Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,773
- 40,444
Mimi nilifundishwa na mbibi.
Namkumbukaga mpaka kesho. Walimu vijana hawawezi kufundisha vitoto
Namkumbukaga mpaka kesho. Walimu vijana hawawezi kufundisha vitoto

Hasa yule aliyekufundisha kusoma na kuandika

