nurbert
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 1,887
- 427
mnhh mbona mimi napigaga castama kea yao 112 wananifundishaga tutriki twao twa kuiba bureeeeeee
Pia kuna nyngne ya kuiba internet... Ukipiga 911 unapewa maelezo teh teh
mnhh mbona mimi napigaga castama kea yao 112 wananifundishaga tutriki twao twa kuiba bureeeeeee
Acheni kufundishana wizi humu mnatutia aibu JF sio forum ya wahuni aka hackers. Hapa ni forum ya watu wenye akili na waungwana. Ungeleta hoja ya namna gani tupige kelele ili bei za hivi vitu zipungue ningekuunga mkono lakini sio hoja za kihuni za kuana kuiba. Tubadilike
Ni hao hao wanaopiga kelele hapa kulaani ufisadi. Huo ni nini? Na ukishapata nafasi katika serikali au shirika la umma utabadilika au ndiyo sasa uko kwenye mazoezi kwa vitendo?Senior manager unataka vya wizi. Mashirika yetu yatapona kweli? Nna mashaka!!!
kwanini kiongozi unaniita wa zama za mawe, kwasababu nimekataza kufundishana wizi au?wewe utakuwa wa zama za nawe mkuu!!!
kwanini kiongozi unaniita wa zama za mawe, kwasababu nimekataza kufundishana wizi au?
Ha ha ha haaa umekosea kabisa ila sipendi tu hii tabia imezuka siku hizi ya watu kupenda short cut. Yaani sasa hivi imefika mahali kuelewa mambo, kufanya kazi kwabidii na maarifa sio kigezo tena cha kupata mafanikio. Watu ni deal tu, utapeli, wiziwizi, yaani nchi inageuka Nigeria hivihivi.unaonekana mhafidhina!!!
ok seriousily kwa dstv if u want to get it free ni kwamba there agents kutoka china wamedizain a fta reciever along side device moja inaitwa avatar dongle hii ina discramble locked channels na sio dstv to bal my tv, canalsat na other pay tvz. Google 2011 fta reciever and avatar dongle version 2. Hizi they really work unaweza ukawasiliana na agents hao directly mwenyewe na uka agiza hzo vifaa they cost i thnk kama dollar 120 hv sema pia utatakiwa 2 have 2 dishes and ur gud to go. Also pia namjua fundi yeye kasema he does this also kla k2 iko juu yake mpaka da final instalattion sema yeye anacharge kilo 350. And also hzo dongles are updated every kama 2 months coz dstv dey change codes so it updates automatically it can get scrambled 4 couple of min then znafunguka tena.
ok seriousily kwa dstv if u want to get it free ni kwamba there agents kutoka china wamedizain a fta reciever along side device moja inaitwa avatar dongle hii ina discramble locked channels na sio dstv to bal my tv, canalsat na other pay tvz. Google 2011 fta reciever and avatar dongle version 2. Hizi they really work unaweza ukawasiliana na agents hao directly mwenyewe na uka agiza hzo vifaa they cost i thnk kama dollar 120 hv sema pia utatakiwa 2 have 2 dishes and ur gud to go. Also pia namjua fundi yeye kasema he does this also kla k2 iko juu yake mpaka da final instalattion sema yeye anacharge kilo 350. And also hzo dongles are updated every kama 2 months coz dstv dey change codes so it updates automatically it can get scrambled 4 couple of min then znafunguka tena.
ok seriousily kwa dstv if u want to get it free ni kwamba there agents kutoka china wamedizain a fta reciever along side device moja inaitwa avatar dongle hii ina discramble locked channels na sio dstv to bal my tv, canalsat na other pay tvz. Google 2011 fta reciever and avatar dongle version 2. Hizi they really work unaweza ukawasiliana na agents hao directly mwenyewe na uka agiza hzo vifaa they cost i thnk kama dollar 120 hv sema pia utatakiwa 2 have 2 dishes and ur gud to go. Also pia namjua fundi yeye kasema he does this also kla k2 iko juu yake mpaka da final instalattion sema yeye anacharge kilo 350. And also hzo dongles are updated every kama 2 months coz dstv dey change codes so it updates automatically it can get scrambled 4 couple of min then znafunguka tena.
Tabu ya hizi dongle ni huwa zinaacha kufanya kazi kukitokea mabadiliko yoyote kwenye server za dstv kwaiyo ni risk... Njia salama ya kulipa kidogo ni kulipa as if upo zambia... Unakua unalipa elfu 52 kwa mwezi kwa kufurushi kilekile cha 120 nadhani wenyewe kule wanafanyiwa bei chee sababu ya thamani ya pesa zao
unalipiaje kama pesa ya zambia mkuu na wewe upo tz,tiririka zaidi tafadhal kama uko uncomfortable please ni PM
Senior Boss halafu mwizi?Hello, wadau kuna mtu yeyote anayejua ni vipi ntaweza nikapata internet service ya wizi na bei nafuu....na kuchakachua niweze kupata dstv channels for free.....coz nimesikia kuna watu wafanya hio michezo town hapa!!!
unalipiaje kama pesa ya zambia mkuu na wewe upo tz,tiririka zaidi tafadhal kama uko uncomfortable please ni PM
ok seriousily kwa dstv if u want to get it free ni kwamba there agents kutoka china wamedizain a fta reciever along side device moja inaitwa avatar dongle hii ina discramble locked channels na sio dstv to bal my tv, canalsat na other pay tvz. Google 2011 fta reciever and avatar dongle version 2. Hizi they really work unaweza ukawasiliana na agents hao directly mwenyewe na uka agiza hzo vifaa they cost i thnk kama dollar 120 hv sema pia utatakiwa 2 have 2 dishes and ur gud to go. Also pia namjua fundi yeye kasema he does this also kla k2 iko juu yake mpaka da final instalattion sema yeye anacharge kilo 350. And also hzo dongles are updated every kama 2 months coz dstv dey change codes so it updates automatically it can get scrambled 4 couple of min then znafunguka tena.
hivi kweli mtu anaomba afundishwe wizi? hii nchi tunaipeleka wapi, nahisi upeo wa mtoa uzi utakuwa na walakini huwezi omba kufundishwa wizi tena hadharani, hivi unalipa kodi kweli wewe? Kwa tabia hizi umasikini hautakwisha tz.