Wakuu natumai mu bukheri wa afya. Niliwahi kusikia kuwa ukiwa na SMART TV unaweza kuunganisha kwenye simu yako na ukaangalia mechi za mpira wa miguu live kupitia Link mbalimbali zinazorusha mpira live online. Cha ajabu Juzi nimejaribu kuunganisha lakini picha hazikuonekana kabisa na badala yake sauti tu ya watangazaji ndo ikawa inasikika.
Nilidhani labda Mimi ndo nimeunganisha vibaya konnikaona nije kwenye jukwaa hili lenye wabobezi wa haya Mambo ili wanielekeze jinsi ya kufanya.
Kwa upande wa picha nyingine za video tofauti na mpira huwa ziaonekana vizuri tyu yaani Kama vile zinavyoonekana kwenye simu.Tatizo linakuja pale ninapounganisha football match live naambulia sauti tyu bila kuona video.
Nilidhani labda Mimi ndo nimeunganisha vibaya konnikaona nije kwenye jukwaa hili lenye wabobezi wa haya Mambo ili wanielekeze jinsi ya kufanya.
Kwa upande wa picha nyingine za video tofauti na mpira huwa ziaonekana vizuri tyu yaani Kama vile zinavyoonekana kwenye simu.Tatizo linakuja pale ninapounganisha football match live naambulia sauti tyu bila kuona video.