Jionee mwenyewe

Jionee mwenyewe

Aaah!Wapi,amedanganya hawezi hiyo kazi.
Weeee weeee weeeee!! Acha kabisa hujiulizi kwa nini muda wote akitupia picha humu jamvini huwa kavaa miwani? Sababu anajua tutamsoma macho yake na kujua yeye ni mtu wa aina gani, maana macho ya mtu ndo huleta uhalisia wa hulka ya mtu
 
Kuna mambo yakikutokea inabidi ujiongeze. Ndugu alikuwa anamrudisha mdogo wake kwao baada ya kuwa mahututi basi safari imeendelea ndani ya basi siti za watu wawili yule mgonjwa akafariki yule ndugu kupiga hesabu akaona hapa nikijifanya kulia kuwa dogo kafariki nitashushwa kituo kinachofuatia sababu hii ni gari ya kubeba abiria sio maiti basi akamfunika uzuri safari ikaendelea mpaka sehemu aliyo kuwa anakwenda gari liliposimama ndio kaanza yowe pale ila ndio kaisha fika.
 
Kuna mambo yakikutokea inabidi ujiongeze. Ndugu alikuwa anamrudisha mdogo wake kwao baada ya kuwa mahututi basi safari imeendelea ndani ya basi siti za watu wawili yule mgonjwa akafariki yule ndugu kupiga hesabu akaona hapa nikijifanya kulia kuwa dogo kafariki nitashushwa kituo kinachofuatia sababu hii ni gari ya kubeba abiria sio maiti basi akamfunika uzuri safari ikaendelea mpaka sehemu aliyo kuwa anakwenda gari liliposimama ndio kaanza yowe pale ila ndio kaisha fika.
Fumbo makini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom