Rahabu
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 5,527
- 3,344
Kupata marafiki sio ishu, ishu ni kudumisha urafiki wengi tunashindwa hebu ntumie elf 50 tu rafiki
punguza mama
Kupata marafiki sio ishu, ishu ni kudumisha urafiki wengi tunashindwa hebu ntumie elf 50 tu rafiki
Karibu sana mkuu. Endelea kuchangia nyuzi bila kukosa,bila ubaguzi wa rangi wala jinsi, marafiki huja automatically....Jamani mie ni mgeni humu ndani, sielewi jinsi ya kutafuta marafiki humu JF naombeni mwongozo wenu.:A S 11:
Akitaka kuja kule ilipo mikoa ya LINDI & MTWARA atatukuta tunamsubiri kwa bashasha...We tuliza boli tu utaona watu mnashabihiana vitu vingi sana hao ni kundi la kwanza, lakini wapo watu wanajua vitu humu ambavyo huvijui utasoma na kuelewa lakini usiwe mchoyo watu watauliza juu ya uyajuayo eleza!!!!
Watu watagombana humu play your role hata kwa advice tu opely au privately mwisho utajikuta una ndugu humu achilia marafiki!!!!!!
Msome The Boss hapo, kama unaoenda masongi kaa na BAK karibu, kama ni mizinga proof Evelyn Salt huyooo, kama unataka mastory njoo kipande hii ila kula na kulala kwenu!!!!!
Kama kuna mtu anakuletea ubabe tuna Kaka Jambazi humu...lakini ukizingua utapigwa @gumi la pua! !!!!!
Masuala ya njaa supu ya mawe inapatikana au afya mgogoro aje @dr mo. ..???!!!!
Wapo marafiki humu na.ndugu pia!!!!!!
mgeni hawezi kuelewa hii JLW....kuna watu wenyeji humu hawajawahi kukanyaga JLW.....labda kama kaja kivingine....usiishie hapa nakukaribisha JLW uje upunguze mastress huko utakutana na wadada warembo kama Evelyn Salt na Madame B
pia kuna mashababi wa ukweli kama grafani11 mwekundu Ngalikihinja. njo tutakupokea