Jinsi ya kuwa 'anonymous' kwenye mtandao

Jinsi ya kuwa 'anonymous' kwenye mtandao

kiroboto21... snipa anavyokuambia uache siasa, na mimi ninavyohoji kama una technical know-how kuhusu hiyo mifano ya waliokamatwa, point ni hii: Hapa our arguments are logical. Simple.

Umetupa mfano abstract sana, halafu unasema unayo mingine mingi, lakini haijitoshelezi kuitumia kama hoja ya kusema kuwa huwezi ukajificha mtandaoni, na kwa vyovyote vile utakamatwa hasa na wazungu (nadhani ndicho unachomaanisha). Yani tayari hapa ni anecdotal na unwarranted assumption fallacies umefanya.

Ninavokuuliza kuhusu technical know-how, ni kwamba je, unaifahamu hiyo case vizuri kiasi cha kusema kuwa jamaa alijificha vyema na bado akashikwa? Unaweza ukaieleza kitaalam na kuweza kutushawishi wengine kwamba ni kweli alijificha vema na kwa hali ya kawaida asingeshikwa? Ukiielezea hiyo case, sisi hatutoweza ku point out makosa yake yaliyosababisha akashikwa? Kama jibu la swali lolote hapo ni hapana, ndio tunasema unaleta siasa.

au kiroboto21 ni miongoni mwa wanao support muswada wa dhalura
 
Last edited by a moderator:
Je Aina ya device unayotumia inaweza kudetermine usalama wa taarifa zako? Nimeuliza maana niliwahi kuwa na rafiki mzungu alinishawishi sana kutumia Blackberry hasa wakati tunajadili mambo sensitive na had leo nipo adicted na simu hizi. Nipo hapa kujifunza na natanguliza shurkani.

Mghosi

Yeap! Most secure devices ni BlackBerry na Apple. Android anamfuatia Apple kwa karibu. Windows Phone ndiye least secure.

That is according to a research released in May 2014
 
Una uhakika wa asilimia mia na unalolizungumza? Halafu mbona unatishia watu bure? Tema scientific na IT knowledge, sio ulichosikia au woga wako au mikwara.

Mimi sina haja ya kukutisha wewe lakini kama wewe ni IT professional utakubaliana nami kuwa kwenye IT there is no total security ndo maana kila siku kuna patches au updates kwenye IT systems. Mimi hii ni professional yangu kwa zaidi ya miaka 15. Kuna kitu kinaitwa 0 day attack kisome ujuwe kwa undani zaidi then utakubaliana nami.
 
Je Aina ya device unayotumia inaweza kudetermine usalama wa taarifa zako? Nimeuliza maana niliwahi kuwa na rafiki mzungu alinishawishi sana kutumia Blackberry hasa wakati tunajadili mambo sensitive na had leo nipo adicted na simu hizi. Nipo hapa kujifunza na natanguliza shurkani.

Mghosi

Simu za Blackberry ni simu maarufu kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kuficha data zinapotumwa au "Advanced Encryption Capability" iwe kwa njia ya ujumbe mfupi wa sms email na fax.

Makampuni makubwa ndio yalikuwa na uwezo wa kuwanunulia watumishi wake simu hizi na kuziorodhesha kwenye Microsoft Exchange Servers kwa kutumia software yake iitwayo Blackberry Enterprise Server au kwa jina lingine Blackberry Enterprise Service.

Sasa kwenye ofisi wanaweza kutumia feature iitwayo Exchange Actice Synchronisation ambayo inaanisha mawasiliano na Blackberry yenye kitu kinachoitwa push email ambayo kazi yake ni kuchungulia email na data zote kutoka nje na kuzitumbukizia kwenye email box ya Blackberry yako na wewe kazi yako inakuwa ni kusoma tu mtiririko wa data hizi provided tu upo kwenye mtandao.

Sasa utamu wake unakuwa pale unapokuwa kwenye maeneo ya tukio na kupata uwezo wa kurusha tweets kwenda kituo cha habari na ndivyo waandishi wengi wa habari wa kimataifa ndio wanaotumia mtindo huu.

Lakini watu binafsi nao wamekuwa wakizinunua simu hizi kwa wingi na kuweza kufanya kila mtu awe mmiliki hata kama ni ghali.

Ni simu hizi zilisaidia au zinaendelea kusaidia data encryption kwenye nchi za kiarabu kama Misri, Saudi Arabia, Yemeni, Libya na zingine.

Hivyo siri kubwa ya simu hizi ni kwenye suala la usalama kwamba data zinakuwa zimefichwa. Na kama umefanya settings vizuri mtu hata akiiba simu hiyo hataweza kuitumia tena.

Tatizo ni pale simu hizi zinapoweza kutumiwa na baadhi ya watu ambao huja kufanya mambo mabaya kama magaidi na ndio Edward Snowden ameeleza jinsi ya majasusi ama wa Ulaya au Marekani wanavyosaka data kwenye simu hizi kusoma emails, na udukuzi mwingine.
 
unapogonga link ya kujiunga basi anuani hiyo inasajiliwa kwenye mtandao huo na pamoja na mambo mengine mfumo wa computer wa huo mtandao unakuwa unakusanya taarifa za kuhus ni mtandao upi mwingine unatokea kabla hujaenda hapo kwa mfano kutoka google kwenda JF au JF kwenda FB au Tweeter.

Sio mfumo wa computer, ni mfumo wa website yenyewe uliyotembelea, kwamfano nyingi zinatumia PHP IP grabbing scripts kuchukua IP address yako wewe, na katika server side kinachoonekana ni IP address yako pamoja na Browser uliyotumia na OS yako pia mostly.

Pili, search engine zote kama google na yahoo huwa zinahifandhi taarifa zote za PC yako pale unapofanya udukuzi au search kuhusu jambo lolote.

Sio lazima sana kutumia google directly kufanya searching kwasabu kama ulivyosema huwa wanakutrace movements zako.. Ili kukupatia matokeo kiurahisi baadae utakaposearch or for security reason.
Mtu ni muhimu akatumia http://startpage.com ambayo haikeep logs zako yaani unapotumia hii service yao kusearch google huwa wanaona kama mtumiaji anaeserch ni wenyewe startpage lakini sio wewe.,, yaani ni sawa nakumpa mtu akusearchie kwenye computer yake.

Tatu, na hii inahusu JF , Facebook, Tweeter na wengine hawa huwa wanaweka kitu kinaitwa "plugin button" na ukiangalia kwenye mitandao hii kuna hizi pugins nyingi zinazokuelekeza wewe mtumiaji kugonga ama iwe like au kwenda huko kwao ili kufuatilia mambo yanayojiri kwa wakti huo au yaitwa kwa kiingereza "trends". hivyo hwa wote wana uwezo wa kukutrack down mwenendo wako kwa kutumia "IP address" yako.

Sio wote ambao huwa wanatumia plugins... Na mara nyingi huwa hawafanyi tracing unless yawe yale mambo ya Jomlaa

Nne, mtoaji huduma za mtandao wa internet au ISP (internet Service Provider) wanafahamu uwezo wa PC yako kusafiri mtandaoni na wana taarifa zote za wapi unavinjari. Hivyo hata kama umetoa taarifa za ukweli lakinipia unajifanya anonyimous basi kazi hiio ni bure.

Sio lazima ISP ajue device unayotumia kuna vitu kama sendbox environment the place where no one is get hurted.
Umeonglea "User agent"
zamani firefox walikua wanatoa option yakutweak user agent yaani mtu anajua unatumia Linux kumbe ni windows. Mfano What's My User Agent?

Hivyo basi uwezo wako wa kujifanya anonymous mtandaoni ni kwa ajili ya kupunguza uwezekano wa kufahamu kila kitu kuhusu wewe na sio kuzuoa kabisa taarifa zako binafsi.

Anonymous ni kitu kinachowezekana kabisa kama uko knowledgeable na una take kare concerning it.
The word IMPOSSIBLE is found on fools dictionary.
 
Mimi sina haja ya kukutisha wewe lakini kama wewe ni IT professional utakubaliana nami kuwa kwenye IT there is no total security ndo maana kila siku kuna patches au updates kwenye IT systems. Mimi hii ni professional yangu kwa zaidi ya miaka 15. Kuna kitu kinaitwa 0 day attack kisome ujuwe kwa undani zaidi then utakubaliana nami.

That is a well-known concept. Lakini umemove kutoka online anonymity kwenda system security. Labda unielezee vizuri correlation yako hapa....
 
Sio mfumo wa computer, ni mfumo wa website yenyewe uliyotembelea, kwamfano nyingi zinatumia PHP IP grabbing scripts kuchukua IP address yako wewe, na katika server side kinachoonekana ni IP address yako pamoja na Browser uliyotumia na OS yako pia mostly.



Sio lazima sana kutumia google directly kufanya searching kwasabu kama ulivyosema huwa wanakutrace movements zako.. Ili kukupatia matokeo kiurahisi baadae utakaposearch or for security reason.
Mtu ni muhimu akatumia http://startpage.com ambayo haikeep logs zako yaani unapotumia hii service yao kusearch google huwa wanaona kama mtumiaji anaeserch ni wenyewe startpage lakini sio wewe.,, yaani ni sawa nakumpa mtu akusearchie kwenye computer yake.



Sio wote ambao huwa wanatumia plugins... Na mara nyingi huwa hawafanyi tracing unless yawe yale mambo ya Jomlaa



Sio lazima ISP ajue device unayotumia kuna vitu kama sendbox environment the place where no one is get hurted.
Umeonglea "User agent"
zamani firefox walikua wanatoa option yakutweak user agent yaani mtu anajua unatumia Linux kumbe ni windows. Mfano What's My User Agent?



Anonymous ni kitu kinachowezekana kabisa kama uko knowledgeable na una take kare concerning it.
The word IMPOSSIBLE is found on fools dictionary.

Mkuu, kuwa Anonymous mtandaoni kwa sasa haiwezekani, period.

Unafahamu kwamba kuna watu wanaitwa Proxy Operators na wameajiriwa kwa kazi maalum?
 
Umeanza siasa mkuu mi siziwezi.

Hapana mkuu nachokoza mada.

Nataka kufahamu ili ukwepe censorship kama ikiwekwa na serikali je kwa kifupi utawezaje kutuma Data anonymously kupitia tweeter kwenda nje lakini kwa kutumia ISP wa Tanzania?
 
Hapana mkuu nachokoza mada.

Nataka kufahamu ili ukwepe censorship kama ikiwekwa na serikali je kwa kifupi utawezaje kutuma Data anonymously kupitia tweeter kwenda nje lakini kwa kutumia ISP wa Tanzania?

kutuma data au kupost labda uliza vizuri !
 
That is a well-known concept. Lakini umemove kutoka online anonymity kwenda system security. Labda unielezee vizuri correlation yako hapa....

Ndugu yangu online anonymity at the end of it ni IT system ndo inayofanya kazi on the background therefore whether you agree with or not there is no total online anonymity security Kama hujui endelea kusoma zaidi Na zaidi. Kwa sasa hivi kunaushirikiano mkubwa sana kati ya law enforcement agencies Na watoa huduma Wa mitandao
 
ISO M.CodD
Hotspotshield ambayo mmeiongelea hapa wengi wanatumia Free.
Na kutumia Free VPN ni tatizo pia kwasabu hujui logs zako wanazieka wapi, na kama utaamua kulipia napo linaibuka tatizo lingine, utalipa kwakutumia nini ?
Mana njia rahisi ni kutumia your real bank ID kitu ambacho kitakufanya usiwe anonymous tena labda utumie bitcoin or other fake ID, japokua bitcoin nazo ni anonymous lakini sio private.

VPN zinachokifanya nikuprotect data traffics zako "privacy" na TOR inakuprotect wewe "Anonymity" japokua Tor imekua patched mara kibao tu sio yakusema mtu eti ajiamini kupitia hii browser.
Mtu ana hide IP address yake sawa lakini ISP wanafanya nini na DNS.
Bia baridi inakuhusu hapa..
 
ISO M.CodD
Hotspotshield ambayo mmeiongelea hapa wengi wanatumia Free.
Na kutumia Free VPN ni tatizo pia kwasabu hujui logs zako wanazieka wapi, na kama utaamua kulipia napo linaibuka tatizo lingine, utalipa kwakutumia nini ?
Mana njia rahisi ni kutumia your real bank ID kitu ambacho kitakufanya usiwe anonymous tena labda utumie bitcoin or other fake ID, japokua bitcoin nazo ni anonymous lakini sio private.

VPN zinachokifanya nikuprotect data traffics zako "privacy" na TOR inakuprotect wewe "Anonymity" japokua Tor imekua patched mara kibao tu sio yakusema mtu eti ajiamini kupitia hii browser.
Mtu ana hide IP address yake sawa lakini ISP wanafanya nini na DNS.

Kumbe umetoa support kabla kwamba kuwa anonymous mtandaoni ni vigumu.

Sasa ni nani analeta siasa hapa?
 
Kumbe umetoa support kabla kwamba kuwa anonymous mtandaoni ni vigumu.

Sasa ni nani analeta siasa hapa?

Nimezungumzia kwa njia zilizowekwa na maelezo yaliyotolewa hapa !
Kama unajua kusoma utakua umeona.
 
Majasusi wanafahamu kwamba ukiwa anonymous ni vigumu kutambua pale kwenye hatua za mwanzo yaani "initial stage".

Lakini ukianza kazi unaweza kumtambua yule anonymous kwa njia mbalimbali ambazo ziku hizi zinakuwa developed na makampuni tofautifotauti.

Ntakupa mfano mmoja tu wa karibuni.

Kama unafahamu neno Bitcoin online payment system, iilikuwa maarufu sana kwamba inaweza kuruhusu anonymous users kufanya transactions mbalimbali kwa kutumia bitcoins.

Sasa katika hao anonymous users kuna alietengeneza silk road ndani ya mfumo wa BOS na kuweza kufanya transactions za kuhusu madawa ya kulevya na madudu mengine.

Kwakuwa huo unakuwa ni uhalifu inabidi Proxy operators wafanye kazi yao kudukua ni nani anatengeneza silk road.

Hivyo inakuwa ni peace of cake kumpata anonymous user.
 
Ndugu yangu online anonymity at the end of it ni IT system ndo inayofanya kazi on the background therefore whether you agree with or not there is no total online anonymity security Kama hujui endelea kusoma zaidi Na zaidi. Kwa sasa hivi kunaushirikiano mkubwa sana kati ya law enforcement agencies Na watoa huduma Wa mitandao

The issue is that the deeper I dig, the more I find it possible to maintain an anonymous online identity. And by that I mean a virtual profile of a person that can not be traced back to you. I do not mean that you wont be seen: you and your activities might (and most probably will) be seen but the point is that they should only be traced as far as the anonymous profile of you and not your real identity.

My point is, if they decide to trace the doer of a certain action, they hit a dead end that is the anonymous profile.

Now that I have made the definition clear, I would like to know your stand on this. Is it still impossible while so many have and still do?
 
I'll discuss with others who knows.
Lakini kuchokoza mada ili nipoteze muda wangu ni hyfr.
Bye


Kwahiyo mkuu JF wanajua kila kitu kuhusu Mimi kupitia IP address yangu? mfano kujua namba ya SIMU.... kudukua meseji zangu za kwenye SIMU (regular SMS) kudukua FB... Twt..whatsapp n.k??

Tunaanza kupata hofu Kama mambo ndo hayo maana unaweza kumsema vibaya MTU humu akaamua kuchukua taarifa hizo kwa JF kupitia mods wasio waaminifu....

Kwahiyo JF mod yeyote anaweza dukua all information za SIMU yangu? maana unakuta unatumia device moja kutumia mitandao mingi ambayo mingine ID zetu ziko disclosed.....

Msaada kwa hili please.....
 
Back
Top Bottom