Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 4,982
- 4,481
- Thread starter
- #41
Naona mmeamua kutoa somo la ulozi sio...
Kweli Kabisa Unachoongea Maana Ndio Umeishia Hapo Fikra Zako Nadhani Mtu Hasemi Kitu Bila Kukijua Ulozi Unaujua Wewe Ila Ingawa Sijui nini maana ya upozi Nitakujibu hivi hata mimi siku Ya Kwanza Kuona Ndege Inapita Juu Nilisema Wachawi Wanapaa...
nilikuja kuambiwa ni chombo cha usafiri sikuamini... maana nilikuwa na uwezo kama wako wa kufikiri....
"Rakim$"