Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 465
- 943
Habari zenu wana JF,
Nimekua nikiulizwa mswali mengi kutoka kwa wadau mbalimbali jinsi ya kuwasiliana na majini ili waweze kukupatia msaada.
Kiukweli majini wanaweza kuwasiliana na wewe kwa njia mbali mbali ila njia ambayo huitumia sana ni kwenye ndoto na ndio maana unapoota ndoto ni lazima kuzipatia maana na yawezekana ikawa kuna majini wanawasiliana na wewe na wanakupa ishara.
Pia zipo njia ambazo unaweza kuongea na majini ana kwa ana kama unavyoongea na binaadamu wenzio na hii ndio point ambayo nitawasaidia muweze kuongea nao.
Kabla yakuongea na jini inakupasa kuzingatia ni msaada gani unataka mana kila jini ana uwezo wake na sio kwamba kila jini anauwezo wa kutatua kila shida.
Leo nitawaeleza namna ya kumuita jini atakaeweza kukusaidia katika masuala ya mapenzi , hawa ni majini ambao siku yao ni Jmapili na muda wao mzuri ni saa moja asubuhi.
Jini huyu huitwa kwanza kisha atakuonesha ishara kua tayari amekuja na ataongea na wewe.
Kila jumapili saa moja asubuhi, chukua udi wa ambar na sandal ubani na aluudi unayoipenda kisha ujipake na na ufukize udi na uwe katika sehemu ya faragha na uuite majina haya "al madh hab" unaita" ewe al madh hab" ita mara 7 kisha sema nakuita nakuomba uongeena mimi haitafika zaidi ya majuma matatu akawa hajafika
Kabla ya kujitokeza jini atakuonesha kwa ishara mfano moshi, harufu nzuri, utasikia mtu anaimba , njiwa mweupe, jogoo kuwika bila kupumzika na mengine yanayofanna na wewe.
Unaweza kusikia sauti tu unaongea nae au atajitokeza kwa umbo lolote ila hawezi kuja kwa umbo lake mana ni la kutisha.
Baada ya hapo utamueleza kua nampenda fulani bin fulani nisaidoe au naomba kupata mpenzi niwe na mvuto na mengineyo yeye atakwambia fanya hv na hv kisha mtaelewana.
Tahadhari majiji ni viumbe ambao wanahasira sanna na hawapendi mzaha.
Nimekua nikiulizwa mswali mengi kutoka kwa wadau mbalimbali jinsi ya kuwasiliana na majini ili waweze kukupatia msaada.
Kiukweli majini wanaweza kuwasiliana na wewe kwa njia mbali mbali ila njia ambayo huitumia sana ni kwenye ndoto na ndio maana unapoota ndoto ni lazima kuzipatia maana na yawezekana ikawa kuna majini wanawasiliana na wewe na wanakupa ishara.
Pia zipo njia ambazo unaweza kuongea na majini ana kwa ana kama unavyoongea na binaadamu wenzio na hii ndio point ambayo nitawasaidia muweze kuongea nao.
Kabla yakuongea na jini inakupasa kuzingatia ni msaada gani unataka mana kila jini ana uwezo wake na sio kwamba kila jini anauwezo wa kutatua kila shida.
Leo nitawaeleza namna ya kumuita jini atakaeweza kukusaidia katika masuala ya mapenzi , hawa ni majini ambao siku yao ni Jmapili na muda wao mzuri ni saa moja asubuhi.
Jini huyu huitwa kwanza kisha atakuonesha ishara kua tayari amekuja na ataongea na wewe.
Kila jumapili saa moja asubuhi, chukua udi wa ambar na sandal ubani na aluudi unayoipenda kisha ujipake na na ufukize udi na uwe katika sehemu ya faragha na uuite majina haya "al madh hab" unaita" ewe al madh hab" ita mara 7 kisha sema nakuita nakuomba uongeena mimi haitafika zaidi ya majuma matatu akawa hajafika
Kabla ya kujitokeza jini atakuonesha kwa ishara mfano moshi, harufu nzuri, utasikia mtu anaimba , njiwa mweupe, jogoo kuwika bila kupumzika na mengine yanayofanna na wewe.
Unaweza kusikia sauti tu unaongea nae au atajitokeza kwa umbo lolote ila hawezi kuja kwa umbo lake mana ni la kutisha.
Baada ya hapo utamueleza kua nampenda fulani bin fulani nisaidoe au naomba kupata mpenzi niwe na mvuto na mengineyo yeye atakwambia fanya hv na hv kisha mtaelewana.
Tahadhari majiji ni viumbe ambao wanahasira sanna na hawapendi mzaha.

