ramadhan Kareem ndugu zangu waislam popote mlipo.
wapendwa ninaomba kwa yeyote anayejua Kupika Ftari anisaidie maelezo ya jinsi ya kupika:
1.viazi vitamu vya Nazi na
Na iliki.
2.Zile tambi za sukari.
3.Yale Magimbi ya Ftari.
Kama kuna mpare humu naomba pia anifundishe jinsi ya Kupika KISHUMBA Cha viazi vitamu na maharage.
SWaumu maqbul to all my dear Muslim brothers n sisters.
wapendwa ninaomba kwa yeyote anayejua Kupika Ftari anisaidie maelezo ya jinsi ya kupika:
1.viazi vitamu vya Nazi na
Na iliki.
2.Zile tambi za sukari.
3.Yale Magimbi ya Ftari.
Kama kuna mpare humu naomba pia anifundishe jinsi ya Kupika KISHUMBA Cha viazi vitamu na maharage.
SWaumu maqbul to all my dear Muslim brothers n sisters.