Jinsi ya kuopoa msichana mzuri

Jinsi ya kuopoa msichana mzuri

Weka kapicha
930c21ad3eae47b13b25b8cbd61fc2e8.jpg
 
Kwahiyo tutembee na vinyago sio
Hatuna kisu (pesa),lakini tuna sumu + kipande....tutakosaje watoto wakali kwa mfano....
Una kiri kwamba huna pesa lakini kwa umri wako bado una nguvu na isitoshe una viujanja ambavyo unavielekeza katika zinaa,muda unakwenda piga hesabu baada ya miaka 5 utakuwa wapi? kama bado una nguvu utalinda ma geiti ya wanaume wenzako wakiwa wanakula hivyo unavyovipigia debe.
SHET'ani
 
Una kiri kwamba huna pesa lakini kwa umri wako bado una nguvu na isitoshe una viujanja ambavyo unavielekeza katika zinaa,muda unakwenda piga hesabu baada ya miaka 5 utakuwa wapi? kama bado una nguvu utalinda ma geiti ya wanaume wenzako wakiwa wanakula hivyo unavyovipigia debe.
SHET'ani
Si uendelee kulima huko kwenu km unaamini sina pesa wala maisha ya kueleweka its OK.....Endelea na majivuno yako mpe pesa demu wako zen mi' nameva tu kisela

After 5 yrs nitakuwa Prof wa vilaza + 5 kids bila ukimwi....una swami lingine?
 
Si uendelee kulima huko kwenu km unaamini sina pesa wala maisha ya kueleweka its OK.....Endelea na majivuno yako mpe pesa demu wako zen mi' nameva tu kisela

After 5 yrs nitakuwa Prof wa vilaza + 5 kids bila ukimwi....una swami lingine?
I'll wait and see young pauper...
 
Back
Top Bottom