Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,731
Nilisahau kugonga like kuonyesha msisito, anyway nimeshagonga like
Ewalaaaaaah, hapo umecheza now.:becky:
Nilisahau kugonga like kuonyesha msisito, anyway nimeshagonga like
Sio Over Draft ni Over Drive ikwa na maana kwamba ukishika alama hiyo ikatokea, unapaswa kukanyaga mafuta mbaka mwisho, yaani mshale wa mafuta usome 180 au 240. Fanya hivyo ukiwa unaendesha nje ya mji.
mwenzio anawaza account yake ya nmb hapo, chezeiya kuvuta mchuma?
D - Drive
R - Reverse
P - Parking
2 - ?
3 - ?
L - ?
Power or EMCT?
Over Draft?
Na kadharika
Hizo zenye alama ? Ndo binafsi zinanichanganya uhalisia wa matumizi yake yakinifu
Skype: alfred.kohi
Point nzuri ila kuna wengine walijifunza miaka mingi iliyopita wakati huo driving school ilikuwa ni manual na magari mengi yalikuwa yanakuja manual tofauti na sasa automatic yanakuwa ni mengi kuliko manual hivyo technologia imewakuta wakiwa wanatumia manual kinachpfanyika wanaji-adjust na new technology. KWAHIYO MFANO KAMA MTU ULIJIFUNZA GARI LENYE GIA NNE UKIPEWA GIA SITA URUDI TENA SHULENI?
Sio Over Draft ni Over Drive ikwa na maana kwamba ukishika alama hiyo ikatokea, unapaswa kukanyaga mafuta mbaka mwisho, yaani mshale wa mafuta usome 180 au 240. Fanya hivyo ukiwa unaendesha nje ya mji.
Good point Jodoki, yaan muda wote nilikua nashindwa kuelewa kama watu bongo zao hazifanyi KAZI maana comments nyingi ni kukashifu na kusanifu tu badala ya ku fikiria nje ya ...
BAHATI mbaya sana au nzuri for that sake, gari zangu zote ni za kizamani kwa maana ya mfumo wa gear. Ila nimejikuta nakutana na hizi Auto japo si sana na ndo maana nimeona niulize kwa nynyi wa dot com.
Wote mumechangia Ila hakuna aliye elezea matumizi ya zile buttons za POWER au ile ya EMCT
www.oric.co.tz
Mh ndugu acha upotoshaji. kasome vizuri nini maana ya overdrive.
unataka kumdibua mwenzio wewe..........
Thanks mbimbno, much appreciated for your useful explanation.
Keep it up Chief!!
Have you started driving your new car already? Let's hope NOT.
Anyways, that's not what you asked, so here we go...
P=PARK - the gear selector should be in this position when the car is parked as it typically locks the transmission so that the car cannot move. In conjunction with this, the parking brake (hand brake) may also be applied. On most cars, the engine cannot be started unless the lever is in this (or 'N') position.
R=REVERSE - selecting this position allows the vehicle to be driven in the reverse (backwards) direction.
N=NEUTRAL - in this position, the engine is disconnected from the drive train (gears) and the vehicle will not be propelled in either direction when the gas (accelerator) pedal is pressed. The wheels are not locked and the vehicle will be able to roll downhill if the brake pedal is not pressed.
D=DRIVE - this is the position that is typically used when the vehicle is being driven. As the vehicle increases (or decreases) in speed, the automatic gear box will select the correct gear for both speed and road conditions.
2=GEAR 2 - typically, automatic gear boxes have 3 of 4 forward gears, so some vehicles may have both 2 and 3 marked on the hear selector. By using this position, the driver 'locks' the transmission in a lower gear so that the engine will run with increased revolutions. This is useful when rapid acceleration is desired. It should be noted that maintaining high revolutions in lower gears will increase the fuel consumption of the vehicle and also the stresses on the vehicle and passengers. It should therefore be used for short periods only.
L=LOW - (may be indicated by '1') this is the lowest gear (or 1st gear) available. This position is useful when the vehicle needs to negotiate difficult terrain (such as a steep incline with a poor surface). For downward slopes, the LOW gear provides additional braking through the engine.
OD=OVERDRIVE - for vehicles fitted with this option, an extra gear is provided that has a lower ratio than the normal top gear. The power output delivered by this gear is low in comparison to the normal gears and is used for high speed cruising (on interstates / motorways etc). Engine revolutions are reduced, as are noise levels. Fuel consumption is improved.
I hope I've my explanation will be of helpful to you.
Enjoy your new ride.
nimekugongea thanks ila kwenye red naomba nikachukue mawani yangu ya mbao!!
Very helpful