ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,139
- 17,612
Wakuu, katika pitapita zangu niliamua kulitazama hili suala la kuwa anonymous hasa unapotumia internet.
Kuna sababu nyingi za mtu kutaka kuwa anonymous mtandaoni, mfano kujilinda na kutaka kujihakikishia kuwa hakuna atakayeweza kufuatilia mienendo yake binafsi. Hapa ninaongelea the right to privacy, au kutaka kujifunza tu. Na hicho ndicho kilichonisukuma mimi kushare nanyi jambo hili.
Kuwa anonymous mtandaoni kuna maana kubwa ya kuwa na identity ambayo haihusiani na wewe na hivyo mambo yote utakayofanya mtandaoni yasiweze kufuatiliwa na mtu yoyote au kuwa traced kwako. Hapa naongelea kutumia mtandao kama 'mtu' mwingine wa kufikirika, kwa njia salama zaidi.
Kwa maana hiyo, unakuwa na personalities mbili tofauti ambazo hazilandani kwa lolote na hazijuani kabisa. Moja ikiwa ni wewe hasa, huku ukiendelea na maisha yako na matumizi yako ya mtandao kama kawaida na nyingine ikiwa ni 'anonymous' - wa kufikirika, ambaye hayupo na hajulikani. Watu hawa wawili hawatakiwi kufanana au kushahibiana kwa lolote (mfano email, namba ya simu, mahala pa kuishi, tarehe ya kuzaliwa, JamiiForums ID) wala kuwa na mawasiliano ya aina yeyote....kila personality inatakiwa kuwa na characteristics zake kama mfano tajwa hapo juu. Hili ni muhimu sana.
Kitu kingine kwako utakayeamua kuwa na anonymous online identity: USIMWAMBIE MTU YOYOTE hiyo identity. Simple.
Maelezo yote yapo kwenye hii PDF document iliyo attached. Itakuelezea A to Z za hii concept. Good luck and take care!
ONYO: Hili ni somo tu. MATUMIZI YA HIYO ONLINE IDENTITY YAKO NI JUU YAKO. ZINGATIA SHERIA.
https://piwik.org/wp-content/uploads/2012/01/How-to-remain-anonymous-online.pdf
Karibuni kwa mjadala na maswali kuhusu hili.
Kuna sababu nyingi za mtu kutaka kuwa anonymous mtandaoni, mfano kujilinda na kutaka kujihakikishia kuwa hakuna atakayeweza kufuatilia mienendo yake binafsi. Hapa ninaongelea the right to privacy, au kutaka kujifunza tu. Na hicho ndicho kilichonisukuma mimi kushare nanyi jambo hili.
Kuwa anonymous mtandaoni kuna maana kubwa ya kuwa na identity ambayo haihusiani na wewe na hivyo mambo yote utakayofanya mtandaoni yasiweze kufuatiliwa na mtu yoyote au kuwa traced kwako. Hapa naongelea kutumia mtandao kama 'mtu' mwingine wa kufikirika, kwa njia salama zaidi.
Kwa maana hiyo, unakuwa na personalities mbili tofauti ambazo hazilandani kwa lolote na hazijuani kabisa. Moja ikiwa ni wewe hasa, huku ukiendelea na maisha yako na matumizi yako ya mtandao kama kawaida na nyingine ikiwa ni 'anonymous' - wa kufikirika, ambaye hayupo na hajulikani. Watu hawa wawili hawatakiwi kufanana au kushahibiana kwa lolote (mfano email, namba ya simu, mahala pa kuishi, tarehe ya kuzaliwa, JamiiForums ID) wala kuwa na mawasiliano ya aina yeyote....kila personality inatakiwa kuwa na characteristics zake kama mfano tajwa hapo juu. Hili ni muhimu sana.
Kitu kingine kwako utakayeamua kuwa na anonymous online identity: USIMWAMBIE MTU YOYOTE hiyo identity. Simple.
Maelezo yote yapo kwenye hii PDF document iliyo attached. Itakuelezea A to Z za hii concept. Good luck and take care!
ONYO: Hili ni somo tu. MATUMIZI YA HIYO ONLINE IDENTITY YAKO NI JUU YAKO. ZINGATIA SHERIA.
https://piwik.org/wp-content/uploads/2012/01/How-to-remain-anonymous-online.pdf
Karibuni kwa mjadala na maswali kuhusu hili.