Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Sio kukoroga kusubiriaa uive ndo nisonge naonaga muda unapotea sanaKama hujui kukoroga uji hata ugali utakuwa hujui kupika wewe
Sio kukoroga kusubiriaa uive ndo nisonge naonaga muda unapotea sanaKama hujui kukoroga uji hata ugali utakuwa hujui kupika wewe
Huwa unaharaka ya nini ?Sio kukoroga kusubiriaa uive ndo nisonge naonaga muda unapotea sana
Ya kupika Mkuu!! Huwa napenda nikianza kupika nimalize mapemaHuwa unaharaka ya nini ?
Ya kupika Mkuu!! Huwa napenda nikianza kupika nimalize mapema
Ni kweli aiseee.nadhani atakuja anielekeze kila kitu maana hata hapa sijaelewa kitu.
Halafu hujanipa update ujue
Najua sana tuu, hasa dona Mkuu!!Hapo ndiyo huwa unabugi sasa, ugali kadri unavyopata moto ndiyo unakuwa mtamu
Ni kweli aiseee.
Ngoja nimalizie kitu nkupigie
SawaPole sana jamani...
Jaribu kutumia KIMBO dada!
Unaumwa weweSasa mimi bora chapati jamani!!
Nikiwazaga kukoroga uji bora kukanda unga!
Maandazi rahisi Sana.Ukipika mandazi si utatupikia matofali wewe ?
Mgeni kutoka mbezi ipi?
Unaumwa wewe
Ukipigwa nayo usoni lazima upasuke na nundu juu haaà haaasijawahi kupika chapati ikawa laini nakwama wapi?
Huwa naweka unga kwenye bakuli
Natia pinch ya sukari
Natia mafuta ya moto,nachanganyachanganya mpaka yale madonge yapotee
Natia maji ya moto,nakanda linakuwa donge kubwa halafu nalifunika,baada ya nusu saa nakata madonge na kumalizia hizo process lkn chapati haiwi LAINI, msaada tafadhali nakwama wapi?
Nalog offHu
Pole sana kwahiyo zikatoka vipi sasaNi kweli,kupika chapati,mandazi na vitu vya ngano ni mtihani mgumu sana
Juzi jumamosi nilisema nijaribu kupikia chapati nyumbani nikakandia maziwa,blueband nimeweka lakini chapati zilivyotokea sasa!!!nikaamini kupika chapati is not my thing
unanikumbusha nilimwachia mdada apike ile narudi naomba chai kila mtu hana mbavu ni mawe tuNilipanga zikitokea vizuri nizipige picha nipost kwa status kule WhatsApp lakini kilichotokea ni aibu tupu
Hizo za kumimina sijajaribu kuzipika lakini nilishakula mara kadhaa hazikunivutia
Si ajabu hata kuzisukumu tu zilitoka zina mapembe.
Nacheka maana umenikumbusha niliwahi pikiwa chapati hizo kau kau halafu + zina mapembe. Hazieleweki nyingine pembe tatu, nyingine imekaa trapezium
Yawezekana wakati wakuchanganya unga na mafuta vizuri pia mafuta lazima yawe ya moto moto kiasiHii kitu si wote wanaiwezaga. Sijui ndio kuna ile dhana labda mkono na mkono wa mtu mwingine zinamkataa tu labda.
Hongera sana
Mimi nimeanza zipika nikiwa std 5.. saivi napika nauza
Aise mie lazima ningecheka tu kumwerekeza lakini unafiki siwezisiku hiyo nimerudi shule nakuta bibie kanipikia chapati. Daah ilibidi nile tu kumtia moyo. Maana mtu kajitoa kwa ajili yako halafu zikushinde angejisikia vibaya.