simplemind JF-Expert Member Apr 10, 2009 16,409 9,183 Dec 8, 2013 #1 Kwenye pita pita mtaani nimeshuhudia mwanamke mmoja amevaa sunglasses ambazo NILIHISI za wanaume. Je miwani zinao jinsia kama ilivo mavazi?
Kwenye pita pita mtaani nimeshuhudia mwanamke mmoja amevaa sunglasses ambazo NILIHISI za wanaume. Je miwani zinao jinsia kama ilivo mavazi?
ijoz JF-Expert Member Apr 16, 2012 731 710 Dec 8, 2013 #2 Sasa ndugu,wewe ndiye uliyehisi. Kwanini usiweke vigezo vilivyokufanya uhisi ni miwani ya kiume?
Makamee JF-Expert Member Nov 29, 2013 2,029 1,191 Dec 8, 2013 #4 simplemind said: Kwenye pita pita mtaani nimeshuhudia mwanamke mmoja amevaa sunglasses ambazo NILIHISI za wanaume. Je miwani zinao jinsia kama ilivo mavazi? Click to expand... Uliiona ina masharubu?
simplemind said: Kwenye pita pita mtaani nimeshuhudia mwanamke mmoja amevaa sunglasses ambazo NILIHISI za wanaume. Je miwani zinao jinsia kama ilivo mavazi? Click to expand... Uliiona ina masharubu?
Baraka Roman JF-Expert Member Feb 16, 2013 692 262 Dec 8, 2013 #5 Kwani nguo zina jinsia au nimazoeya ya watu tu? Naamin niutaratibu watu walijiwekee hiv avae nan na vile avae nani.kwa uelewa wangu Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kwani nguo zina jinsia au nimazoeya ya watu tu? Naamin niutaratibu watu walijiwekee hiv avae nan na vile avae nani.kwa uelewa wangu Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Tyta JF-Expert Member May 21, 2011 12,767 10,526 Dec 8, 2013 #6 simplemind said: Kwenye pita pita mtaani nimeshuhudia mwanamke mmoja amevaa sunglasses ambazo NILIHISI za wanaume. Je miwani zinao jinsia kama ilivo mavazi? Click to expand...
simplemind said: Kwenye pita pita mtaani nimeshuhudia mwanamke mmoja amevaa sunglasses ambazo NILIHISI za wanaume. Je miwani zinao jinsia kama ilivo mavazi? Click to expand...
Tyta JF-Expert Member May 21, 2011 12,767 10,526 Dec 8, 2013 #7 Baraka Roman said: Kwani nguo zina jinsia au nimazoeya ya watu tu? Naamin niutaratibu watu walijiwekee hiv avae nan na vile avae nani.kwa uelewa wangu Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums Click to expand...
Baraka Roman said: Kwani nguo zina jinsia au nimazoeya ya watu tu? Naamin niutaratibu watu walijiwekee hiv avae nan na vile avae nani.kwa uelewa wangu Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums Click to expand...
simplemind JF-Expert Member Apr 10, 2009 16,409 9,183 Dec 8, 2013 Thread starter #8 ijoz said: Sasa ndugu,wewe ndiye uliyehisi. Kwanini usiweke vigezo vilivyokufanya uhisi ni miwani ya kiume? Click to expand... Viegezo kamili sina ndio maana ya kuandika nilihisi. Haraka nimelirusha JF lijadiliwe kwa kina na mapana. Kwa michango yenu hapo juu pamoja na ushahidi wa picha nime conclude miwani hazina gender, in otherwords anything goes.
ijoz said: Sasa ndugu,wewe ndiye uliyehisi. Kwanini usiweke vigezo vilivyokufanya uhisi ni miwani ya kiume? Click to expand... Viegezo kamili sina ndio maana ya kuandika nilihisi. Haraka nimelirusha JF lijadiliwe kwa kina na mapana. Kwa michango yenu hapo juu pamoja na ushahidi wa picha nime conclude miwani hazina gender, in otherwords anything goes.