Jinsi ya kuua moyo wa mwanamume

Jinsi ya kuua moyo wa mwanamume

Ubaya kwa dunia yetu ya sasa hiyo michepuko ndio hao wake zenu. Yaani mke wako ni.mchepuko wa mwanaume mwingine na anajua kumtuliza ila hawezi mtuliza Mme wake.
Ndio haya tunayoyaongea ambayo lengo lake ni kujenga sasa siku hizi maada za humu ni kuonyeshana umwamba kitu ambacho kwenye Maisha ya kawaida hakipo, now, kama mke wangu ni mchepuko wa mwingine ni suala la mume kujiuliza why mke wangu anachepuka? Akishajua achukue hatua, lakin hayo aliyoeleza mtoa maada ni mambo ambayo yanamsababisha mwanaume achepuke kwa namna moja ama nyingine, tujikite zaidi kwenye mada kuliko kuleta ushabiki tuu
 
Ama hujaelewa mada, ama upeo wako Ni finyu. Lakini nitakujibu tu. Mada hii imelenga kuonesha matatizo yanayozikumba ndoa, ikijikita upande wa mwanamke tu. Haimaanishi wanaume nao hawana matatizo. Ukisoma mada Jitahidi kuelewa context.

Mwanamke aliye kwenye ndoa anaweza kuchepuka kwa sababu tofauti. Ni vema umekiri bila kujua kwamba huenda kuna vitu anavikosa kwa mumewe. Na huu ndio msingi wa mada hii. Kutafuta kujua ni kwa sababu gani anavikosa hivyo vionjo mpaka anaamua kuchepuka na pia afanye nini ili amani ya ndoa irejee.

Habari ya mwanamume anayejua" responsibilities zake nakuachia wewe utupelekee mada. Ila nakutahadharisha wewe na wengine wenye mtazamo kama huo, wanawake wengine hutafuta mwanamume aliyekamilika kila idara. Wazungu wanamwita MR PERFECT! Nikuambie tu kuwa mpaka ninaposoma makala hii hajazaliwa bado mwanamume wa aina hiyo. Happy hunting!!
Kama hajelewa muache aendeleze ligi ma ushabiki
 
Ama hujaelewa mada, ama upeo wako Ni finyu. Lakini nitakujibu tu. Mada hii imelenga kuonesha matatizo yanayozikumba ndoa, ikijikita upande wa mwanamke tu. Haimaanishi wanaume nao hawana matatizo. Ukisoma mada Jitahidi kuelewa context.

Mwanamke aliye kwenye ndoa anaweza kuchepuka kwa sababu tofauti. Ni vema umekiri bila kujua kwamba huenda kuna vitu anavikosa kwa mumewe. Na huu ndio msingi wa mada hii. Kutafuta kujua ni kwa sababu gani anavikosa hivyo vionjo mpaka anaamua kuchepuka na pia afanye nini ili amani ya ndoa irejee.

Habari ya mwanamume anayejua" responsibilities zake nakuachia wewe utupelekee mada. Ila nakutahadharisha wewe na wengine wenye mtazamo kama huo, wanawake wengine hutafuta mwanamume aliyekamilika kila idara. Wazungu wanamwita MR PERFECT! Nikuambie tu kuwa mpaka ninaposoma makala hii hajazaliwa bado mwanamume wa aina hiyo. Happy hunting!!

Uzuri umekiri hakuna aliye perfect na hata wake zenu hawako perfect ni kuvumiliana tu. Mi nilikuwa namjibu huyo aliye sema kwa michepuko hawadhalilishi wanaume.
 
huu ujumbe ni ni mahususi kwa walengwa,,,, ila wanapitia mbaaaaaliii........wengine husema '' kwanza watu wananishangaa kuishi na wewe" duh! wakati 100% ya her life wewe ndo umebeba....tupaa kuleeeee....dadeeeki
 
Umesema kweli, lakini kuna pande mbili hapa. Kabla ya kukuoa, kuna kanuni ya kumteka mwanamume uliitekeleza bila kujua, the power of the visual. Hisia za kiume huamshwa mara moja kwa kutazama tu. Nikuulize: ni lini umewahi ona magazeti ama mitandao ikichapisha wanaume wamevaa vibukta kuonesha miguu yao inavyovutia? Au Ni lini Umeona media zikizungumzia vichupi vya kuogelea vya kiume? Hii ni kwa sababu Ni mara chache mno mwanamke atavutiwa na mwanamume kwa kutazama tu kiungo fulani cha mwili.

Unajua asilimia kubwa ya wanaume watalipa kuona show ya wanawake wakicheza wamevaa vichupi ama uchi wa mnyama! Labda ulikuwa hujui, mitandao inayoongoza kwa kutazamwa sana duniani kote ni ya ngono, picha za wanawake uchi n.k. watazamaji wakubwa ni wanaume. Mwanamke akimkuta mwanamume amekaa korodani zikiwa nje atawastua wanaume wenzie wamsitiri mwenzao. Lakini mimi nikiingia bar kwa mfano, nikakuta mwanamama ameketi kachanua kidogo tu miguu nikaona mpaka chupi kajisahau, nitatafuta kiti kinachomkabili ili niendelee "kuinjoi" zaidi. Nitalaani jaribio lolote la kumshtua afunike mapaja (kimoyomoyo).

Hoja ni kwamba, ulipokuwa hujaolewa, ulijitahidi kuwa mpya kila siku kwa mpenzi wako. Mwonekano, lugha tamu, adabu njema. Ulijaribu kumwonesha Ni Jinsi gani bila wewe hajakamilika.

Baada ya kuolewa, ukaacha kumpa hivyo vionjo. Utavua nguo na kupanda kitandani, atakuja hapo kisha unamwambia I love you. Yeye atakujibu, thanks, basi. Utaumia moyo. Elewa kuwa wanaume wanatekwa kwa vitendo sio maneno. Mwonyeshe kwa vitendo usiseme kwa mdomo. Mumeo akipita uchi mbele yako haitakupa ashki, lakini jaribu wewe upite mbele yake ukiwa na na kijinguo cha kuonesha uone pumzi inavyompanda. Halafu mwambie leo nataka tulale tu, sijisikii. Nakuhakikishia ataanza kukutongoza upya

haaaa haaa kwa hapa nimekuelewa kidogo but trust me brother kuna wanaume hapa duniani hata stori tu hajui kupiga stori na mkewe always yuko serious kiasi kwamba hata ukiwa na challenge au any problem unawaza hivi nitamwambiaje huyu mfano nimefukuzwa kazi,.. cha kwanza atakuambia kaa hapo nyumbani ulee watoto ,hakuna hata pole, akupeti peti then ndio useme reason why you are fired. vipo vingi sana ambavyo wanaume wanafanya vya kukatisha tamaa wanawake mfano unapita sehemu umeona shati nzuri umenunua na una hakikisha unaenda kutengeneza mazingira mazuri ya kuwa akija afurahie ile zawadi, unawahi kumwandalia chakula anachokipenda na vingine vingine LAKINI SASA JAMANI ATAKULA THEN UNAMPA HIYO ZAWADI NENO UTAKALOAMBULIA NI '' THANKS'' KAMALIZA KHAAAAAA DO YOU THINK NEXT TIME I WILL BOTHER??? mbadilike kaka zetu seriously mnatukwaza sana
 
Umesema kweli, lakini kuna pande mbili hapa. Kabla ya kukuoa, kuna kanuni ya kumteka mwanamume uliitekeleza bila kujua, the power of the visual. Hisia za kiume huamshwa mara moja kwa kutazama tu. Nikuulize: ni lini umewahi ona magazeti ama mitandao ikichapisha wanaume wamevaa vibukta kuonesha miguu yao inavyovutia? Au Ni lini Umeona media zikizungumzia vichupi vya kuogelea vya kiume? Hii ni kwa sababu Ni mara chache mno mwanamke atavutiwa na mwanamume kwa kutazama tu kiungo fulani cha mwili.

Unajua asilimia kubwa ya wanaume watalipa kuona show ya wanawake wakicheza wamevaa vichupi ama uchi wa mnyama! Labda ulikuwa hujui, mitandao inayoongoza kwa kutazamwa sana duniani kote ni ya ngono, picha za wanawake uchi n.k. watazamaji wakubwa ni wanaume. Mwanamke akimkuta mwanamume amekaa korodani zikiwa nje atawastua wanaume wenzie wamsitiri mwenzao. Lakini mimi nikiingia bar kwa mfano, nikakuta mwanamama ameketi kachanua kidogo tu miguu nikaona mpaka chupi kajisahau, nitatafuta kiti kinachomkabili ili niendelee "kuinjoi" zaidi. Nitalaani jaribio lolote la kumshtua afunike mapaja (kimoyomoyo).

Hoja ni kwamba, ulipokuwa hujaolewa, ulijitahidi kuwa mpya kila siku kwa mpenzi wako. Mwonekano, lugha tamu, adabu njema. Ulijaribu kumwonesha Ni Jinsi gani bila wewe hajakamilika.

Baada ya kuolewa, ukaacha kumpa hivyo vionjo. Utavua nguo na kupanda kitandani, atakuja hapo kisha unamwambia I love you. Yeye atakujibu, thanks, basi. Utaumia moyo. Elewa kuwa wanaume wanatekwa kwa vitendo sio maneno. Mwonyeshe kwa vitendo usiseme kwa mdomo. Mumeo akipita uchi mbele yako haitakupa ashki, lakini jaribu wewe upite mbele yake ukiwa na na kijinguo cha kuonesha uone pumzi inavyompanda. Halafu mwambie leo nataka tulale tu, sijisikii. Nakuhakikishia ataanza kukutongoza upya

haaaa haaa kwa hapa nimekuelewa kidogo but trust me brother kuna wanaume hapa duniani hata stori tu hajui kupiga stori na mkewe always yuko serious kiasi kwamba hata ukiwa na challenge au any problem unawaza hivi nitamwambiaje huyu mfano nimefukuzwa kazi,.. cha kwanza atakuambia kaa hapo nyumbani ulee watoto ,hakuna hata pole, akupeti peti then ndio useme reason why you are fired. vipo vingi sana ambavyo wanaume wanafanya vya kukatisha tamaa wanawake mfano unapita sehemu umeona shati nzuri umenunua na una hakikisha unaenda kutengeneza mazingira mazuri ya kuwa akija afurahie ile zawadi, unawahi kumwandalia chakula anachokipenda na vingine vingine LAKINI SASA JAMANI ATAKULA THEN UNAMPA HIYO ZAWADI NENO UTAKALOAMBULIA NI '' THANKS'' KAMALIZA KHAAAAAA DO YOU THINK NEXT TIME I WILL BOTHER??? mbadilike kaka zetu seriously mnatukwaza sana
 
Nionavyo mie sababu kubwa ya DIVORCED kwa sasa ni hii haki sawa
NDOA haina haki sawa,ukitaka haki sawa kwenye ndoa lazima mtapeana talaka you
HAKI SAWA KWENYE SIASA,KWENYE MAMBO MENGINE HUKO SIO KWENYE NDOA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
9~Kutoa siri zenu nje,mambo yenu ya ndani kutangaza nje,kwa ndugu,Jamaa,majirani
Mambo yenu muyamalize wenyewe kwa upendo na amani
☆mtu yoyote asijue mambo yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli umeongea mambo ya msingi mno na nimejifunza vitu tena umenikumbusha mambo ya msingi mno maana kuna mda tunapitiwa. Ubarikiwe. Nashangaa sana mtu anaebeza ila tunatofautiana kwa kweli.
 
Back
Top Bottom