"Super H, post: 14043551, member: 104224"]Heshima kwenu wanandugu
Nina shamba nataka nioteshe yale maembe na mapapai ya kisasa yanayozaa yakiwa chini kabisa ila naomba kufahamu
1~Ukubwa wa mashimo
2 aina ya mbolea ya kuoteshea
3Huzaa nara ngapi kwa mwaka
4~Umbali baina ya mche na mche[/QUOTE]
Umepata mkuu??