jinsi ya kutumia crdb internet banking

mesack

Member
Jan 26, 2011
6
0
habari zenu wadau,naomba msaada wenu wakuu nimejiunga na crdb internet banking huu mwezi wa 3 sasa ila kila nikijalibu kufanya malipo online yanagoma ninachoambiwa ni, authorization failed, naombeni mnisaidie kunielimisha ktk ilo, maana kama ni helo ktk account kuna hela ya kutosha.
 
Mheshimiwa ili kuweza kutumia kadi yako on line, lazima kwanza uende banki CRDB ambao watakupa form fulani ambayo unajaza kisha wanai-scan na kuituma kwenye idara yao ya international banking kama sijakosea ndipo utaweza kutumia kadi yako online. Bila kujisajili kwa kujaza ile form haiwezekani hata kama una viza au mastercard.
 
1) Hakikisha huyo unayetaka kumtumia fedha umemsaji : Ukiwa ume-login kwenye internet banking page yako, upande wa kushoto chagua PAYEES - New third party hapo mtamsajili huyo unayetaka kumtumia Jina lake na Account yake.
NOTE: CRDB account ina herufi "J" hii ni herufi kubwa, ukiweka herufi ndogo haitakubali, account zao ni case sensitive.
2) Ukisha msajili, upande huo huo wa kushoto, nenda kwenye PAYMENTS - third party transfer, the utachagua huyo mtu, kiasi cha fedha utakacho tuma na acount yako.

Kama utaweza kufanya hivyo na imani utaweza kutuma fedha.
 
Kama wameshakupa internet accounting ID na password, then unaweza kupata huduma zote za internet banking ambazo ni kuhamisha fedha kutoka kwenye account yako na kwenda kwenye account ya mtu mwingine wa CRDB pekee, hawatoi huduma kama huyo mtu anayemtumia hayupo CRDB. Hii huduma nimeitumia mpaka sasa nina miaka miwili ni nzuri sana sihitaji kwenda kukaa foleni bank ili kumhamishia mtu fedha ambaye yupo CRDB, naingia kwenye internet na kutuma fedha japo wana chaji kila mwezi Tsh 1000. Huduma ya kununua vitu online kama ulivyo eleza hapo chini siyo sawa na huduma ya internet banking, inataratibu tofauti.
Mheshimiwa ili kuweza kutumia kadi yako on line, lazima kwanza uende banki CRDB ambao watakupa form fulani ambayo unajaza kisha wanai-scan na kuituma kwenye idara yao ya international banking kama sijakosea ndipo utaweza kutumia kadi yako online. Bila kujisajili kwa kujaza ile form haiwezekani hata kama una viza au mastercard.
 
Crdb internet wamekuwa wezi,nadhan tunakumbuka tukio lakaribun mfanya biashara alikuta 3m zimepote.
 
Heri hiyo ya CRDB inafanya kazi.

Internet banking ya NBC wameicomplicate ile mbaya - mimi nilinyoosha mikono na kuiachilia mbali.
 
Kama wameshakupa internet accounting ID na password, then unaweza kupata huduma zote za internet banking ambazo ni kuhamisha fedha kutoka kwenye account yako na kwenda kwenye account ya mtu mwingine wa CRDB pekee, hawatoi huduma kama huyo mtu anayemtumia hayupo CRDB. Hii huduma nimeitumia mpaka sasa nina miaka miwili ni nzuri sana sihitaji kwenda kukaa foleni bank ili kumhamishia mtu fedha ambaye yupo CRDB, naingia kwenye internet na kutuma fedha japo wana chaji kila mwezi Tsh 1000. Huduma ya kununua vitu online kama ulivyo eleza hapo chini siyo sawa na huduma ya internet banking, inataratibu tofauti.

Mkuu ni kweli kabisa ulichosema. Mimi vilevile ni mtumiaji mzuri sana wa hii huduma ya internet banking ya CRDB. Kwa kiasi kikubwa imepunguza/imeondoa ulazima wa kwenda benki endapo tu huduma ya kibenki unayohitaji ni kutuma fedha kwenda kwa mtu mwenye akaunti CRDB, kuangalia mwenendo wa akaunti yako. Huduma itakayompa mteja fursa ya kununua bidhaa online ni tofauti na hii ya internet banking. Huduma hiyo inaitwa internet enabling service. Hii ni lazima mteja aombe then card yake(visa/master) inawezeshwa kununua/kutuma online.
 
mimi natumia crdb online kwa ajili ya kucheki balance etc,nilipojaribu kutuma kwa mtu mwingine ilishindikana,nadhani ni kwa ajili ya hilo swala la kuwa na case senstive J ktk acount numbers za CRDB.

ila nahisi ktk swala la online payments and transfers NMB wako juu.
 
Natumia online ya CRDB tangu 2006 sijawahi kupata tatizo lolote, hakikisha unayemtumia account yake ni ya CRDB, hakikisha hakuna cross currency kwenye hiyo transfer yako na hakikisha account ya huyo unayemtumia umei save.
 
Asante kwa mchango wako,nimefwata taratibu zote za usajil wa iyo huduma ila bado inazingua
 
Thnx,ila naomb unifahamishe izo taratibu za kupata huduma ya kununua vitu online
 
..... .Huduma itakayompa mteja fursa ya kununua bidhaa online ni tofauti na hii ya internet banking. Huduma hiyo inaitwa internet enabling service. Hii ni lazima mteja aombe then card yake(visa/master) inawezeshwa kununua/kutuma online.

Wewe umewezeshwa hiyo huduma ya ''internet enabling service'' na uanweza kununua vitu online?
 
Mkuu mimi mwenyewe nimejisajili na hiyo online banking na ninianunua vitu kama kawaida bila ya tatizo lolote,cha kufanya fungua akaunti paypal hawa jamaa watakusaidia purchasing zote za kwenye internet na wanakata pesa kidogo sana,mi nanunua vitu kupitia paypal bila ya matatizo yoyote.Onyo akaunti yako ya kununulia vitu online usiijaze pesa nyingi.
 
Back
Top Bottom