Jinsi ya kupata tiketi Azam Marine

Jinsi ya kupata tiketi Azam Marine

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,842
Reaction score
10,765
Wakuu naomba kuuliza namna ya kufanya booking online kwa boti za Azam kwenda Zbar. Nimejaribu kuwapigia namba zilizopo online hazipatikani na inayopatikana haipokelewi. Naomba kujua kama wana namna ya kulipia online ama kwenye simu.

Shukrani
 
Wakuu naomba kuuliza namna ya kufanya booking online kwa boti za Azam kwenda Zbar. Nimejaribu kuwapigia namba zilizopo online hazipatikani na inayopatikana haipokelewi. Naomba kujua kama wana namna ya kulipia online ama kwenye simu.

Shukrani
Fanya online booking kupitia link hii hapa chini mkuu... Sytem yao unafanya booking; Watakutumia tiketi yako kwenye e mail, wewe utaiprint na kunote reference number. Malipo sasa ni lazima ufanye siku ya safari (mapema wanashauri at least 3 hours kabla ya safari); Unalipia pale pale ferry kwenye ofisi zao za kukata tiketi, wakati unalipia unawaonyesha hiyo booking yako.
Nyenyere

 
Fanya online booking kupitia link hii hapa chini mkuu... Sytem yao unafanya booking; Watakutumia tiketi yako kwenye e mail, wewe utaiprint na kunote reference number. Malipo sasa ni lazima ufanye siku ya safari (mapema wanashauri at least 3 hours kabla ya safari); Unalipia pale pale ferry kwenye ofisi zao za kukata tiketi, wakati unalipia unawaonyesha hiyo booking yako.
Nyenyere

Nimefanya hivyo mkuu ingawa haijaniletea email. Asante sana kwa msaada wako
 
Nimefanya hivyo mkuu ingawa haijaniletea email. Asante sana kwa msaada wako
Poa mkuu... Cha muhimu note ile reference number inayoonekana kwenye booking, ukienda ofisini kwao siku ya safari kulipia unawatajia hiyo ili ku confirm booking yako
Nyenyere
 
Poa mkuu... Cha muhimu note ile reference number inayoonekana kwenye booking, ukienda ofisini kwao siku ya safari kulipia unawatajia hiyo ili ku confirm booking yako
Nyenyere
Mkuu, asante kwa mwongozo wako, hata hivyo nimefika alfajiri hapa ofisini kwao sikupata nafasi mpaka saa sita mchana. Nimejaribu kuangalia mtandaoni nimeona raia wa kigeni wanalalamika kuwa Azam Marine huwa hawaheshimu online bookings. Wanaziuza tiketi.
 
Mkuu, asante kwa mwongozo wako, hata hivyo nimefika alfajiri hapa ofisini kwao sikupata nafasi mpaka saa sita mchana. Nimejaribu kuangalia mtandaoni nimeona raia wa kigeni wanalalamika kuwa Azam Marine huwa hawaheshimu online bookings. Wanaziuza tiketi.
Hili ni tatizo sana mtu mmoja akiwa anatoa huduma peke yake huwa anajisahau sana kuboresha.

Tuombe kheri siku za karibuni atapata mpinzani ambaye ni Sea Star anayeleta boti za abiria kama hizo.
 
Hili ni tatizo sana mtu mmoja akiwa anatoa huduma peke yake huwa anajisahau sana kuboresha.

Tuombe kheri siku za karibuni atapata mpinzani ambaye ni Sea Star anayeleta boti za abiria kama hizo.
Ni kweli mkuu, hawa jamaa kumiliki soko kumelazimu abiria tuwe wanyenyekevu kama tunaomba msaada. Huwa sielewi ni kwa vipi wamejisahau kiasi hiki.
 
Ngoja bwana Zakaria analeta boti zake hapo mambo yatakuwa mazuri watajirekebisha tu ukija ushindani
 
Ni kweli mkuu, hawa jamaa kumiliki soko kumelazimu abiria tuwe wanyenyekevu kama tunaomba msaada. Huwa sielewi ni kwa vipi wamejisahau kiasi hiki.
Hawa wamekuwa peke yao kipindi kirefu, mpinzani wao akija watajirudi kuwa na huduma nzuri kwa wateja.
 
Ngoja bwana Zakaria analeta boti zake hapo mambo yatakuwa mazuri watajirekebisha tu ukija ushindani
Mkuu ulisema kweli, Zakaria tayari kaleta boti ya mauaji. Dsm Zbar saa moja, inaipiku hata Kilimanjaro VII ambayo ni mpya ya Azam inayotumia saa moja na nusu.

Yaani ni safi kweli kweli kuanzia mandhari hata speed

Full WIFI kwa madaraja yote, so cool.
View attachment 1342026
20200131_135838.jpg



Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
View attachment 1342030
 
Na bao mkuu ataleta vitu vya maana. Utaona hata nauli zitashuka tu mkuu Azam alikuwa anaona hamna zaidi yake
Mkuu ulisema kweli, Zakaria tayari kaleta boti ya mauaji. Dsm Zbar saa moja, inaipiku hata Kilimanjaro VII ambayo ni mpya ya Azam inayotumia saa moja na nusu.

Yaani ni safi kweli kweli kuanzia mandhari hata speed

Full WIFI kwa madaraja yote, so cool.
View attachment 1342026View attachment 1342027


Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
View attachment 1342030

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Az
Na bao mkuu ataleta vitu vya maana. Utaona hata nauli zitashuka tu mkuu Azam alikuwa anaona hamna zaidi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Azam Marine walijisahau Sana, Zanlink sasa atawakimbiza maana yeye bei kashusha na meli kaleta za kisasa.

Kipindi cha nyuma Sea Star alikuwa ndio anakimbiza Azam alikuwa anafuata ila fitna zilitembea mpaka Sea Star akapotea.
 
Walijiona wao ndio kila kitu yani hata ukienda kukata tiketi wana pozi
Az
Azam Marine walijisahau Sana, Zanlink sasa atawakimbiza maana yeye bei kashusha na meli kaleta za kisasa.

Kipindi cha nyuma Sea Star alikuwa ndio anakimbiza Azam alikuwa anafuata ila fitna zilitembea mpaka Sea Star akapotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom