Jinsi ya kutuma msg Automatic

Jinsi ya kutuma msg Automatic

f_m

Member
Joined
Sep 19, 2017
Posts
58
Reaction score
35
Guys naomben ushauri insi ya Kutuma text automatic kwa siku tofauti tofauti na kwa watu tofauti...asante
 
Kama unatumia Android smartphone, nenda kweny sehemu ya kuandika messag kama kawaida alf bonyeza options button then chagua 'Schedule sending'. Hapo utaset siku, saa na dakika unayotaka text yako ifike, alf utaandika ujumbe wako, utaweka na namba,ukimaliza kwenye ku send utaona button ya 'set' instead.
Note:Hakikisha huo muda ulio set kutuma Hiyo text simu yako iwe na bando,maana haitategemea bando la wakati una set, itategemea la wakati ina ji-send
 
Kama unatumia Android smartphone, nenda kweny sehemu ya kuandika messag kama kawaida alf bonyeza options button then chagua 'Schedule sending'. Hapo utaset siku, saa na dakika unayotaka text yako ifike, alf utaandika ujumbe wako, utaweka na namba,ukimaliza kwenye ku send utaona button ya 'set' instead.
Thanks@G.Man
 
Kama unatumia Android smartphone, nenda kweny sehemu ya kuandika messag kama kawaida alf bonyeza options button then chagua 'Schedule sending'. Hapo utaset siku, saa na dakika unayotaka text yako ifike, alf utaandika ujumbe wako, utaweka na namba,ukimaliza kwenye ku send utaona button ya 'set' instead.
Note:Hakikisha huo muda ulio set kutuma Hiyo text simu yako iwe na bando,maana haitategemea bando la wakati una set, itategemea la wakati ina ji-send

mbona kwangu mm sijaiona au ww unatumia app gani kutuma sms
 
Kama unatumia Android smartphone, nenda kweny sehemu ya kuandika messag kama kawaida alf bonyeza options button then chagua 'Schedule sending'. Hapo utaset siku, saa na dakika unayotaka text yako ifike, alf utaandika ujumbe wako, utaweka na namba,ukimaliza kwenye ku send utaona button ya 'set' instead.
Note:Hakikisha huo muda ulio set kutuma Hiyo text simu yako iwe na bando,maana haitategemea bando la wakati una set, itategemea la wakati ina ji-send
Mkuu mimi kwenye simu yangu hii option ya scheduled msg siioni
 
Simu nyingine hazina hio option na tecno pia baadhi zinayo hiyo option
 
haikuhusu
Hapana ndugu hili umekosea sio jibu zuri hata kidogo hasa ukizingatia na wewe umeomba msaada ukasaidiwa, walio kusaidia nao pia wangeweza tu kukujibu kuwa haiwahusu lakin wamekusaidia bila kejeli ingawa shida ni yako, ni bora hata ungetumia jibu jingine zuri ambalo huenda pia lingeonesha nia yako ya kutotaka wengine wajue kwanini unahitaji huduma hiyo lakin si kujibu hivyo wakati na wewe pia umeomba msaada na hao hao ambao hayawahusu na wamekusaidia,
 
Wataalam! Naomba kuuliza wale ambao walishawahi kupiga written interviews za kazi ya "Afisa Utamaduni II" na "Mwandishi wa taarifa rasmi za Bunge II"

Je, maswali yao yanafocus zaidi wapi na wanatumia lugha gani?

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom