Jinsi ya kuwa 'anonymous' kwenye mtandao

Jinsi ya kuwa 'anonymous' kwenye mtandao

ISO M.CodD

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
8,139
Reaction score
17,612
Wakuu, katika pitapita zangu niliamua kulitazama hili suala la kuwa anonymous hasa unapotumia internet.

Kuna sababu nyingi za mtu kutaka kuwa anonymous mtandaoni, mfano kujilinda na kutaka kujihakikishia kuwa hakuna atakayeweza kufuatilia mienendo yake binafsi. Hapa ninaongelea the right to privacy, au kutaka kujifunza tu. Na hicho ndicho kilichonisukuma mimi kushare nanyi jambo hili.

Kuwa anonymous mtandaoni kuna maana kubwa ya kuwa na identity ambayo haihusiani na wewe na hivyo mambo yote utakayofanya mtandaoni yasiweze kufuatiliwa na mtu yoyote au kuwa traced kwako. Hapa naongelea kutumia mtandao kama 'mtu' mwingine wa kufikirika, kwa njia salama zaidi.

Kwa maana hiyo, unakuwa na personalities mbili tofauti ambazo hazilandani kwa lolote na hazijuani kabisa. Moja ikiwa ni wewe hasa, huku ukiendelea na maisha yako na matumizi yako ya mtandao kama kawaida na nyingine ikiwa ni 'anonymous' - wa kufikirika, ambaye hayupo na hajulikani. Watu hawa wawili hawatakiwi kufanana au kushahibiana kwa lolote (mfano email, namba ya simu, mahala pa kuishi, tarehe ya kuzaliwa, JamiiForums ID) wala kuwa na mawasiliano ya aina yeyote....kila personality inatakiwa kuwa na characteristics zake kama mfano tajwa hapo juu. Hili ni muhimu sana.

Kitu kingine kwako utakayeamua kuwa na anonymous online identity: USIMWAMBIE MTU YOYOTE hiyo identity. Simple.

Maelezo yote yapo kwenye hii PDF document iliyo attached. Itakuelezea A to Z za hii concept. Good luck and take care!

ONYO: Hili ni somo tu. MATUMIZI YA HIYO ONLINE IDENTITY YAKO NI JUU YAKO. ZINGATIA SHERIA.

https://piwik.org/wp-content/uploads/2012/01/How-to-remain-anonymous-online.pdf

Karibuni kwa mjadala na maswali kuhusu hili.
 
Hii mada imekaa poa sana ukizingatia mswada huu unaokuja ukipitishwa

Katika PDF yako nimependezwa na huo utumiaji wa TOR Browser na anonymous email ukizingatia watu wengi utumia emails zinazoendana na majina yao au hata kama email iko unique bado wanaandika real names kiasi kwamba ukimtumia email utaona jina lake halisi

Pia katika Android na PC mtu unaweza kutumia VPN kama Hotspotshield ambazo ni Free kuficha data zako maana TCRA wanaweza kukinukisha
Nimewai kuona Taarifa ya habari kenya mwanafunzi wa chuo akifungwa kisa kumtukana rais wake FB sijui data zake walizitoa wapi

Kuna forum moja ughaibuni ambayo ni multi-country forums mtu alipigwa Ban kwa kosa fulani kila alipokua aki create ID mpya na kuwatukana watu walikua wanatoa Evidence ya nchi alipo na vitu kadhaa kuonesha exact location yake

Hivo hili swala ni muhimu
 
Njunwa Wamavoko

Kama tutorial inavoelezea, unatakiwa uwe secured from the bottom up, kuanzia kwenye OS yani. Kutumia VPN kama Hotspot shield kutasaidia kuspoof IP yako na kuencrypt your traffic, lakini professionals wanakuwa na backdoors zinazowaruhusu kueavesdrop traffic yako kwenye OS especially. Na by the way, Tor is a VPN pia - only more secure.

Kwenye suala la kutengeneza hiyo identity ndo hapo ambapo kunahitaji umakini hasa kwenye matumizi ya nicknames. Hata hivyo, kutengeneza random credentials ni advised kwa sababu huna haja ya kuzikumbuka. You simply store your anonymous credentials in an encrypted file as shown in the PDF tutorial.
 
Last edited by a moderator:
ISO M.CodD
Hotspotshield ambayo mmeiongelea hapa wengi wanatumia Free.
Na kutumia Free VPN ni tatizo pia kwasabu hujui logs zako wanazieka wapi, na kama utaamua kulipia napo linaibuka tatizo lingine, utalipa kwakutumia nini ?
Mana njia rahisi ni kutumia your real bank ID kitu ambacho kitakufanya usiwe anonymous tena labda utumie bitcoin or other fake ID, japokua bitcoin nazo ni anonymous lakini sio private.

VPN zinachokifanya nikuprotect data traffics zako "privacy" na TOR inakuprotect wewe "Anonymity" japokua Tor imekua patched mara kibao tu sio yakusema mtu eti ajiamini kupitia hii browser.
Mtu ana hide IP address yake sawa lakini ISP wanafanya nini na DNS.
 
Last edited by a moderator:
Point hapa ni Tanzania institutions kuomba Logs za wateja wa Kampuni ya HSS ambayo haiko based in Tanzania.
Sijui hicho kitu kama kinawezekana kwa mazingira ya kwetu hapa...Labda Hiyo issue iwe ina involve kuvuruga world peace.
Misuse zinatokea nyingi online kuanzia Downloading Copyrighted material ila hawa VPN/Proxy providers zaidi ni kwamba ISP wao ata suspend hizo server basi
 
Hii mada imekaa poa sana ukizingatia mswada huu unaokuja ukipitishwa

Katika PDF yako nimependezwa na huo utumiaji wa TOR Browser na anonymous email ukizingatia watu wengi utumia emails zinazoendana na majina yao au hata kama email iko unique bado wanaandika real names kiasi kwamba ukimtumia email utaona jina lake halisi

Pia katika Android na PC mtu unaweza kutumia VPN kama Hotspotshield ambazo ni Free kuficha data zako maana TCRA wanaweza kukinukisha
Nimewai kuona Taarifa ya habari kenya mwanafunzi wa chuo akifungwa kisa kumtukana rais wake FB sijui data zake walizitoa wapi

Kuna forum moja ughaibuni ambayo ni multi-country forums mtu alipigwa Ban kwa kosa fulani kila alipokua aki create ID mpya na kuwatukana watu walikua wanatoa Evidence ya nchi alipo na vitu kadhaa kuonesha exact location yake

Hivo hili swala ni muhimu

Me siamini hawa watu wenye mitandao si wajinga kama mnavyowachukulia,wanajua kila kitu hata kama uwe na hiyo,wakiamua kakutafuta watakupata tu,na Kwa sababu hiyo wazungu uwa kila wanasema "African people think we are crazy and we know nothing about them but they must know we are not crazy and we are watching them"kila kitu na wakiamua kwa sababu zao wanakukamata,kuna mshikaji wa ivory cost alikuwa anapiga kaz ubalozi wa nje ya nchi akawa anapiga sana deals kumbe jamaa washajua man na uyo jamaa alikuwa na mke wake mzungu na walikuwa wanafanya kaz wote ubalozi lakin mwisho wa siku walimkamata man,wazungu wapo mbali sana au hawa walioanzaisha hii mitandao wakiamua kakutafuta uwe unatumia nini au nini watakupata tu,nina mifano mingi tu nimejionea kwa macho yangu ndugu yangu
 
Me siamini hawa watu wenye mitandao si wajinga kama mnavyowachukulia,wanajua kila kitu hata kama uwe na hiyo,wakiamua kakutafuta watakupata tu,na Kwa sababu hiyo wazungu uwa kila wanasema "African people think we are crazy and we know nothing about them but they must know we are not crazy and we are watching them"kila kitu na wakiamua kwa sababu zao wanakukamata,kuna mshikaji wa ivory cost alikuwa anapiga kaz ubalozi wa nje ya nchi akawa anapiga sana deals kumbe jamaa washajua man na uyo jamaa alikuwa na mke wake mzungu na walikuwa wanafanya kaz wote ubalozi lakin mwisho wa siku walimkamata man,wazungu wapo mbali sana au hawa walioanzaisha hii mitandao wakiamua kakutafuta uwe unatumia nini au nini watakupata tu,nina mifano mingi tu nimejionea kwa macho yangu ndugu yangu

Mkuu kumbuka hapa tunaongelea Anonymity Online...
Na iwapo case yako ni ya kuvuruga Amani ya dunia hapo ndo kutakuwepo ushirikiano kati ya anonymity tools unazotumia na nchi yako...tofauti na hapo ni Vigumu mkubwa
Unavyofikiri watu wanao hack kwenye Companies kubwa wanatumia njia gani wasiwe traced tena wengine ujaribu kuingilia mpaka taasisi za serikali zao?

Mfano,Angalia ile video ilokua ikisambaa whatsaap ya wale jamaa walovamia Jeshi la police na kuwanyanganya silaha...Ile naweza chukua ni kama Terrorism lakini TCRA na Jeshi la polisi wameshindwa kushirikiana kujua source ya video ni kutoka kwa nani?May be because njia walotumia i.e Whatsaap ipo secure

Hivo mm na imani kama hao jamaa wameshindwa kujulikana kwa njia hii,hivo hivo sitegemei eti mtu aandike kitu dhidi ya Mafisadi mtandaoni afu atafutwe akamatwe...Kuna challenge kubwa sana.Ila unasitizwa kutumia hizo njia ya kuwa anonymous kwa usalama wako
 
Point hapa ni Tanzania institutions kuomba Logs za wateja wa Kampuni ya HSS ambayo haiko based in Tanzania.
Sijui hicho kitu kama kinawezekana kwa mazingira ya kwetu hapa...Labda Hiyo issue iwe ina involve kuvuruga world peace.

What is anonymous then ?

Misuse zinatokea nyingi online kuanzia Downloading Copyrighted material ila hawa VPN/Proxy providers zaidi ni kwamba ISP wao ata suspend hizo server basi
 
Me siamini hawa watu wenye mitandao si wajinga kama mnavyowachukulia,wanajua kila kitu hata kama uwe na hiyo,wakiamua kakutafuta watakupata tu,na Kwa sababu hiyo wazungu uwa kila wanasema "African people think we are crazy and we know nothing about them but they must know we are not crazy and we are watching them"kila kitu na wakiamua kwa sababu zao wanakukamata,kuna mshikaji wa ivory cost alikuwa anapiga kaz ubalozi wa nje ya nchi akawa anapiga sana deals kumbe jamaa washajua man na uyo jamaa alikuwa na mke wake mzungu na walikuwa wanafanya kaz wote ubalozi lakin mwisho wa siku walimkamata man,wazungu wapo mbali sana au hawa walioanzaisha hii mitandao wakiamua kakutafuta uwe unatumia nini au nini watakupata tu,nina mifano mingi tu nimejionea kwa macho yangu ndugu yangu

Man sio kila kitu kinawezekana usiamini misemo ya watu, World hackers wapo wangapi na they're still safe ?
Mfano hackers wa Turkey waliisaidia mpaka Serikali yao kwenye kufanya Uchaguzi ili kuhakikisha hakuna wizi wakura unaotokea na walifanikiwa ata bila kujulikana.

RedHack Hackers Want to Make Sure Elections in Turkey Are Fair - Softpedia

Ni sawa na hapa TZ tunataka uchaguzi wa vimashine ambavyo hatujui ata vinafanyaje kazi....

Nashindwa ku go too far kwasabu this place is getting Thug kwa kuchanganya na siasa, kitu ambacho nakipinga sana, kama siasa ulizo ziandika wewe hapa mkuu zakuongea tu kwamba mtu flani alikamatwa sijui mke wake ivi na ivi.

Am out of this politics.
 
Mkuu kumbuka hapa tunaongelea Anonymity Online...
Na iwapo case yako ni ya kuvuruga Amani ya dunia hapo ndo kutakuwepo ushirikiano kati ya anonymity tools unazotumia na nchi yako...tofauti na hapo ni Vigumu mkubwa
Unavyofikiri watu wanao hack kwenye Companies kubwa wanatumia njia gani wasiwe traced tena wengine ujaribu kuingilia mpaka taasisi za serikali zao?

Mfano,Angalia ile video ilokua ikisambaa whatsaap ya wale jamaa walovamia Jeshi la police na kuwanyanganya silaha...Ile naweza chukua ni kama Terrorism lakini TCRA na Jeshi la polisi wameshindwa kushirikiana kujua source ya video ni kutoka kwa nani?May be because njia walotumia i.e Whatsaap ipo secure

Hivo mm na imani kama hao jamaa wameshindwa kujulikana kwa njia hii,hivo hivo sitegemei eti mtu aandike kitu dhidi ya Mafisadi mtandaoni afu atafutwe akamatwe...Kuna challenge kubwa sana.Ila unasitizwa kutumia hizo njia ya kuwa anonymous kwa usalama wako

Kaka sijakukatalia kwamba tunazungunzia anonymity Online kaka,unaelewaje kuhusu uvunjaji wa amani ndugu??ni ugaidi tu au ata maneno yanaweza kuvuruga Amani ndugu???angalia kama wale vijana wawili wa kikenya waliokamatwa cause of kuvuruga Amani kwa kutumia maandishi ndugu na wao walikuwa wanafanya kama funny,na kingine me nachoona tz bado sana aisee kwa izo level maana hata ile video ya magaidi wa amboni ingekuwa nchi zilizoendelea nafikili wangekamatwa siku ile île man,kwa tz naona iyo njia ipo safe sana kaka lakin siyo kwenye nchi zilizoendelea,juzi kati hispania napo serikali imetoa sheria mpya inaitwa gag law kwa hispania yani inahusu ivyo kucontrol kila kitu,yani kuanzia komment,vidéo zote utakazoziweka na iyo sheria inasubiliwa tu isainiwe ili itumike kaka,so Kwa bongo sawa lakin kwa nje watakupata tu,kwa mfano mtu anaweza akawa na namba yako tu ya simu akajua upo wapi,unafanya nini,upo social Netwek gani yani kila kitu na akaona mpaka komment zako zote mpaka za mwisho aisee,kwa africa bado sana lakin kwa wenzetu ndugu wameendelea sana aisee uwezi jificha hata siku moja hata kama ukitumia nini aisee
 
What is anonymous then ?
Nafikiri neno liko clear labda ueleze tena basis ya kuuliza swali lako ni nn ila tu ni clarify kwamba utabaki anonymous if and only if Provider wa anonymity tool ulotumia hajakufichua...
Privacy policies za provider wako pia ni muhimu kuzisoma kabla kujiingiza katika hiyo kitu...
Providers wengi wa VPN wameweka cleary hilo swala la Traffic logs katika tovuti zao
Mfano quote moja hii hapa
We are committed to your privacy and do not collect or log traffic data or browsing activity from individual users connected to our VPN

Lakini ikumbukwe kuna Proffesinalism dillema pia ambazo zitabidi ku favour law...

e.gDaktari haruhusiwi kutoa information za mgonjwa kwa watu wengine lakini ikitokea Any Pilot anaumwa Epilepsy(kifafa) lazima atoe report kwa umma ili ku secure others...Hivo hivo VPN Anonymity itabaki anonymity iwapo Offense ulofanya haiharibu world/country peace
 
snipa ref post #4

Lakini Tor functions more than just spoofing the IP. Inaestablish connections na kutransfer requests in such a way that even ISP's au eavesdroppers can not understand your traffic kwa kuobserve the headers. It is absolutely safe as long as the other pieces of the puzzle i.e the OS, browser e.t.c are also secured and anonymized.

More read on functioning of Tor: https://www.torproject.org/about/overview

https://www.torproject.org/images/htw1.png
https://www.torproject.org/images/htw2.png
https://www.torproject.org/images/htw3.png

Kwa kutumia Tor una uhakika hakuna jinsi hata CIA au NSA can understand that communication. Ndio maana wenyewe wanaitumia kujificha wanapokuwa undercover au kwenye sting operations au whistleblowing refer to the link above.


kiroboto21....inakubidi ufahamu kuwa wanaokamatwa ni wale walioacha trail either kwa makusudi ili kujisifu baadae au kwa kutokujua. Kuna hackers wengine wengi wamepiga chini systems kubwa kama hawa Anonymous ambao waliattack had FBI kwa DDoS ila hata hawafahamiki na hawajulikani.

Do your homework before you speak of technical issues.
 
Last edited by a moderator:
Me siamini hawa watu wenye mitandao si wajinga kama mnavyowachukulia,wanajua kila kitu hata kama uwe na hiyo,wakiamua kakutafuta watakupata tu,na Kwa sababu hiyo wazungu uwa kila wanasema "African people think we are crazy and we know nothing about them but they must know we are not crazy and we are watching them"kila kitu na wakiamua kwa sababu zao wanakukamata,kuna mshikaji wa ivory cost alikuwa anapiga kaz ubalozi wa nje ya nchi akawa anapiga sana deals kumbe jamaa washajua man na uyo jamaa alikuwa na mke wake mzungu na walikuwa wanafanya kaz wote ubalozi lakin mwisho wa siku walimkamata man,wazungu wapo mbali sana au hawa walioanzaisha hii mitandao wakiamua kakutafuta uwe unatumia nini au nini watakupata tu,nina mifano mingi tu nimejionea kwa macho yangu ndugu yangu

Je, mifano yako ina technical know-how au ni stori za kusimuliana?
 
Nafikiri neno liko clear labda ueleze tena basis ya kuuliza swali lako ni nn ila tu ni clarify kwamba utabaki anonymous if and only if Provider wa anonymity tool ulotumia hajakufichua...
Privacy policies za provider wako pia ni muhimu kuzisoma kabla kujiingiza katika hiyo kitu...
Providers wengi wa VPN wameweka cleary hilo swala la Traffic logs katika tovuti zao
Mfano quote moja hii hapa


Lakini ikumbukwe kuna Proffesinalism dillema pia ambazo zitabidi ku favour law...

e.gDaktari haruhusiwi kutoa information za mgonjwa kwa watu wengine lakini ikitokea Any Pilot anaumwa Epilepsy(kifafa) lazima atoe report kwa umma ili ku secure others...Hivo hivo VPN Anonymity itabaki anonymity iwapo Offense ulofanya haiharibu world/country peace

Fact ndugu na nakubaliana nawe 100%
 
Man sio kila kitu kinawezekana usiamini misemo ya watu, World hackers wapo wangapi na they're still safe ?
Mfano hackers wa Turkey waliisaidia mpaka Serikali yao kwenye kufanya Uchaguzi ili kuhakikisha hakuna wizi wakura unaotokea na walifanikiwa ata bila kujulikana.

RedHack Hackers Want to Make Sure Elections in Turkey Are Fair - Softpedia

Ni sawa na hapa TZ tunataka uchaguzi wa vimashine ambavyo hatujui ata vinafanyaje kazi....

Nashindwa ku go too far kwasabu this place is getting Thug kwa kuchanganya na siasa, kitu ambacho nakipinga sana, kama siasa ulizo ziandika wewe hapa mkuu zakuongea tu kwamba mtu flani alikamatwa sijui mke wake ivi na ivi.

Am out of this politics.

Me sijaandika siasa ndugu bali nimetoa mfano,soma vizuri uelewe kaka na hapa tupo kwa ajili ya kueleweshana kaka na siyo kugombana
 
Back
Top Bottom