Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 449
- 882
Habari wana Jf,
Baada ya maombi mengi kutoka kwa wadau tofauti leo hii nakusudia kuwaelekeza namna ya kutengeneza mvuto wa pesa, nashambuliwa sanna kwa maneno mengi mabaya ya baadhi ya watu bila kuelewa hasa wanakereka na nini mimi nikisaidia watu.
Naam kuna dawa ya kuoga kila mwaka kwa ajili ya kutengeneza mvuto wa pesa, unapaswa kua na vifuatavyo ili kuwezesha kutengeneza dawa hio;
1. Senti hamsini ya chuma.
2. Shilingi tano ya chuma.
3. Shilingi hamsini ya chuma.
4. Shilingi miatano ya chuma.
5. Gamba la kaka kuona.
6. Unga mti mpesa pesa.
7. Maji ya waridi.
8. Maji ya marashi.
9. Maji ya mvua.
Baada ya kuapata hivyo vitu unapaswa kufanya hii dawa siku ya ijumaa saa nane kamili mpaka saa tisa.
Weka maji ya waridi na changamya na maji ya mvua kisha changanya hivyo vitu vyote na uweke jikoni, lazima jiko la mkaa unapaswa kuvichemsha sana mpaka usikie harufu ya chuma.
kisha ipua na uwache maji yapoe na yawe vugu vuguvugu.
baada ya hapo utayaoga hayo maji katika sehemu ambayo siyo chafu, kisha utasema haya majina mara 5 kila jina
Ewe Bihamyahaf * 5
Ewe Bijammah * 5
Ewe Yaghfir *5
Ewe Mayhaqar* 5
Ewe Masil * 5
Ewe Shahun *5
Ewe Bijahun *5
Ewe Malayhun *5
Utasema kwa utukufu wenu na baraka zenu enyi washika viti vya enzi pesa iwe ni vazi langu, iwe ni kiti changu pesa initii popote ninapoihitaji inifuate, utaoga kisha utavaa nguo.
Hii unapaswa kufanya kila mwaka haitakosekana pesa kwenye umiliki wako.
Baada ya maombi mengi kutoka kwa wadau tofauti leo hii nakusudia kuwaelekeza namna ya kutengeneza mvuto wa pesa, nashambuliwa sanna kwa maneno mengi mabaya ya baadhi ya watu bila kuelewa hasa wanakereka na nini mimi nikisaidia watu.
Naam kuna dawa ya kuoga kila mwaka kwa ajili ya kutengeneza mvuto wa pesa, unapaswa kua na vifuatavyo ili kuwezesha kutengeneza dawa hio;
1. Senti hamsini ya chuma.
2. Shilingi tano ya chuma.
3. Shilingi hamsini ya chuma.
4. Shilingi miatano ya chuma.
5. Gamba la kaka kuona.
6. Unga mti mpesa pesa.
7. Maji ya waridi.
8. Maji ya marashi.
9. Maji ya mvua.
Baada ya kuapata hivyo vitu unapaswa kufanya hii dawa siku ya ijumaa saa nane kamili mpaka saa tisa.
Weka maji ya waridi na changamya na maji ya mvua kisha changanya hivyo vitu vyote na uweke jikoni, lazima jiko la mkaa unapaswa kuvichemsha sana mpaka usikie harufu ya chuma.
kisha ipua na uwache maji yapoe na yawe vugu vuguvugu.
baada ya hapo utayaoga hayo maji katika sehemu ambayo siyo chafu, kisha utasema haya majina mara 5 kila jina
Ewe Bihamyahaf * 5
Ewe Bijammah * 5
Ewe Yaghfir *5
Ewe Mayhaqar* 5
Ewe Masil * 5
Ewe Shahun *5
Ewe Bijahun *5
Ewe Malayhun *5
Utasema kwa utukufu wenu na baraka zenu enyi washika viti vya enzi pesa iwe ni vazi langu, iwe ni kiti changu pesa initii popote ninapoihitaji inifuate, utaoga kisha utavaa nguo.
Hii unapaswa kufanya kila mwaka haitakosekana pesa kwenye umiliki wako.