OK thanks brotherHana. Foreighers wanalipa kwa usd na nauli yao iko juu zaidi. Sema sikumbuki viwango.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
TakbiiirNa bao mkuu ataleta vitu vya maana. Utaona hata nauli zitashuka tu mkuu Azam alikuwa anaona hamna zaidi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo system yao itakuwa sio realistic; mtu ambaye humfahamu kuwa ni genuine customer hawezi kubook bila kulipia hadi masaa matatu kabla ya safari;Fanya online booking kupitia link hii hapa chini mkuu... Sytem yao unafanya booking; Watakutumia tiketi yako kwenye e mail, wewe utaiprint na kunote reference number. Malipo sasa ni lazima ufanye siku ya safari (mapema wanashauri at least 3 hours kabla ya safari); Unalipia pale pale ferry kwenye ofisi zao za kukata tiketi, wakati unalipia unawaonyesha hiyo booking yako.
Nyenyere