ukomavu wa kisaikolojia ni wa taratibu kama ulivyo ukuaji wa kimwili!utatambaa,uta simama dede,utatembea na mwishowe utakimbia na hata kuruka!ndivyo ilivyo ukuaji wa kisaikolojia,utaumizwa hapa,halafu nawe utamumwiza yule,utalia kutengwa na mpenzi,au kuchukiwa na umpendaye,na muda mwingi kwa utoto wa kiakili yanapo tokea matatizo ya kimapenzi unahisi we ndiye mkosefu,mwenye madhaifu na usiye faa...kumbe wakati mwingine mpenzio ndio mwenye shida...kukomaa kiakili na kisha kisaikolojia kunataka muda,jipe moyo utayashinda