OleSoft
Member
- Jan 21, 2020
- 24
- 19
Je, unafahamu kuwa kila unapotumia smartphone yako (Android) kuna file linajitengeneza lenyewe linaitea android?
File hili linaweza kubeba takataka zote na kujikuta limechukua nafasi hata MB 500 au 1GB n.k kulingana na device yako. Lakini pia kuna file la WhatsApp, hapa pia kama unahitaji kuback up, back up kupitia app yenyewe kwenda kwenye google email yako.
Kwenye file folder la WhatsApp kuna file la backup na database ambayo nayo hujitengeneza yenyewe, haya mafile yanaweza kuchukua nafasi.
Cha kufanya:
Ingia kwenye file manager, tap phone storage, kisha chagua android, futa hilo file.
Baada ya hapo, shuka chini kabisa mpaka kwenye folder/file la Whatspp, tap kisha futa database na backup file, na uliache media file/folder.
Hapo hapo, ingia kwenye media, chagua document au voice note, au audio, video au images, tazama ulichokituma kama kina umuhimu kubako au kama hakuna umuhimu futa. Tazama ulizptumiwa, kama zina umuhimu kubaki au kama hakuna basi futa.
Siku hizi kuna improvement, kuna file manager zingine hukupa kabisa taarifa zote na kitu kinachokula nafasi kwenye simu yako, hivyo file manager automatically itapendekeza uyafute hayo mafile.
Lakini hiyo njia niliyotoa ni manually.
Kama una cha kuongezea, maoni au chochote basi weka. Najua lakini sijui zaidi, tupe yako sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
File hili linaweza kubeba takataka zote na kujikuta limechukua nafasi hata MB 500 au 1GB n.k kulingana na device yako. Lakini pia kuna file la WhatsApp, hapa pia kama unahitaji kuback up, back up kupitia app yenyewe kwenda kwenye google email yako.
Kwenye file folder la WhatsApp kuna file la backup na database ambayo nayo hujitengeneza yenyewe, haya mafile yanaweza kuchukua nafasi.
Cha kufanya:
Ingia kwenye file manager, tap phone storage, kisha chagua android, futa hilo file.
Baada ya hapo, shuka chini kabisa mpaka kwenye folder/file la Whatspp, tap kisha futa database na backup file, na uliache media file/folder.
Hapo hapo, ingia kwenye media, chagua document au voice note, au audio, video au images, tazama ulichokituma kama kina umuhimu kubako au kama hakuna umuhimu futa. Tazama ulizptumiwa, kama zina umuhimu kubaki au kama hakuna basi futa.
Siku hizi kuna improvement, kuna file manager zingine hukupa kabisa taarifa zote na kitu kinachokula nafasi kwenye simu yako, hivyo file manager automatically itapendekeza uyafute hayo mafile.
Lakini hiyo njia niliyotoa ni manually.
Kama una cha kuongezea, maoni au chochote basi weka. Najua lakini sijui zaidi, tupe yako sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app