Jinsi ya kuongea na majini ili wakusaidie

Jinsi ya kuongea na majini ili wakusaidie

Nasaha zangu kwa watu, kuingia mkataba na mashetani kunawalazimu kufanya matendo ya shirki na madhambi makubwa makubwa. Hivyo nawanasihi watu mjiepushe na mambo haya. Shirki ni dhulma kubwa kabisa. Na ni machukizo mno kwa Allah.

Pili, baadhi ya watu mfano wa mtoa mada wanaokuja na mada hizi huja na sura na dhahiri za Uislam. Nawaambia Uislam uko mbali na haya na mambo haya yako mbali na Uislam.

Dhambi kubwa kuliko zote katika Uislam ni Shirki. Na hauwezi "kufuga" majini au kuyatumikisha ila baada ya kuingia mkataba nao wa kufanya shirki na kukufuru kisha ndio wakutumikie. Utakuwa mshirikina na pia mtumwa wa majini.

Allah atuweke mbali na shirki.

Nimefikisha.
ni kweli ila sio wote wapo majini wastaarabu na washenzi kama tulivyo wanaadamu
 
Pia zipo njia ambazo unaweza kuongea na majini ana kwa ana kama unavyoongea na binaadamu wenzio na hii ndio point ambayo nitawasaidia muweze kuongea nao.
Najiribu vuta tathimi juu ya hili swala kwamba inawezekana kweli binadamu asie na ujuzi wa aina yoyote wala imani juu ya uwepo wa majini na ukahitaji afike uzungumze nae na akatii na kufika sehemu husika...!!🤔
 
Kuna vitu vingine sio vya kujaribu kabisa. Inasadikika majini wana hulka kama za kibinadamu. Kuna wahuni na waungwana.
Sasa unajitusua na maudi yako linakuja jini basha, linakupiga miti ndani humo halafu unashindwa hata kuomba msaada.

Ya majini tuwaachie majini. Kulikuwa na sababu Mungu alitutenganisha.
🤣🤣🤣
 
ni kweli ila sio wote wapo majini wastaarabu na washenzi kama tulivyo wanaadamu
Hao majini wastaarabu ndio waje kutumikishwa na wanaadamu tena baada ya kufanya vitendo fulani maalum?

Hao ni mashaitwani ambayo ili yaingie mkataba na wanadamu huwashurutisha kufanya kufru au ufasiqi mkubwa kabisa ili wawatumikie kwa wanachokitaka.

Wewe umuite jini aje umuambie "nampenda fulani nisaidie" halafu akupe masharti yake ufanye ndio akutumikie, huyo ni shetani tu. Majini wema hawana time na mambo ya watu. Wao hushughulika na lengo la kuumbwa kwao tu.

Achana na haya mambo ndugu yangu. Hayana mwisho mzuri. Na Mauti yakikukuta muda huu utakwenda kumjibu nini Mola wako ndugu yangu?

Allah atuongoze sisi na wewe katika njia iliyonyooka.
 
jaribu ukishindwa niulize
Kujaribu it‘s not an option...Lkn kabla ya yote mazingira ya sehemu yanatakiwa kuwa kwenye hali gani?

Kwa kuwa mdaa umeelekeza vizuri bado nina mashaka na maandalizi ya sehemu, Na sauti yangu inapaswa kuwa juu sana au vipi!?

Tafadhali naomba unielezee kidogo kilingana na utaalam ulionao kiongozi..
 
Hao majini wastaarabu ndio waje kutumikishwa na wanaadamu tena baada ya kufanya vitendo fulani maalum?

Hao ni mashaitwani ambayo ili yaingie mkataba na wanadamu huwashurutisha kufanya kufru au ufasiqi mkubwa kabisa ili wawatumikie kwa wanachokitaka.

Wewe umuite jini aje umuambie "nampenda fulani nisaidie" halafu akupe masharti yake ufanye ndio akutumikie, huyo ni shetani tu. Majini wema hawana time na mambo ya watu. Wao hushughulika na lengo la kuumbwa kwao tu.

Achana na haya mambo ndugu yangu. Hayana mwisho mzuri. Na Mauti yakikukuta muda huu utakwenda kumjibu nini Mola wako ndugu yangu?

Allah atuongoze sisi na wewe katika njia iliyonyooka.
nikuulize swali kisha kama huwezi kaulize kwa wanaujua , je wamjua asif ibn barqiya? wajua alikua ni nani na alimtumikia nabii suleiman kwwnyw nyanja gani
 
nikuulize swali kisha kama huwezi kaulize kwa wanaujua , je wamjua asif ibn barqiya? wajua alikua ni nani na alimtumikia nabii suleiman kwwnyw nyanja gani
Unataka kusema nini? Kwamba 'Asif ibn Barkhiya alikuwa anatumia majini? Hoja yako iko wapi? Mbona ulichokiandika hapa hakihusiani na "kufuga" au kuingia mikataba na majini.
 
Back
Top Bottom