Umesema kweli, lakini kuna pande mbili hapa. Kabla ya kukuoa, kuna kanuni ya kumteka mwanamume uliitekeleza bila kujua, the power of the visual. Hisia za kiume huamshwa mara moja kwa kutazama tu. Nikuulize: ni lini umewahi ona magazeti ama mitandao ikichapisha wanaume wamevaa vibukta kuonesha miguu yao inavyovutia? Au Ni lini Umeona media zikizungumzia vichupi vya kuogelea vya kiume? Hii ni kwa sababu Ni mara chache mno mwanamke atavutiwa na mwanamume kwa kutazama tu kiungo fulani cha mwili.
Unajua asilimia kubwa ya wanaume watalipa kuona show ya wanawake wakicheza wamevaa vichupi ama uchi wa mnyama! Labda ulikuwa hujui, mitandao inayoongoza kwa kutazamwa sana duniani kote ni ya ngono, picha za wanawake uchi n.k. watazamaji wakubwa ni wanaume. Mwanamke akimkuta mwanamume amekaa korodani zikiwa nje atawastua wanaume wenzie wamsitiri mwenzao. Lakini mimi nikiingia bar kwa mfano, nikakuta mwanamama ameketi kachanua kidogo tu miguu nikaona mpaka chupi kajisahau, nitatafuta kiti kinachomkabili ili niendelee "kuinjoi" zaidi. Nitalaani jaribio lolote la kumshtua afunike mapaja (kimoyomoyo).
Hoja ni kwamba, ulipokuwa hujaolewa, ulijitahidi kuwa mpya kila siku kwa mpenzi wako. Mwonekano, lugha tamu, adabu njema. Ulijaribu kumwonesha Ni Jinsi gani bila wewe hajakamilika.
Baada ya kuolewa, ukaacha kumpa hivyo vionjo. Utavua nguo na kupanda kitandani, atakuja hapo kisha unamwambia I love you. Yeye atakujibu, thanks, basi. Utaumia moyo. Elewa kuwa wanaume wanatekwa kwa vitendo sio maneno. Mwonyeshe kwa vitendo usiseme kwa mdomo. Mumeo akipita uchi mbele yako haitakupa ashki, lakini jaribu wewe upite mbele yake ukiwa na na kijinguo cha kuonesha uone pumzi inavyompanda. Halafu mwambie leo nataka tulale tu, sijisikii. Nakuhakikishia ataanza kukutongoza upya