Usumbufu wa kupokelewa kituo cha kazi baada ya kupangiwa

bukugu

Member
Jan 5, 2023
20
36
Wakuu kuna haka kausumbufu ka kupokelwa kituo cha kazi baada ya kupangiwa na PSRS natole mfano kwa taasisi ambayo nilibahatisha ya JKCI sijajua huko kwingine.

Leo ni zaid ya siku kumi na nne tangu kuriport unafika pale wengine tumetokea mbali mikoani hatuna ndugu huko wakishakupokea then wanakwambia andika namba yako ya simu tutakupigia ukiuliza ni lini labda wanakwambia we subiria tu kaa karibu na simu yako.

Sasa kwa sisi tuliotoka mbali unapata kigugumiz cha kuondoka kwan hujui utahitajika sa ngapi na kuishi jijini ni gharama sana ukizingatia mishe zilikuwa huko kijijin tulipokuwa, yan hali inakuwa ukikuta namba ngen inabid ukope hata salio kupiga ili ujue kama n huko ama vipi.

Kwahyo inakuwa ni usumbufu ukizingatia sio mda wote mtu unakuwa na simu na kuna emergency za simu kuzima pia.

Nashauri wawe wanapanga tarehe kabisa ili kuepusha hizi mambo.m, pamoja na hayo naomba kama kuna member humu atakaepigiwa kutoka kwenye hiyo taasisi acomment hata kwenye huu uzi.

Kwani mimi binafsi nimeaamua kurudi chimbo kijijin kwny mashamba ya mpunga huko mahali ambapo baazi ya maeneo hata network hakuna.
 
Wakuu kuna haka kausumbufu ka kupokelwa kituo cha kazi baada ya kupangiwa na PSRS natole mfano kwa taasisi ambayo nilibahatisha ya JKCI sijajua huko kwingine.... leo ni zaid ya siku kumi na nne tangu kuriport unafika pale wengine tumetokea mbali mikoani hatuna ndugu huko wakishakupokea then wanakwambia andika namba yako ya simu tutakupigia ukiuliza ni lini labda wanakwambia we subiria tu kaa karibu na simu yako... sasa kwa sisi tuliotoka mbali unapata kigugumiz cha kuondoka kwan hujui utahitajika sa ngapi na kuishi jijini ni gharama sana ukizingatia mishe zilikuwa huko kijijin tulipokuwa.... yan hali inakuwa ukikuta namba ngen inabid ukope hata salio kupiga ili ujue kama n huko ama vip...kwahyo inakuwa ni usumbufu ukizingatia sio mda wote mtu unakuwa na simu na kuna emergency za simu kuzima pia.
Nashauri wawe wanapanga tarehe kabisa ili kuepusha hizi mambo...... pamoja na hayo naomba kama kuna member humu atakaepigiwa kutoka kwenye hiyo taasisi acomment hata kwenye huu uzi...kwan me binafs nimeaamua kurud chimbo kijijin kwny mashamba ya mpunga huko mahali ambapo baazi ya maeneo hata network hakuna
Mbona mwandiko mbaya Sana mkuu?
 
Wakuu kuna haka kausumbufu ka kupokelwa kituo cha kazi baada ya kupangiwa na PSRS natole mfano kwa taasisi ambayo nilibahatisha ya JKCI sijajua huko kwingine.... leo ni zaid ya siku kumi na nne tangu kuriport unafika pale wengine tumetokea mbali mikoani hatuna ndugu huko wakishakupokea then wanakwambia andika namba yako ya simu tutakupigia ukiuliza ni lini labda wanakwambia we subiria tu kaa karibu na simu yako... sasa kwa sisi tuliotoka mbali unapata kigugumiz cha kuondoka kwan hujui utahitajika sa ngapi na kuishi jijini ni gharama sana ukizingatia mishe zilikuwa huko kijijin tulipokuwa.... yan hali inakuwa ukikuta namba ngen inabid ukope hata salio kupiga ili ujue kama n huko ama vip...kwahyo inakuwa ni usumbufu ukizingatia sio mda wote mtu unakuwa na simu na kuna emergency za simu kuzima pia.
Nashauri wawe wanapanga tarehe kabisa ili kuepusha hizi mambo...... pamoja na hayo naomba kama kuna member humu atakaepigiwa kutoka kwenye hiyo taasisi acomment hata kwenye huu uzi...kwan me binafs nimeaamua kurud chimbo kijijin kwny mashamba ya mpunga huko mahali ambapo baazi ya maeneo hata network hakuna
Unawachongea mapema hivi ? Safari yako itakuwa ngumu sana !!
 
Wakuu kuna haka kausumbufu ka kupokelwa kituo cha kazi baada ya kupangiwa na PSRS natole mfano kwa taasisi ambayo nilibahatisha ya JKCI sijajua huko kwingine.... leo ni zaid ya siku kumi na nne tangu kuriport unafika pale wengine tumetokea mbali mikoani hatuna ndugu huko wakishakupokea then wanakwambia andika namba yako ya simu tutakupigia ukiuliza ni lini labda wanakwambia we subiria tu kaa karibu na simu yako... sasa kwa sisi tuliotoka mbali unapata kigugumiz cha kuondoka kwan hujui utahitajika sa ngapi na kuishi jijini ni gharama sana ukizingatia mishe zilikuwa huko kijijin tulipokuwa.... yan hali inakuwa ukikuta namba ngen inabid ukope hata salio kupiga ili ujue kama n huko ama vip...kwahyo inakuwa ni usumbufu ukizingatia sio mda wote mtu unakuwa na simu na kuna emergency za simu kuzima pia.
Nashauri wawe wanapanga tarehe kabisa ili kuepusha hizi mambo...... pamoja na hayo naomba kama kuna member humu atakaepigiwa kutoka kwenye hiyo taasisi acomment hata kwenye huu uzi...kwan me binafs nimeaamua kurud chimbo kijijin kwny mashamba ya mpunga huko mahali ambapo baazi ya maeneo hata network hakuna
Pole Be patient wengi awapendi ajira zinavyo pita PSRS kozi wanashindwa weka watu waho
 
Huu ni utaratibu wa kawaida kabisa katika taasisi za kiserikali.

Hapo lazima wafanye vetting ya vyeti vyako, pia wakuingize kwenye mfumo wa malipo.

Haya yote yanahusisha taasisi mbalimbali, hivyo haiwezekani kuwepo na siku sahihi kabisa ya michakato kukamilika.

Kuwa mvumilivu kama ulivyokua unavumilia michakato ya usahili mpaka kupata kazi, ila kama umeanza kuwadiss mwajiri wako mapema hivi basi KAZI IPO.
 
Huu ni utaratibu wa kawaida kabisa katika taasisi za kiserikali.

Hapo lazima wafanye vetting ya vyeti vyako, pia wakuingize kwenye mfumo wa malipo.

Haya yote yanahusisha taasisi mbalimbali, hivyo haiwezekani kuwepo na siku sahihi kabisa ya michakato kukamilika.

Kuwa mvumilivu kama ulivyokua unavumilia michakato ya usahili mpaka kupata kazi, ila kama umeanza kuwadiss mwajiri wako mapema hivi basi KAZI IPO.
Sio hivo mkuu...nmepoteza garama na ujobless huu inabid nikaanze upya kutafute hela ya kujikimu sikujua kama inachukua muda sana nikaamua kubaki huko huko sikurud home mapema huenda ningesev
 
Unawachongea mapema hivi ? Safari yako itakuwa ngumu sana !!
Sijawachongea mkuu nimetoa information tu jinsi mambo yanavokuwa ili hata hawa wanaoenda kuripot kwasasa wajue inaweza kutokea kitu kama hicho kwahyo kama mtu hana ndugu na hana garama za kutosha arud home asubilie huko huko..... wengi tunafaham kwamba ukishaenda kuripot ndan ya zile siku14 haichukui muda kuanza kazi kumbe mambo yanaweza yasiwe hivyo
 
We nawe ulizingua sana.. ukishaenda kuripoti ukaambiwa hivyo basi inabidi urudi kwenu kabisa ukaendelee na Mishe zako.. Kuna watu wanakaa Hadi miezi 6 ndo wanaitwa kazini...
Hapo unaweza kulima mpunga na ukavuna kabisa then utaitwa.. So Relax we jione kama huna kazi.
 
Mkuu Pole sana, kikawaida ni kwamba ushapata kazi na process zinazofata ni kuingizwa kwenye mrija wa asali, watu toka mwezi wa tisa mpaka sasa pesa ya kujikimu hatujafanikiwa kupata na haijulikani itatoka lini. Kikubwa ni kwamba "PESA YA SERIKALI HAIPOTEI" Jishikirie mkuu
 
Back
Top Bottom