Jinsi ya kutafuta hela

Jinsi ya kutafuta hela

Tafuta hela kwa nguvu zako zote,sana sana ukiwa kijana,ukiajiriwa au ukijiajiri fanya kazi kwa bidii bila kusahau kumshukuru Muumba kwa sala na zaka.

Tafuta hela kama muuza machungwa anayeyamenya na hajui mteja atakuja saa ngapi?
Kama mkaanga chips,mihogo, samaki,maandazi na hajui wateja watatoka wapi?

Mtembea bure si sawa na mkaa bure,Atafutae hachoki,haba na haba hujaza kibaba.
Bila kusahau kuwa na matumizi kiasi,usinunue kitu ambacho hukukipangia bajeti.

Bandu bandu humaliza gogo.

Wasalam
Working hard does not guarantee success....working smart DOES. Kwahio usikurupuke tu kumenya machungwa bila kujua wateja watatoka wapi,JIPANGE.
 
Tafuta hela kwa nguvu zako zote,sana sana ukiwa kijana,ukiajiriwa au ukijiajiri fanya kazi kwa bidii bila kusahau kumshukuru Muumba kwa sala na zaka.

Tafuta hela kama muuza machungwa anayeyamenya na hajui mteja atakuja saa ngapi?
Kama mkaanga chips,mihogo, samaki,maandazi na hajui wateja watatoka wapi?

Mtembea bure si sawa na mkaa bure,Atafutae hachoki,haba na haba hujaza kibaba.
Bila kusahau kuwa na matumizi kiasi,usinunue kitu ambacho hukukipangia bajeti.

Bandu bandu humaliza gogo.

Wasalam
Unajua watu (hasa watanzania) hawapendi kabisa kuelezwa ukweli.
Uhalisia wa mbinu za kutafuta pesa uko kwenye vitabu; kuna kitabu kimeandikwa "Jinsi ya Kutafuta pesa kwa ajili ya Ujasiriamali" ...

Kitabu hicho mtu akikisoma kwa makini na akayafanyia kazi yale yaliyoandikwa humo; nina uhakika mtu kuinuka ni ndani ya mwaka mmoja tu. Tatizo ni kwamba watu wanasoma vitabu kama hadithi za Abunwas.
 
Hakuna kazi au biashara isiyokosa changamoto hasa ufugaji na kilimo muhimu ni uvumilivu na kufocus.
 
Mimi ninaamini pesa inakuja ikiwa kama umeitafuta, tena kwa bidii na kwa uaminifu pamoja na uadilifu tena ukiwa na nidhamu.....
Hela uitafute au hela ikufuate? Yaani ijinase kwako kama sumaku?
Hapa I think mkuu umeiweka vizuri naomba na mimi nijazie kidogo
i) Uaminifu
ii) Uadilifu
iii) Ubunifu
iv) Malengo na
v) NIDHAMU
lazima ifike mahali ndugu mtafutaji mwenzangu ujipime katika haya, je, unayo? Kwa kiwango gani? Sababu wakat mwingine tunakua bize sana kutafuta hela kiasi ambacho tunasahau kuzifanyia kazi hizi dondoo hapo juu sababu hizo ndio "sumaku" yenyewe ya kuvuta pesa!
Mfano suala la NIDHAMU unaweza ukatafuta pesa ukazipata halafu hauna NIDHAMU my friend utarudi kule kule ulipotoka!
Before working for money work for yourself first!
 
Hela uitafute au hela ikufuate? Yaani ijinase kwako kama sumaku?
Hapa I think mkuu umeiweka vizuri naomba na mimi nijazie kidogo
i) Uaminifu
ii) Uadilifu
iii) Ubunifu
iv) Malengo na
v) NIDHAMU
lazima ifike mahali ndugu mtafutaji mwenzangu ujipime katika haya, je, unayo? Kwa kiwango gani? Sababu wakat mwingine tunakua bize sana kutafuta hela kiasi ambacho tunasahau kuzifanyia kazi hizi dondoo hapo juu sababu hizo ndio "sumaku" yenyewe ya kuvuta pesa!
Mfano suala la NIDHAMU unaweza ukatafuta pesa ukazipata halafu hauna NIDHAMU my friend utarudi kule kule ulipotoka!
Before working for money work for yourself first!
Na pia tusitafute hela tukasahau familia, kuna kisa cha Bwana mmoja alikiweka huku,baba yake alipata kiinua mgongo akakimbia akaacha familia akaenda ishi kwa kimada zilipoisha akarudi kuomba msamaha akakuta na wife kastaafu ela yake akashusha mjengo mbezi Luis. Akina mama walivyo na softicated house akamsamehe
 
Hakuna kazi au biashara isiyokosa changamoto hasa ufugaji na kilimo muhimu ni uvumilivu na kufocus
Kilimo ni changamoto zaidi mkuu, nikijaribu kukumbuka Wale wazee wa miti,vitunguu,mpunga Iringa,sijui mananasi kiwangwa siwasikii tena. Ilikua ikifika alhamisi wanaanza mbwembwe wk end Shamba.SIKU HIZI MKO WAPIIII??
Na wazee wa Kwaree,sunguraa, soko Nairobi mpooooo??
 
  • Thanks
Reactions: 911
Mkuu prondo,uko right, ila tunaanza na kufanya kazi then ndio uopt kuwork hard and smart au kuwork hard peke yake. Machungwa ni mfano tu,si uhalisia mkuu.
Working hard does not guarantee success....working smart DOES. Kwahio usikurupuke tu kumenya machungwa bila kujua wateja watatoka wapi,JIPANGE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom