Zamani uliambiwa na wahenga kwenda haja kubwa mara kwa mara aka kukata gogo in sababu kuu nywele zinaota kwa kasi sanaNmekuwa nikikwazika na kasi ya uotaji wa nywele kichwani kwangu. Binafsi napenda sana kupiga kipara.naondoa nywele sote kabisa.
Shida ni kuwa baada ya siku tatu nakuta tayar zimeshaanza kuota tena kwa wing tu.nmenyoa jumapili lakin leo n nmejiangalia kichwan utadhan week mbili zimepita.
Je kuna namna ya kuchelewesha nywele kuota?