa nawaambeni nyamazeni na kama hamkunyamaza nawatoa wote nje mkaongelee escrow kwenye canteen na magari yenu". Wote kimya.
Nna uhakika siku moja itamtoka "msilete u---ge humu". Ngojeni mtaja nambia, hilo ni nunda tena nunda kweli kweli.
Nilijua tu! ukiona huo wajihi lazima unyeguke!
mtoto mdogo kama wewe utamjuaje huyo?Huyu mzungu ametokea wapi na kuja kuongoza Bunge letu tukufu, mbona sijawahi kumuona wala kumsikia ama ni Photoshop?
View attachment 205807
Hilo ni toto la Kariakoo, humwambii kitu huyo;
Halafu Zungu lina personality na linaendesha bunge kijeshi-jeshi, "sasa nawaambeni nyamazeni na kama hamkunyamaza nawatoa wote nje mkaongelee escrow kwenye canteen na magari yenu". Wote kimya.
Nna uhakika siku moja itamtoka "msilete u---ge humu". Ngojeni mtaja nambia, hilo ni nunda tena nunda kweli kweli.